Habari wapendwa,
Nakumbuka ilikuwa tarehe 14 ya Julai mwaka huu nilivyofanya vipimo baada ya kukaa muda mrefu bila kupata ujauzito, nilienda hospitali kubwa kama tano hapa Dar na nilionana na madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake tofauti tofauti ila wote majibu yao yalikuwa sawa kuwa sitaweza kupata ujauzito kwa njia ya kawaida, labda nijaribu kupandikiza.
Kiukweli niliumia sana na nilikuja kuomba msaada wa mawazo hapa, nawashukuru wote waliovaa uhusika na kuumia pamoja nami pia nawashukuru hata wale walionitolea maneno mabovu.
Basi, baada ya kuleta hapa nilitajiwa dawa mbalimbali ila niliona nianze na dawa ya dada mmoja ambaye yuko Singida kwa kuwa ilikuwa ni chakula tuu huyo dada nakumbuka jina lake ni Hornet, toka mwezi wa saba nilivyotumia ikawa kimya nikakata tamaa. Mwezi huu wa Novemba ndiyo nimegundua kama mimi ni mjamzito.
Julai nilitoka machozi ya uchungu na Mungu amenifuta machozi hayo na kunitoa yenye furaha, nawashukuruni wote kiukweli mlikuwa wengi siwezi kutaja majina ila yaani nimekuwa kama sijielewi kwa furaha, naomba muendelee kuniombea nifike salama safari hii yaa kuelekea kuwa mama.
Mungu awabariki sana dada Hornet ,NITAKUAFUTA KESHO KWENYE SIMU.
Nakumbuka ilikuwa tarehe 14 ya Julai mwaka huu nilivyofanya vipimo baada ya kukaa muda mrefu bila kupata ujauzito, nilienda hospitali kubwa kama tano hapa Dar na nilionana na madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake tofauti tofauti ila wote majibu yao yalikuwa sawa kuwa sitaweza kupata ujauzito kwa njia ya kawaida, labda nijaribu kupandikiza.
Kiukweli niliumia sana na nilikuja kuomba msaada wa mawazo hapa, nawashukuru wote waliovaa uhusika na kuumia pamoja nami pia nawashukuru hata wale walionitolea maneno mabovu.
Basi, baada ya kuleta hapa nilitajiwa dawa mbalimbali ila niliona nianze na dawa ya dada mmoja ambaye yuko Singida kwa kuwa ilikuwa ni chakula tuu huyo dada nakumbuka jina lake ni Hornet, toka mwezi wa saba nilivyotumia ikawa kimya nikakata tamaa. Mwezi huu wa Novemba ndiyo nimegundua kama mimi ni mjamzito.
Julai nilitoka machozi ya uchungu na Mungu amenifuta machozi hayo na kunitoa yenye furaha, nawashukuruni wote kiukweli mlikuwa wengi siwezi kutaja majina ila yaani nimekuwa kama sijielewi kwa furaha, naomba muendelee kuniombea nifike salama safari hii yaa kuelekea kuwa mama.
Mungu awabariki sana dada Hornet ,NITAKUAFUTA KESHO KWENYE SIMU.
Last edited by a moderator: