Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walishasema kwa mechi za kikataifa utaachiwa , lakini hizo taarifa za Asec si za kweliKwani haujui kama uwanja wa Mkapa umefungwa?
1) Asec bado hajafuzu ila ana mazingira mazuri ya kufuzu,Asec wameshafuzu hatua ya robo final wameomba mechi yao vs Simba ipigwe kwa mkapa, kwanza wanaamini watapata mapato kwa sababu Simba nao wanategemea gemu hiyo kufuzu, ewe mola naomba maombi yao yakubaliwe.
Hongereni viongozi wa Simba kwa kucheza karata vizuri.
Hahahaha.na wewe unaamini hii habari?Mbona wanawarahishia kazi simba
HHahahahahaha.ina maana kuna mnao amini hii habari ?1) Asec bado hajafuzu ila ana mazingira mazuri ya kufuzu,
Endapo atafungwa mechi dhidi ya Simba na huku Wydad akishinda dhidi ya Galaxy basi msimamo utakuwa
Asec 10
Simba 8
Wydad 7
Mechi ya mwisho ni Wydad vs Asec kule Morocco na endapo Wydad watashinda goli 2 bila huku Simba naye akishinda dhidi ya Galaxy basi Asec ataaga mashindano kwasababu watalingana point na Wydad ila H2H itamtoa.
2) Asec wanatokea Ivory coast na ndio wanao host AFCON mwaka huu, hivyo swala la uwanja Ivory coast hakuna shaka, na swala la usalama pia hakuna shaka pia
3) Asec Mimosa ndio klabu kubwa Ivory coast hivyo swala la mashabiki kule wa kuujaza uwanja.
4) kitendo cha kukidhi vigezo hivyo vitatu juu, kama wataamua kuja kuchezea Tanzania mchezo wao, basi moja kwa moja watafikiriwa katika upangaji wa matokeo
Kwani haujui kama uwanja wa Mkapa umefungwa?
Umemaliza kila kitu1) Asec bado hajafuzu ila ana mazingira mazuri ya kufuzu,
Endapo atafungwa mechi dhidi ya Simba na huku Wydad akishinda dhidi ya Galaxy basi msimamo utakuwa
Asec 10
Simba 8
Wydad 7
Mechi ya mwisho ni Wydad vs Asec kule Morocco na endapo Wydad watashinda goli 2 bila huku Simba naye akishinda dhidi ya Galaxy basi Asec ataaga mashindano kwasababu watalingana point na Wydad ila H2H itamtoa.
2) Asec wanatokea Ivory coast na ndio wanao host AFCON mwaka huu, hivyo swala la uwanja Ivory coast hakuna shaka, na swala la usalama pia hakuna shaka pia
3) Asec Mimosa ndio klabu kubwa Ivory coast hivyo swala la mashabiki kule wa kuujaza uwanja.
4) kitendo cha kukidhi vigezo hivyo vitatu juu, kama wataamua kuja kuchezea Tanzania mchezo wao, basi moja kwa moja watafikiriwa katika upangaji wa matokeo
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
TutambakaDuh nasikia Kayoko ameteuliwa kuwa refa wa huo mchezo[emoji41]
Mkubwa kundi liko hivi1) Asec bado hajafuzu ila ana mazingira mazuri ya kufuzu,
Endapo atafungwa mechi dhidi ya Simba na huku Wydad akishinda dhidi ya Galaxy basi msimamo utakuwa
Asec 10
Simba 8
Wydad 7
Mechi ya mwisho ni Wydad vs Asec kule Morocco na endapo Wydad watashinda goli 2 bila huku Simba naye akishinda dhidi ya Galaxy basi Asec ataaga mashindano kwasababu watalingana point na Wydad ila H2H itamtoa.
2) Asec wanatokea Ivory coast na ndio wanao host AFCON mwaka huu, hivyo swala la uwanja Ivory coast hakuna shaka, na swala la usalama pia hakuna shaka pia
3) Asec Mimosa ndio klabu kubwa Ivory coast hivyo swala la mashabiki kule wa kuujaza uwanja kwao hakuna shaka kabisa.
4) kitendo cha kukidhi vigezo hivyo vitatu juu, kama wataamua kuja kuchezea Tanzania mchezo wao, basi moja kwa moja watafikiriwa katika upangaji wa matokeo