Asee Bia In Tamu Sana

Asee Bia In Tamu Sana

Aisee
IMG_20190521_135451.jpeg
 
Niliacha 2015.lakin Mwaka huu mwez wa tatu nilirud kundini mana siku hiyo nilikuwa nimekutana na jamaa yangu anatoka Mtwara. Anapitia dar then tanga tutakaaaa pale PAPICHURO jamaa anagonga VITU nikaona ngoja nA MIMi nibust moja aiseee nilizitwanga sana Hadi Leo hii Pombe Siachi
[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]umenichekesha

Mi situmii kilevi chochote but napenda walevi
 
Back
Top Bottom