kisokolokwinyo20
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 472
- 423
- Thread starter
-
- #41
Yes huwa machungu..ht mm niishafeli...ila jaman chukua Valuer mix na koka..dah..ile ladha ile[emoji848]
Hahahahahaha best yangu uwii nakufa mm hahahahhaa kwamba rejeta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji122][emoji122][emoji122]
Tunaendelea mkuu siwezi danganya huku mara ya mwisho kuona jua ni siku ya ijumaambona bia imeisha mkuu
bia imeisha io mkuu,piga picha ingine yenye bia tatu zilizofunguliwa kama ni kweli uko bar
Kula Bia weweTunaendelea mkuu siwezi danganya huku mara ya mwisho kuona jua ni siku ya ijumaa View attachment 1103239
Watu wanakunywa sana Mma kama Marejeta bana
Inakuwaje hiyo
Asante karibu sanaKula Bia wewe
Kula kitu roho inapendaInaleta ladha bomba sana mix na ice[emoji39][emoji39]
inaleta ladha nzuri sana sana umix na ice
Whiskey ama Liquor yoyote ukiweka Ice Ndio Mwakeinaleta ladha nzuri sana sana umix na ice
Tamu tu..weka half halfSiku nikiweza nitajaribu
we jama huna kiu kabisaTunaendelea mkuu siwezi danganya huku mara ya mwisho kuona jua ni siku ya ijumaa View attachment 1103239
uyo ni mmamsapu mkuu au bamedi hapo karibu na kona ya kureplyTunaendelea mkuu siwezi danganya huku mara ya mwisho kuona jua ni siku ya ijumaa View attachment 1103239