Asee Bia In Tamu Sana


Pole sana

Kuna watu watakuwa hawajui kutofautisha ipi fake na yenyewe...ila jaribu kuacha kabisa kutumia pombe,kama unaweza lakini

Mie pia nilishakunywa mara moja chupa moja nzima ya wine fulani,sikulala kwa kutapika mixer homa kali
 
Safi sana vere wele...wanywa bia mnatusaidia sana nchi yetu nyie ni wa thamani sana kwa maendeleo yetu
 
Pole sana

Kuna watu watakuwa hawajui kutofautisha ipi fake na yenyewe...ila jaribu kuacha kabisa kutumia pombe,kama unaweza lakini

Mie pia nilishakunywa mara moja chupa moja nzima ya wine fulani,sikulala kwa kutapika mixer homa kali

Kitu muhimu ni kuepuka pombe ambazo brands zake ni questionable.

Na pia, kitu muhimu sana kuangalia expiry dates.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…