Ukiilinganisha na makolo je?Niwape pongezi wanajangwani.
Ila kwa jicho langu binafsi la tatu hii timu sio bora kivile.
Kwa mfano ikienda kushiriki LigiKUU nchini Uingereza almaarufu kama English Premier League, basi kwa uwezo huu itakuwa inamaliza nafasi kati ya 8 mpaka 13 kila msimu.
Ninashauri maboresho ya umakini yafanyike ili kuifanya wafikie ubora ambao wanaJangwani wanahitaji.
Taifa linaenda kuingia tena kwenye aibu nyingine ya kushuhudia utopolo akiliwa nje ndani.Ukiilinganisha na makolo je?
Uto mwazko huyo ameandika ukweli ambao ni mchungu sanaMakolo on fleeeek!!
Safari hii mtavimba midomo kwa kuongea
Yanga ππππππ
Afadhari hiyo ni ligi kubwa sana kama hata epl yanga hashuki si msimu mmoja tu wapili anachukua ndooNiwape pongezi wanajangwani.
Ila kwa jicho langu binafsi la tatu hii timu sio bora kivile.
Kwa mfano ikienda kushiriki LigiKUU nchini Uingereza almaarufu kama English Premier League, basi kwa uwezo huu itakuwa inamaliza nafasi kati ya 8 mpaka 13 kila msimu.
Ninashauri maboresho ya umakini yafanyike ili kuifanya wafikie ubora ambao wanaJangwani wanahitaji.
Bado wangesema wamedhaminiwa na GSM C.UHata msemi hayo mavi yenu mara ngapi Ila sisi tulikuwa tunataka kikombe tu.. Hii iilkuwa ni Fainali na ni lazima iwe ni mechi ya aina yake.. Kila mtu aliyelipia na kuingia uwanjani amefurahia Kila alichokikuta.. ndo inavyotakiwa hv.. just imagine C.U hii ingebugizwa goli nyingi kama siku Ile tena mapema si ndo nyienyie mngekuja kuongea hapa.. mara hoo kakutana na kibonde.
C.U walijiandaa vyema na walijua wanakwenda kucheza na Timu Bora, me ni Yanga damu Ila nawapongeza sana C.U kwa ushindani waliouonesha umetufanya tutumie Kila mbinu ili tuwashinde na mwsho wa siku Timu kubwa ni kubwa tu.. Ni Bora mara 10 tumekutana na hawa C.U wameonesha uwezo kuliko tungekutana Fainali na nyie Makolo maana nyie tunawapigaga ndani ya dakika 90 tu.
Kitu kinaitwa wivu ni kibaya sana.. mtazungumza sana Ila yote msemayo ni MAVI.
Tunakwenda Club Bingwa na lazima tufike nusu Fainali mwaka huu
Niwape pongezi wanajangwani.
Ila kwa jicho langu binafsi la tatu hii timu sio bora kivile.
Kwa mfano ikienda kushiriki LigiKUU nchini Uingereza almaarufu kama English Premier League, basi kwa uwezo huu itakuwa inamaliza nafasi kati ya 8 mpaka 13 kila msimu.
Ninashauri maboresho ya umakini yafanyike ili kuifanya wafikie ubora ambao wanaJangwani wanahitaji.
Mmeongea yote yameisha mmebaki na hili it's a matter of timeKwenye CAF CL mnaondolewa hatua ya awali tena kwa staili yenu ile mnayopenda ya kupigwa nje ndani