sio kigoma mwisho wa reli,mama huyu nae alidhiki?????????bonyokwa kule kimara mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio kigoma mwisho wa reli,mama huyu nae alidhiki?????????bonyokwa kule kimara mwisho
ishakuwa tatizo
nilikuwa nashangaa bendi yake ilikuwa inakamua hata mwezi wa ramadhani ambao hata akina Kusaga na Freeman waliamua kunyuti
duh!
sasa kwa nini asigombee kwao Kigoma?
sasa wandugu unafikiri mtu kama asha baraka anaweza kupata nafasi ya kugombea ubunge kwa tiketi ya chama gani zaidi ya hichi chama cha majambazi? Hana hadhi ya kuwa mbunge lakini kwa sababu tu inanwezekana akawa nyumba ndogo ya kingunge mmoja wa ccm, comes october 2009, atakuwa mbunge hata kwa kura za maruhani.
asili yao wapi huyu mwanamke?
watanzania tuache ujinga, tupate mtu atakayetuletea maendeleo ya mweli huyu mama hawezi
huyu mama hafai kabisa, ameshindwa kusaidia vijana wake, sina hakika kama anaweza kuwa ma mawazo mbadala kuelekea maendeleo ya kisasa
indicators zote za mapunbgufu ziko kwenye namna anavyoongoza wanamuziki wake na alipokua bima
SHE IS NOT GOOD ENOUGH LABDA ATAFUTE UDIWANI
Jamani waacheni wajaribu,msiwakatishe tamaa.MNEC Nnape nayeye Ubungo au?
tanzania hatuwezi kuendelea kwa kuwa na watu kama asha baraka kwenye sensitive areas, mwache abaki kule anapofaa... kwenye starehe!!!hata udiwani hafai bana
mmh ! sidhani kama ana kipya cha kulifanyaia jimbo hilo hapo ASET japo kadogo kukaoongoza kashindwa kila kukicha migogoro na akina chokoraa
ataliweza jimbo tena jimbo lenyewe matatizo lukuki mateja, machangu , mabaa n.k
nadhani anasukumwa na ile dhana ya 50% wanawake
Sasa wandugu unafikiri mtu kama Asha Baraka anaweza kupata nafasi ya kugombea Ubunge kwa tiketi ya chama gani zaidi ya hichi chama cha majambazi? Hana hadhi ya kuwa mbunge lakini kwa sababu tu inanwezekana akawa nyumba ndogo ya kingunge mmoja wa ccm, comes October 2009, atakuwa mbunge hata kwa kura za maruhani.