Ahsante kwa taarifa, lakini ni vyema hata kule kwenye Blog yake (Dina Marios) aseme hivyo hivyo......................!
Ameshasema kwenye blog yake ametaja source amekutaja na wewe kwamba ndo umesilumia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante kwa taarifa, lakini ni vyema hata kule kwenye Blog yake (Dina Marios) aseme hivyo hivyo......................!
Mchambuzi, je unaonaje ukiandaa pia vipindi vya TV kama wafanyavyo kwenye discovery channels. Au Tanzania hatuna wataalamu wa kuandaa vipindi kama hivyo? (reconstruction/dramatisation of what happened). Hivi watangazaji wa zamani kama akina Kipozi si wanaweza kutuandalia vipindi kama hivyo wakauza kwenye local channels zetu?
Mzee Mtambuzi, heshima mbele mkuu. Nina swali moja. Hivi unajikita tu katika kutuletea kesi zilizotokea Tanzania na zinazowahusu Watanzania au hata za kwingine ili mradi ziwe ziliwahi kukamata nadhari ya watu?
Nimeuliza kwa sababu kuna kesi kama zile za O.J. Simpson na Clara Harris ambazo zote zilihusu mambo ya mapenzi na ambazo simulizi zake zinasisimua sana.
Mzee Mtambuzi, heshima mbele mkuu. Nina swali moja. Hivi unajikita tu katika kutuletea kesi zilizotokea Tanzania na zinazowahusu Watanzania au hata za kwingine ili mradi ziwe ziliwahi kukamata nadhari ya watu?
Nimeuliza kwa sababu kuna kesi kama zile za O.J. Simpson na Clara Harris ambazo zote zilihusu mambo ya mapenzi na ambazo simulizi zake zinasisimua sana.
Tuanzie za Nyumbani hizi za nje tulizisikia sana daily kwenye tv na redio. tunataka hizi ambazo huwa hazitoki ovyo kwa sie wananchi kwa undani woteeeeeeee.
Bado tunasubiri zingine Mtambuzi.
hili hata mini limenishangaza kwa kweli alikuwa na guts gani?Hivi mpaka leo kesi ya mauaji kuna kuwa na jury wawili tu?
Inashangaza sana kuwa Happiness amekubali kwenda kwa Asha, licha ya kuwa alikuwa akimchukulia mume wake ....
...nadhani mama Haule alifungwa "maisha"....30yrs? ...yupo uraiani sasa, au...sina uhakika,
nyumba ikachukuliwa na jeshi..na watoto wakahama nchi kama sikosei...
mama Liundi no comment....inauma sana aiseee....
.....kesi hizi zimenikumbusha Sarah Martin Simbaulanga pia na ule wizi wa ' vijisenti'
Miaka hiyo Sokoine, Nyerere, na Kawawa wakiendesha inji hii...