warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Hili jina sio geni kwa wale waliozaliwa miaka ya themanini huko,ni mkasa wa ukweli na wa kutisha,kufundisha,kuelimisha na kusisimua,mkasa huu ulikuwa unamuhusu mwanamama aliyekuwa anaitwa ASHA MKWIZU,kwa wote ambao hawajui kuhusu hili tukio ingia google search ASHA MKWIZU NA MAUJI YA HAWARA WA MUMEWE,utapata mkasa huu uliyoandikwa kwa kiswahili fasaha na cha kueleweka,nilisomaga mkasa huu kupitia msaada wa akina geah na dinna marios kupitia kipindi chao cha leo tena,kwa kweli ni mkasa wa kutisha sana,ila niliwahi kusikia huyu mama bado yupo,ingekuwa vizuri watangazaji wangefanya nae mahojiano kuhusu mkasa uliomkuta na maisha yake baada ya ile kesi,very interesting story..