Mimi nadhani hapa mama yetu hatumtendei haki. Ok..assume huyo balozi wa Norway kaandika..lakini si kasema kwamba Ban Ki-moon ndo incompetent? sasa mama anaingiaje jamani? boss ndo mwenye matatizo..au mnafikiri kwamba mama akitoka pale yule bwana atakuwa successful? Well I dont know much..ila nimeshasoma somehwere kwamba BAN KWELI HAYUKO AGGRESSIVE katika utendaji wa kazi. Ila ningependa Ban ahukumiwe kama yeye siyo huyu mama. Ni kitu gani mama angefanya na hakufanya? What was the expectations? Jamani Africa yetu matatizo hayakuanza leo. Infact mimi na wewe tuna nafasi kubwa ya kuibadilisha nchi yetu kuliko kutegemea watu kama akina Migiro.
Kikubwa ninachoona hapa..ni kwamba binadamu tumezoea status quo..tukiona mtu ambaye siyo mwenzetu anaingia kwenye "inner circle" tunajiuliza maswali mengi. Kikubwa wengi wetu/wao wanaosema kwamba mama ni incompetent ni kwasababu wanaona hakustahili kuwa alipo. Maana kuna mabureacrats wengi wamekaa UN miaka kibao mpaka leo wanapiga marktime tuu! SASA wanashangaa mama hana "experience" harafu ni second in command.
Well, simhukumu wala kumtetea mama, lakini nadhani with all fairness...Migiro is just a international civil servants kama wengine. Ban akiamua kumdrop ni uamuzi wake after all ndo alimpa kazi. Jamani kwani leo kikwete akimfukuza kazi Pinda..who will complain? Ila tusitafute visingizio. Mimi kwa kweli sikuwa na expectation yoyote kwa mama Migiro. Let her do her job. Mda wake ukiisha aje tuijenge nchi yetu-kama bado inajengeka! Infact nadhani Hasheem Thabeet anaweza kuwa balozi wetu mzuri kuliko Migiro. Maana Hashim anadeal na michezo ambayo wa-US wanapenda..na wale ndo wenye hela za utalii. I dont think if there is any serious American (save few politicians with their national interests) who care about UN as a body.