Ashakum si matusi, ila nachelea kusema kuwa taaluma ya habari imevamiwa na vilaza

Ashakum si matusi, ila nachelea kusema kuwa taaluma ya habari imevamiwa na vilaza

Niende moja kwa moja kwenye pointi

Kumeibuka na wimbi la wahandishi wa habari uchwara kutokana na kuongezeka kubwa la onlineTVs lakini ukiangalia utendaji kazi wao 98% wengi ni vilaza na hawana uelewa wowote kuhusu taaluma ya uhandishi wa habari ila unaweza kusema unawaone onlineTVs ila ukichunguza pia kwenye Mainstream Media hali ya ukosefu wa weledi ndo mbaya zaidi

Yani akipatikana tu mtu yeyote anaeweza kununua kamera na mic au anauwezo wa kuanzia radio na tv basi anamtafuta mtu yeyote anamuweka hapo na yeye tayari anakua muhandishi wa habari.

Sijajua kwa wengine ila kwa upande wangu sijajua kama uhandishi wa habari wa kisasa ili uonekane muhandishi mkali ni lazima uulize maswali ya kimbeya au maswali ya kutaka kuchonganisha watu pasipo sababu yani imekua ndo fasheni

Mfano juzi kuna muhandishi mmoja nimemsikia anamuuliza msanii DullySykes studio swali eti "chidbenz anatumia madawa ya aina gani"?!...ili iweje ndugu muhandishi
jana nimemsikia muhandishi mwigine anamuuliza mama mmoja kungwi ili atoe maoni yake "kwanini Rushyna anadai kua kwa hadhi ya Hamisa hakustahili kuolewa na Aziz Ki na hajui eti kampendea nini mwanume mwenye mdomo kama ule" unauliza maswali ili uchonganishe watu si ndio ndugu muhandishi?!..aya leo tena naamka tu asubuhi namsikia muhandishi mwingine anamuuliza mama zuchu kwanini zuchu wanamuita king'ang'a...ivi unauliza swali kama ili upate nini na hadhira yako umepanga kuhilisha nini ndugu muhandishi?!...yani daah fani ya uhandishi wa habari siku hizi inachezewa sana ni kinyaa kwa kweli na kuna mifano mingi sana siwezi kuimaliza yote

Naomba kuwauliza nyie wanahabari wa media za bongo ni nini hasa lengo la uhandishi wenu
1.Kuchonganisha na kugombanisha watu?
2.Kuijenga au kuibomoa jamii?
3.Kuforce content ili habari zenu zitrend?
5.Ukosefu wa weledi na profesionalism?
4. Au ni njaa tu na ukosefu wa ajira kwahiyo mmeamua kubeba vitonge kuingia mitahani kufanya vihoja?

Naiomba serikali iingilie kati kuhusu hii taaluma ya uanahabari ingefaa waandishi wote wachunguzwe elimu zao na wapewe leseni na ambao wana elimu ndogo na wasio na elimu kabisa wote warudi shuleni wakasome kwasababu 98% ya waandishi hawana weledi kabisa na fani ya uanahabri.. tasnia imejaa vilaza watupu

Waziri wa teknolojia na habari naomba lifanyie kazi hili swala na naomba kuliwasilisha hili mezani kwako kwa ajili ya utekelezaji
Wewe mwenyewe kilaza unapata wapi uhalali wa kukosoa vilaza wenzako!
 
Thibitisha kwa kuleta vielelezo visivyotiliwa mashaka.

Mkuu umechemka. Wahandishi haiendani hata na mzizi wa neno lenyewe.

Mwandishi......ni mtu anayefanya kazi ya kuandika.

Andika .......mwandishi.
Lima ......mkulima.

Tuje kwenye mhandishi sasa. Unataka kusema ni mtu anyehandika??

Handika......mhandishi!!!!? ××
Mkuu tuchangie mada iliyo mezani mambo ya kusahihishana lugha tumuachie Mlumbi wa kiswahili Joram Nkumbi ndo mambo yake hayo sisi tujikite kwenye kuchangia mada...ndomana jamiiforums kuna admins watafanya kazi yao kama kuna makosa yeyote ya kisarufi
 
Mkuu tuchangie mada iliyo mezani mambo ya kusahihishana lugha tumuachie Mlumbi wa kiswahili Joram Nkumbi ndo mambo yake hayo sisi tujikite kwenye kuchangia mada...ndomana jamiiforums kuna admins watafanya kazi yao kama kuna makosa yeyote ya kisarufi
Mada yako imejipambanua kwenye ukosoaji wa waandishi wa habari. Umewakosoa kwa namna wanavyofanya vitu vya hovyo ktk tasnia ya habari. Sasa kwann wewe hutaki kukosolewa?
 
Niende moja kwa moja kwenye pointi

Kumeibuka na wimbi la wahandishi wa habari uchwara kutokana na kuongezeka kubwa la onlineTVs lakini ukiangalia utendaji kazi wao 98% wengi ni vilaza na hawana uelewa wowote kuhusu taaluma ya uhandishi wa habari ila unaweza kusema unawaone onlineTVs ila ukichunguza pia kwenye Mainstream Media hali ya ukosefu wa weledi ndo mbaya zaidi

Yani akipatikana tu mtu yeyote anaeweza kununua kamera na mic au anauwezo wa kuanzia radio na tv basi anamtafuta mtu yeyote anamuweka hapo na yeye tayari anakua muhandishi wa habari.

Sijajua kwa wengine ila kwa upande wangu sijajua kama uhandishi wa habari wa kisasa ili uonekane muhandishi mkali ni lazima uulize maswali ya kimbeya au maswali ya kutaka kuchonganisha watu pasipo sababu yani imekua ndo fasheni

Mfano juzi kuna muhandishi mmoja nimemsikia anamuuliza msanii DullySykes studio swali eti "chidbenz anatumia madawa ya aina gani"?!...ili iweje ndugu muhandishi
jana nimemsikia muhandishi mwigine anamuuliza mama mmoja kungwi ili atoe maoni yake "kwanini Rushyna anadai kua kwa hadhi ya Hamisa hakustahili kuolewa na Aziz Ki na hajui eti kampendea nini mwanume mwenye mdomo kama ule" unauliza maswali ili uchonganishe watu si ndio ndugu muhandishi?!..aya leo tena naamka tu asubuhi namsikia muhandishi mwingine anamuuliza mama zuchu kwanini zuchu wanamuita king'ang'a...ivi unauliza swali kama ili upate nini na hadhira yako umepanga kuhilisha nini ndugu muhandishi?!...yani daah fani ya uhandishi wa habari siku hizi inachezewa sana ni kinyaa kwa kweli na kuna mifano mingi sana siwezi kuimaliza yote

Naomba kuwauliza nyie wanahabari wa media za bongo ni nini hasa lengo la uhandishi wenu
1.Kuchonganisha na kugombanisha watu?
2.Kuijenga au kuibomoa jamii?
3.Kuforce content ili habari zenu zitrend?
5.Ukosefu wa weledi na profesionalism?
4. Au ni njaa tu na ukosefu wa ajira kwahiyo mmeamua kubeba vitonge kuingia mitahani kufanya vihoja?

Naiomba serikali iingilie kati kuhusu hii taaluma ya uanahabari ingefaa waandishi wote wachunguzwe elimu zao na wapewe leseni na ambao wana elimu ndogo na wasio na elimu kabisa wote warudi shuleni wakasome kwasababu 98% ya waandishi hawana weledi kabisa na fani ya uanahabri.. tasnia imejaa vilaza watupu

Waziri wa teknolojia na habari naomba lifanyie kazi hili swala na naomba kuliwasilisha hili mezani kwako kwa ajili ya utekelezaji
Tatizo wabongo wengi (kama wewe) wanapenda shortcuts na haya mapendekezo yenu yanaonesha tatizo lilipo.

Tatizo ni elimu ndogo ya jamii.

Suluhisho, ongeza elimu kwa jamii. Hao vilaza wote mpaka wabunge wasio na elimu wataondoka automatically bila sharti lolote la serikali.

Jamii iliyoelimika haitataka kusikiliza watangazaji wajinga. Kutoka hapo market forces zita dictate nani atangaze na nani asitangaze. Huhitaji sharti la serikali hapo.

Hata pendekezo lako haliwezi kusaidia kwenye jamii yenye elimu ndogo na isiyo na utashi wa kujielimisha.

Kwa sababu a stupid audience will want stupidity in their shows and market forces will dictate the shows to be stupid. This is a business, businesses cater to markets.

Na ninapoongelea elimu, siongelei vyeti, naongelea elimu.

Mgonjwa ana kifua kikuu cha UKIMWI, wewe unataka apone kwa kumpa Cofta inayotuliza kikohozi.

Huwezi kutatua tatizo.

Zaidi, utatengeneza tatizo lingine la censorship na ukiritimba.

Kwa hiyo tatizo la kwanza hutatatua, halafu utatengeneza matatizo mengine.
 
Wewe ndio kilaza aisee.

Sasa hao wanawahoji celebrities, huko wanaulizana maswali yoteyote tu, na mengi ni kua ili muulizwaji ajichanganye atumie hasira ajibu hovyo media yake itrend.
 
Mada yako imejipambanua kwenye ukosoaji wa waandishi wa habari. Umewakosoa kwa namna wanavyofanya vitu vya hovyo ktk tasnia ya habari. Sasa kwann wewe hutaki kukosolewa?
Mimi kitaaluma ni engineer ni graduate wa Telecommunication Engineering...sisi maengineer tunatambulika kwa kiswahili kama WAHANDISI na sio WAANDISI..kwahy kwenye kanuni za lugha unaruhusiwa kutohoa maneno kwahy nimetohoa neno kutoa WAHANDISI kwenda WAHANDISHI wataalamu wa kiswahili wanajua vizuri mambo ya kutohoa na pia mtumiaji wa lugha anaweza kuhathiriwa na rahaja...Mod naomba unilinde kama kuna marekebisho naomba yafanyike wakuu wanatoka nje ya mada
 
Mimi kitaaluma ni engineer ni graduate wa Telecommunication Engineering...sisi maengineer tunatambulika kwa kiswahili kama WAHANDISI na sio WAANDISI..kwahy kwenye kanuni za lugha unaruhusiwa kutohoa maneno kwahy nimetohoa neno kutoa WAHANDISI kwenda WAHANDISHI wataalamu wa kiswahili wanajua vizuri mambo ya kutohoa na pia mtumiaji wa lugha anaweza kuhathiriwa na rahaja...Mod naomba unilinde kama kuna marekebisho naomba yafanyike wakuu wanatoka nje ya mada
Kama ulikusudia hilo basi ungewaita WAHANDISI WA HABARI.
 
Umeongea ukweli,halisi,waandishi wengi wa bongo ni bais,wame luck media ethic and conduct,si watafiti na hawana 5W,mean katikq uwandishi wao haya maswali hayako,what?when?where?why and to whom?.watangazaji wengi tanzania wana pewa presentetion kwa vile ni watu maarufu,wanajua kuongea,wanamuonekano mzuri au sauti nzuri.hakuna proffesionalism.
 
Asilimia kubwa na wavivu wa kufanya research,hawa wezi kubalance story,source zao sio,wana copy kwenye mitandao....wengi hawana taaliuma ya habari,wenye taaluma hawapati nafasi maana hao walio kalia viti na maanisha wakubwa wa media nao tia tia maji wanaogopa,vijana wenye taaluma wanaweza kuwa nywnganya mamlaka ndo maana hawa ajiri wala hawawataki waandishi wasomi,nimemaliza degree ya mass communication,2009,hadi leo sijabahatika kuajiriwa wala kupata na fasi ya makala yoyote.now nimeamua kutunza chet niwee machinga tu.ila nikiskiliza watangazaji wengi ni vilaza
 
Mimi kitaaluma ni engineer ni graduate wa Telecommunication Engineering...sisi maengineer tunatambulika kwa kiswahili kama WAHANDISI na sio WAANDISI..kwahy kwenye kanuni za lugha unaruhusiwa kutohoa maneno kwahy nimetohoa neno kutoa WAHANDISI kwenda WAHANDISHI wataalamu wa kiswahili wanajua vizuri mambo ya kutohoa na pia mtumiaji wa lugha anaweza kuhathiriwa na rahaja...Mod naomba unilinde kama kuna marekebisho naomba yafanyike wakuu wanatoka nje ya mada
Kwahiyo Mhandisi umeamua kuwaongelea Wahandishi sio?!

Kajifunze lugha vyema kaba hujaandika unachotaka kuandika.

Uhalali wa kuwasema upo wapi kama kuandika kwa ufasaha kunakushinda?
 
Mimi kitaaluma ni engineer ni graduate wa Telecommunication Engineering...sisi maengineer tunatambulika kwa kiswahili kama WAHANDISI na sio WAANDISI..kwahy kwenye kanuni za lugha unaruhusiwa kutohoa maneno kwahy nimetohoa neno kutoa WAHANDISI kwenda WAHANDISHI wataalamu wa kiswahili wanajua vizuri mambo ya kutohoa na pia mtumiaji wa lugha anaweza kuhathiriwa na rahaja...Mod naomba unilinde kama kuna marekebisho naomba yafanyike wakuu wanatoka nje ya mada
Acha ku sugarcoat makosa yako, kubali umekosea ni Waandishi siyo Wahandishi, wewe kuwa Muhandisi haikupi mandet ya kubadili Waandishi na kuwaita wahandishi, Waandishi limetokana na nejo kuandika na siyo kuhandika
 
Back
Top Bottom