Ashakuum si Matusi. Hii Kitu nimekuwa nikiisikia ikijadiliwa sana tu Mijini na Vijijini tena na Wazee je, ina Ukweli wowote ule?

Hee, makubwa haya duh 😛
 
Akina Tomaso mpaka tuone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo la kwanza kuna mdau humu JF alilitolea ushudua kuwa limemsaidia kijana wake.
 
Kiongozi, hilo la mtoto wa kiume na mama nilisikia Singida miaka mingi.

Walikuwa wanasema mama anamvulia mwanae na kumwonyesha tupu yake.

Lakini huwa kuna maandalizi mengine yamefanyika. Hatua hiyo ni kama hitimisho tu.
[emoji848][emoji848][emoji44][emoji44]inatisha lakini

Jr[emoji769]
 
Ya kwanza nilishawahi sikia, hiyo ya pili ndo nasikia kutoka kwako.
Hakuna udhibitisho wowote kuwa zinafanya kazi, huenda ni mwendelezo wa risasi kuwa maji, kinjekitile type.
 
Sure hata mimi niliusoma hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…