Ashakuum si Matusi. Hii Kitu nimekuwa nikiisikia ikijadiliwa sana tu Mijini na Vijijini tena na Wazee je, ina Ukweli wowote ule?

What you think what comes...

Imani yako ndo itakayo kuponya..

Our life do shapes with our thoughts..
 


Nimekuelewa saana mkuu...hyo nguvu ya kuvuta naielewa!...kuna kipindi nilianza kujifunza nikahis ntakuwa mental....upande wetu sisi tunazaa zaisi watoto wa kiume..πŸ˜ƒπŸ˜ƒbasi dada yangu akaanza kusoma hiyo nguvu ya kuvuta .akaanza nunua nguo za watoto wa kike hana mimba...akatafuta na jina kbs la mtoto wa kike...! Alipoamua kubeba mimba akaleta mdada! Mie naijua sana hiyo power of attraction...kuna mhindi mmoja you tube ndo anaielezeaga poa sana..!.ni kweli kila kitu kinaanzia kwa ubongo aise! Bas mada imefungwa!
 
Kweli huu mwaka mgumu na hii corona hatari...
 
Kwa namba moja sio mgeni na kuna mtu alishamfanyia mwanae akapona. Tena yeye alimfanyia akiwa bado mdogo sana alipogungua tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Na nasikia ya kwamba hili Zoezi kama Mama Mzazi akigundua tatizo la Mwanae na kulifanya akiwa Mdogo linapendeza sana tu.
 

Nashukuru sana Kama umenielewa na nafurah kuona ulishawai kushuhudia hiyo nguvu...

Mana wachache Kwenye wengi wanaoweza kaumini hyo power,pia wachache sana wenye uwezo wa kuitumia hyo power na kuwaletea faida ktk maisha yao.

Mm ni muumini mzur wa dini ya kiislamu,huwa naamini hii power na hasa ninaitumia ninapoomba shida zangu kwa Mwenyezi Mungu,na huwa nafanikiwa....kikubwa ni kuamini,kuhisi (focus) na kutarajia.

Ila nimependa process alizotumia huyo dada kuapply hiyo nguvu.
 

Kwahiyo na Wewe Ndugu ulijiingizia hiko Kichupa Matakoni ( Mkunduni ) Kwako kama ulivyosema hapa? Hongera kwa Zoezi.
 


Islam mnajifunza?..mie naivuta zaidi kupata mafanikio aisee...ila inabidi uwe very positive!πŸ˜…πŸ˜…!usiwe ingia toka...kama una machapisho naomba
 
Kwahiyo her umuache abaki na ukhanithi wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya kiimani zaidi, wanasema hata kijana wa Kikurya akikuibia na akikamatwa akihojiwa akikataa kama hajaiba inatakiwa arambishwe K ya ng'ombe hapo lazima hayokubali wanasema akiramba tu basi huko nyumbani kwao kijijini hali inakuwa sio shwari. [emoji38][emoji38][emoji38]Sijui hii nayo ina ukweli? Ila wanasema kama kaiba kweli ataongea ukweli wote lakini K ya ng'ombe abadan hatoramba! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

"Ψ±Ω…ΨΆΨ§Ω† ΩƒΨ±ΩŠΩ… ΩˆΨ΅ΩˆΩ… Ω…Ω‚Ψ¨ΩˆΩ„"
 
Islam mnajifunza?..mie naivuta zaidi kupata mafanikio aisee...ila inabidi uwe very positive!πŸ˜…πŸ˜…!usiwe ingia toka...kama una machapisho naomba

Hii nguvu inafungamana na maswala mazima ya Imani (kuamini) so unavyoomba kitu huwa unaamini ulimwengu unakusikia na huo ulimwengu ndo utakupa hcho unachokiomba au kitaka coz unaamini ulimwengu ndo unakilakitu (power of hearing)...

Neno ulimwengu limebeba maana pana kulingana na Imani unayoiamini (either Mungu,sanamu,mzima n.k)...
Ata dada ako aliamini hili kuwa ulimwengu umemsikia ndo mana akaanza kununua nguo na kujianda kihisia zaidi kwamba atayar kashapata mtoto wa kike.

Nina vitabu, audio na short video ya hv vtu nicheki tunaweza share.
 


Ukisoma haya machapisho kila kitu unachotaka kiko kwa mind yako..very powerful!...nilisoma jinsi ya kuifanya nyota yako ing'ae ... kusafisha yako aiseeπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„!...! Ntayarudia tena..ntakuchek soon mkuu!
 
Kuhusu suala la kwanza hata mimi nilishalisikia kwa kuhadithiwa tu lakini sijawahi kuthibitisha
Sasa mwamba haujiulizi kwanini huyo mtoto hakupona hilo tatizo wakati anazaliwa kama alizaliwa kwa njia ya kawaida siyo upasuaji?

Maana wakati anazaliwa hiyo dhakari yake ilipita na kugusa hapo hapo wanapotaka wagusishe baadaya ya miaka kupita!!

Dawa zingine ni imani tu, wapo watoto inawachukua miaka hadi hiyo kitu kuanza kusimama, na mara nyingi wakiamka kukojoa usiku au asubuhi mapema 'inasimika' kama kawaida.

Tatizo hapo ni uoga na haraka za wazazi, wild thoughts za wazizi ndio zina wapagawisha wanaenda kumchovya mtoto alipotokea kitu ambacho siyo sahihi na magonjwa ya sasa. Kuna HPV na mazaga mengine ya hatari yanakuwa hiyo sehemu na haijulikani haraka, huja kuleta madhara yanayo onekana baadae sana, mfano mtoto anakuja kuota genital warts kwenye kichwa cha dhakari kwenye tundu la mkoja mnashangaa katoa wapi.

Kisha mnaanza na tiba za mionzi kuchoma hicho kichwa cha dhakari!!

CC: Mzukulu usisahau kumuita na yule mber muandamizi wa JF aliyekuja kuomba ushauri kama mwanawe apewe tiba hii?
 

Ndugu Wewe ni Mhaya au Mnyiramba au Muha au Mnyaturu au Mkara au Mrangi hivyo Kimila una Utani nao hawa Wakurya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…