Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Mambo ya kiimani zaidi, wanasema hata kijana wa Kikurya akikuibia na akikamatwa akihojiwa akikataa kama hajaiba inatakiwa arambishwe K ya ng'ombe hapo lazima hayokubali wanasema akiramba tu basi huko nyumbani kwao kijijini hali inakuwa sio shwari. [emoji38][emoji38][emoji38]Sijui hii nayo ina ukweli? Ila wanasema kama kaiba kweli ataongea ukweli wote lakini K ya ng'ombe abadan hatoramba! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
"رمضان كريم وصوم مقبول"
🤣🤣🤣dah haya mambo jamani....kuna nyingine wanasema ukitaka usirudi sehemu unayoishi kanywee maji ya kunywa choon..ati utasahau kbs kurudi ...hahahaa