Ashkenazi jews VS wayahudi asili?? Ukweli ni upi....

Ashkenazi jews VS wayahudi asili?? Ukweli ni upi....

zitto junior

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2013
Posts
20,537
Reaction score
31,729
Habari za jioni wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada....

Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza nimekuwa nikijiuliza sana kwa muda mrefu hili swali je wayahudi halisi wamekwenda wapi na je hawa wayahudi wa ashkenazi asili yao ni ipi hasa ??

Tukisoma kwenye biblia Mwanzo 10 inasema Ashkenazi alitokana na Gomer mtoto wa japheth baba wa wazungu wote

Mwanzo 10
1 Hivi ndivyo vizazi vya wana wa Nuhu, Shemu, na Hamu, na Yafethi. Na kwao walizaliwa wana wa kiume baada ya gharika.
2 Wana wa Yafethi ni Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi.
3 Na wana wa Gomeri ni Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.


ilihali kwenye mwanzo 10 hiyo hiyo pamoja na vitabu vingi vya kihistoria vinatuonyesha wayahudi/Israelites halisi ni wale waliozaliwa kwenye kizazi cha SHEM kupitia Abraham ambaye kupitia yeye ndio taifa la israel likaanzishwa

Mwanzo 12
7.BWANA akamtokea Abramu, akasema, Uzao wako nitawapa nchi hii. Naye huko akamjengea madhabahu BWANA aliyemtokea

Mwanzo 15
18 Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,

Nimeuliza hivi sababu kuna mkanganyiko hasa kwa wakristo kwamba Israel ni taifa teule ila ambacho hawafahamu ni kwamba 90% ya wayahudi/ waisrael waliopo duniani leo ni Ashkenazi jews yaani sio damu ya abraham KABISA je wanaposema ni taifa teule na wanalihusisha na israel iliyotajwa kwenye biblia ilihali hawa wa sasa ni tofauti kabisa na wa kwenye biblia wale walikuwa jamii ya SEMITIC ila hawa wa sasa ni ARYANS

Kwa kuwa JF ni kisima cha maarifa nimeona nilete mada hii ili wajuvi wa mambo waweze kutujuza zaidi je Ashkenazi jews asili yao kabisa ni ipi maana waandishi kibao wanamaoni tofauti na je Wayahudi asili walitoweka wapi??

Natanguliza shukrani kwa wote

Cc: Malcolm Lumumba , GuDume , Izzo , na wadau wote wa jukwaa hili
 
Watu wanaoishi kwenye hiyo nchi inayo itwa israel siyo wale waliyo toka misri kwa sababu waliacha kumfuata Mungu. Kwa msaada zaidi kasome Kumbukumbu la torati kwanzia mstari wa 28 hadi 29 pale kuna baraka na laana, baraka ikiwa watamfuata Mungu na maagizo yake, Laana itakuja ikiwa wamemkataa Mungu na maagizo yake. Waisrael walimkata masii wao na wakamuua na kuyaacha yote waliyo fundishwa na babu zao. Waisrael halisi bado wapo kwenye taabu na shida kuu!! kwa sababu hawakuutambua wakati unao faa.
 
Watu wanaoishi kwenye hiyo nchi inayo itwa israel siyo wale waliyo toka misri kwa sababu waliacha kumfuata Mungu. Kwa msaada zaidi kasome Kumbukumbu la torati kwanzia mstari wa 28 hadi 29 pale kuna baraka na laana, baraka ikiwa watamfuata Mungu na maagizo yake, Laana itakuja ikiwa wamemkataa Mungu na maagizo yake. Waisrael walimkata masii wao na wakamuua na kuyaacha yote waliyo fundishwa na babu zao. Waisrael halisi bado wapo kwenye taabu na shida kuu!! kwa sababu hawakuutambua wakati unao faa.
Nashkuru kwa maelezo yako.... Hapo chini unasema WAPO KWENYE TABU.... Je wako wapi na nchi gani ??
 
Nashkuru kwa maelezo yako.... Hapo chini unasema WAPO KWENYE TABU.... Je wako wapi na nchi gani ??
Hapo sasa ndiyo unatakiwa utumie akili, kwenye kumbukumbu la torati ukisoma taratibu
Utaposa mke, lakini mtu mwingine atakutana naye kimwili. Utajenga nyumba, lakini hutaishi ndani yake. Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutakula matunda yake. 31Ng'ombe wako atachinjwa mbele ya macho yako lakini hutakula nyama yake. Punda wako atachukuliwa kwa nguvu kutoka kwako wala hatarudishwa. Kondoo wako watapewa adui zako, wala hakuna mtu ye yote wa kuwaokoa. 32Wanao na binti zako watatolewa kwa mataifa mengine, nawe utayachosha macho yako ukiwatazamia siku baada ya siku, hutakuwa na nguvu kuinua mkono. Taifa usilolijua watakula mazao ya nchi yako na taabu ya kazi yako, hutakuwa na cho chote, bali kuonewa kikatili siku zako zote. 34Vitu utakavyoviona kwa macho yako vitakufanya kuwa na wazimu. 35
 
Hapo sasa ndiyo unatakiwa utumie akili, kwenye kumbukumbu la torati ukisoma taratibu
Utaposa mke, lakini mtu mwingine atakutana naye kimwili. Utajenga nyumba, lakini hutaishi ndani yake. Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutakula matunda yake. 31Ng'ombe wako atachinjwa mbele ya macho yako lakini hutakula nyama yake. Punda wako atachukuliwa kwa nguvu kutoka kwako wala hatarudishwa. Kondoo wako watapewa adui zako, wala hakuna mtu ye yote wa kuwaokoa. 32Wanao na binti zako watatolewa kwa mataifa mengine, nawe utayachosha macho yako ukiwatazamia siku baada ya siku, hutakuwa na nguvu kuinua mkono. Taifa usilolijua watakula mazao ya nchi yako na taabu ya kazi yako, hutakuwa na cho chote, bali kuonewa kikatili siku zako zote. 34Vitu utakavyoviona kwa macho yako vitakufanya kuwa na wazimu. 35
Da bonge la laana. waweza iandika kizungu hii na reference yake kamili inakopatikana?
 
Habari za jioni wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada....

Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza nimekuwa nikijiuliza sana kwa muda mrefu hili swali je wayahudi halisi wamekwenda wapi na je hawa wayahudi wa ashkenazi asili yao ni ipi hasa ??

Tukisoma kwenye biblia Mwanzo 10 inasema Ashkenazi alitokana na Gomer mtoto wa japheth baba wa wazungu wote

Mwanzo 10
1 Hivi ndivyo vizazi vya wana wa Nuhu, Shemu, na Hamu, na Yafethi. Na kwao walizaliwa wana wa kiume baada ya gharika.
2 Wana wa Yafethi ni Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi.
3 Na wana wa Gomeri ni Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.


ilihali kwenye mwanzo 10 hiyo hiyo pamoja na vitabu vingi vya kihistoria vinatuonyesha wayahudi/Israelites halisi ni wale waliozaliwa kwenye kizazi cha SHEM kupitia Abraham ambaye kupitia yeye ndio taifa la israel likaanzishwa

Mwanzo 12
7.BWANA akamtokea Abramu, akasema, Uzao wako nitawapa nchi hii. Naye huko akamjengea madhabahu BWANA aliyemtokea

Mwanzo 15
18 Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,

Nimeuliza hivi sababu kuna mkanganyiko hasa kwa wakristo kwamba Israel ni taifa teule ila ambacho hawafahamu ni kwamba 90% ya wayahudi/ waisrael waliopo duniani leo ni Ashkenazi jews yaani sio damu ya abraham KABISA je wanaposema ni taifa teule na wanalihusisha na israel iliyotajwa kwenye biblia ilihali hawa wa sasa ni tofauti kabisa na wa kwenye biblia wale walikuwa jamii ya SEMITIC ila hawa wa sasa ni ARYANS

Kwa kuwa JF ni kisima cha maarifa nimeona nilete mada hii ili wajuvi wa mambo waweze kutujuza zaidi je Ashkenazi jews asili yao kabisa ni ipi maana waandishi kibao wanamaoni tofauti na je Wayahudi asili walitoweka wapi??

Natanguliza shukrani kwa wote

Cc: Malcolm Lumumba , GuDume , Izzo , na wadau wote wa jukwaa hili

zitto junior, sina hakika kama wewe ni msomaji mzuri wa Biblia, maana ukiisoma kwa umakini utagundua kuwa Waisraeli ni uzao wa Yakobo, kabla ya Yakobo hakukuwa na taifa wala watu walioitwa Waisraeli, maana Yakobo ndiye Israeli mwenyewe na taifa la Israeli lilianzishwa na Wanaisraeli waliotoka Misri chini ya uongozi wa Musa na kuvamia Kanaani mnamo mwaka 1200 KK chini ya Yoshua. Muungano huo wa vikundi na makabila ukawa taifa na kuunda ufalme wa kwanza wa Israeli wakati wa mfalme Sauli aliyefuatiwa na Daudi na baadaye mwanawe Suleimani

Halafu hao unaowaita Wayahudi (Jews), ni kabila moja tu miongoni mwa makabila 12 ya Waisraeli (lililotokana na mtoto wa nne wa Israeli, Yuda). Hivyo kabla ya Yuda hakukuwa na watu walioitwa Wayahudi.

Kwa nini Wayahudi wanajulikana zaidi kuliko makabila mengine? Kumbuka wafalme wa Israeli walitoka kabila la Yuda (na hata Yesu ni wa kabila la Yuda). Baada ya kifo cha Suleimani kulitokea farakano na jina la "Israeli" likatumiwa na ufalme wa Kaskazini, wakati uliokuwa mji mkuu wa Yerusalemu ukaendelea kama mji mkuu wa ufalme wa Yuda (Yahudi).

Hawa Wayuda walikuwa hodari na walionekana kujitenga na wengine na hapo ndipo Waisraeli wa Kaskazini walipokuwa wakiwaita wenzao wa Kusini Wayuda (Yehudi/ Yahudi)... Lakini baadaye ikaja tafsiri nyingine iliyouhusisha Uyahudi na imani ya kidini. Kwa mujibu wa marabi Wayahudi au Myahudi ni yule ambaye ana mama kutoka kabila la Yuda (Myahudi) au mtu ambaye rasmi hubadilishwa kwa Uyahudi. Mambo ya Walawi 24:10 mara nyingi inachukuliwa kuupa uaminifu huu imani, ndiyo maana kwa sasa Uyahudi ni imani ya dini za kale...
 
zitto junior, sina hakika kama wewe ni msomaji mzuri wa Biblia, maana ukiisoma kwa umakini utagundua kuwa Waisraeli ni uzao wa Yakobo, kabla ya Yakobo hakukuwa na taifa wala watu walioitwa Waisraeli, maana Yakobo ndiye Israeli mwenyewe na taifa la Israeli lilianzishwa na Wanaisraeli waliotoka Misri chini ya uongozi wa Musa na kuvamia Kanaani mnamo mwaka 1200 KK chini ya Yoshua. Muungano huo wa vikundi na makabila ukawa taifa na kuunda ufalme wa kwanza wa Israeli wakati wa mfalme Sauli aliyefuatiwa na Daudi na baadaye mwanawe Suleimani

Halafu hao unaowaita Wayahudi (Jews), ni kabila moja tu miongoni mwa makabila 12 ya Waisraeli (lililotokana na mtoto wa nne wa Israeli, Yuda). Hivyo kabla ya Yuda hakukuwa na watu walioitwa Wayahudi.

Kwa nini Wayahudi wanajulikana zaidi kuliko makabila mengine? Kumbuka wafalme wa Israeli walitoka kabila la Yuda (na hata Yesu ni wa kabila la Yuda). Baada ya kifo cha Suleimani kulitokea farakano na jina la "Israeli" likatumiwa na ufalme wa Kaskazini, wakati uliokuwa mji mkuu wa Yerusalemu ukaendelea kama mji mkuu wa ufalme wa Yuda (Yahudi).

Hawa Wayuda walikuwa hodari na walionekana kujitenga na wengine na hapo ndipo Waisraeli wa Kaskazini walipokuwa wakiwaita wenzao wa Kusini Wayuda (Yehudi/ Yahudi)... Lakini baadaye ikaja tafsiri nyingine iliyouhusisha Uyahudi na imani ya kidini. Kwa mujibu wa marabi Wayahudi au Myahudi ni yule ambaye ana mama kutoka kabila la Yuda (Myahudi) au mtu ambaye rasmi hubadilishwa kwa Uyahudi. Mambo ya Walawi 24:10 mara nyingi inachukuliwa kuupa uaminifu huu imani, ndiyo maana kwa sasa Uyahudi ni imani ya dini za kale...
Nimekusoma maelezo yako ila naona labda hujaelewa swali langu ni hivi

Yakobo alikuwa mjukuu wa Abraham ambaye alikuwa ni kitukuu wa SHEM hivyo ni sawa kusema taifa la ISRAELI ni uzao wa SHEM

Upande wa pili tunaye Ashkenazi ambaye ndie mtoto wa gomer ambaye naye ni mtoto wa JAPHET

Hivyo nachojiuliza

1.hawa WAISRAELI wakiashkenazi hawakuwa kati ya yale makabila 12 hivyo najiuliza kwanini wanatambulika kama waisraeli??

2. Asili yao ni ipi mpaka watambulike kama israeli ilihali kibiblia ni uzao tofauti kabisa na waisraeli orojino wale wa damu ya SHEM

3. Kwa takwimu zilizopo zinasema ASHKENAZI ndio 80% ya waisraeli wote duniani..... Hivyo najiuliza wale waisraeli asili yaani kutokea makabila 12 ya yakobo wamekwenda wapi??

Nafkiri sasa umeelewa nachotaka kufaham
 
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji3][emoji16][emoji23]
 
Habari za jioni wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada....

Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza nimekuwa nikijiuliza sana kwa muda mrefu hili swali je wayahudi halisi wamekwenda wapi na je hawa wayahudi wa ashkenazi asili yao ni ipi hasa ??

Tukisoma kwenye biblia Mwanzo 10 inasema Ashkenazi alitokana na Gomer mtoto wa japheth baba wa wazungu wote

Mwanzo 10
1 Hivi ndivyo vizazi vya wana wa Nuhu, Shemu, na Hamu, na Yafethi. Na kwao walizaliwa wana wa kiume baada ya gharika.
2 Wana wa Yafethi ni Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi.
3 Na wana wa Gomeri ni Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.


ilihali kwenye mwanzo 10 hiyo hiyo pamoja na vitabu vingi vya kihistoria vinatuonyesha wayahudi/Israelites halisi ni wale waliozaliwa kwenye kizazi cha SHEM kupitia Abraham ambaye kupitia yeye ndio taifa la israel likaanzishwa

Mwanzo 12
7.BWANA akamtokea Abramu, akasema, Uzao wako nitawapa nchi hii. Naye huko akamjengea madhabahu BWANA aliyemtokea

Mwanzo 15
18 Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,

Nimeuliza hivi sababu kuna mkanganyiko hasa kwa wakristo kwamba Israel ni taifa teule ila ambacho hawafahamu ni kwamba 90% ya wayahudi/ waisrael waliopo duniani leo ni Ashkenazi jews yaani sio damu ya abraham KABISA je wanaposema ni taifa teule na wanalihusisha na israel iliyotajwa kwenye biblia ilihali hawa wa sasa ni tofauti kabisa na wa kwenye biblia wale walikuwa jamii ya SEMITIC ila hawa wa sasa ni ARYANS

Kwa kuwa JF ni kisima cha maarifa nimeona nilete mada hii ili wajuvi wa mambo waweze kutujuza zaidi je Ashkenazi jews asili yao kabisa ni ipi maana waandishi kibao wanamaoni tofauti na je Wayahudi asili walitoweka wapi??

Natanguliza shukrani kwa wote

Cc: Malcolm Lumumba , GuDume , Izzo , na wadau wote wa jukwaa hili
Hii mada yako siwezi kuacha kuwa nayo karibu... Ngoja nichukue kigoda kabisa
 
Watu wanaoishi kwenye hiyo nchi inayo itwa israel siyo wale waliyo toka misri kwa sababu waliacha kumfuata Mungu. Kwa msaada zaidi kasome Kumbukumbu la torati kwanzia mstari wa 28 hadi 29 pale kuna baraka na laana, baraka ikiwa watamfuata Mungu na maagizo yake, Laana itakuja ikiwa wamemkataa Mungu na maagizo yake. Waisrael walimkata masii wao na wakamuua na kuyaacha yote waliyo fundishwa na babu zao. Waisrael halisi bado wapo kwenye taabu na shida kuu!! kwa sababu hawakuutambua wakati unao faa.
mtao mada uko sahih
 
Back
Top Bottom