Ashkenazi jews VS wayahudi asili?? Ukweli ni upi....

Ashkenazi jews VS wayahudi asili?? Ukweli ni upi....

Habari za jioni wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada....

Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza nimekuwa nikijiuliza sana kwa muda mrefu hili swali je wayahudi halisi wamekwenda
Natanguliza shukrani kwa wote

Cc: Malcolm Lumumba , GuDume , Izzo , na wadau wote wa jukwaa hili
Nilisha iongelea hii mada kuhusu taifa la israel na wayahudi wa aina zoote plz soma hii link hapa chini itakusaidia sana mkuu

Uhalisia wa taifa la Israeli

Ila kwa haraka haraka wayahudi halisi walikuwa/wapo ni watu weusi na hao wazungu wanaojiita wayahudi ni “FAKE” pandikizi la shetani la makusudi kabisa ili akija kama mpinga kristo wamkubali! Wayahudi halisi wapo utumwani bado kwakuwa walimkataa Yesu kama masihi wao ile laana ya kumbukumbu la torati 28 ipo juu yao!!
**plz someni vizuri hiyo link hapo juu kila kitu nimeweka maidanganyike na hao wayahudi wa sasahv hapo israel**
 
Nilisha iongelea hii mada kuhusu taifa la israel na wayahudi wa aina zoote plz soma hii link hapa chini itakusaidia sana mkuu

Uhalisia wa taifa la Israeli

Ila kwa haraka haraka wayahudi halisi walikuwa/wapo ni watu weusi na hao wazungu wanaojiita wayahudi ni “FAKE” pandikizi la shetani la makusudi kabisa ili akija kama mpinga kristo wamkubali! Wayahudi halisi wapo utumwani bado kwakuwa walimkataa Yesu kama masihi wao ile laana ya kumbukumbu la torati 28 ipo juu yao!!
**plz someni vizuri hiyo link hapo juu kila kitu nimeweka maidanganyike na hao wayahudi wa sasahv hapo israel**
Asee nmesoma mkuu ubarikiwe naona umemwaga facts zote pamoja na nyaraka..... Hicho kitabu 13th tribe ulichoweka nmekisoma dah nimefunguka sana ufaham kuhusu hii propaganda
 
Asee nmesoma mkuu ubarikiwe naona umemwaga facts zote pamoja na nyaraka..... Hicho kitabu 13th tribe ulichoweka nmekisoma dah nimefunguka sana ufaham kuhusu hii propaganda
nimefurahi kusikia umesoma hiyo link kwenye thread yangu wengi huwa hawasomi kilichoandikwa wanaishia kukashifu tu bado ile pombe ya "israel taifa teule" ipo vichwani mwao tafadhali sambaza hiyo link kwenye platform za social media zingine kuwazindua na wengine wengi zaidi ili wapate kuijua kweli zaidi hasa kwa sisi wakristo
 
nimefurahi kusikia umesoma hiyo link kwenye thread yangu wengi huwa hawasomi kilichoandikwa wanaishia kukashifu tu bado ile pombe ya "israel taifa teule" ipo vichwani mwao tafadhali sambaza hiyo link kwenye platform za social media zingine kuwazindua na wengine wengi zaidi ili wapate kuijua kweli zaidi hasa kwa sisi wakristo
Hiyo ni changamoto sana mkuu kuna wafia dini hata hawataki kuongeza maarifa wao wakikusikia unakosoa israel tu....wao wanaanza kukuona kama mpinga kristo au gaidi flani hivi
 
Hiyo ni changamoto sana mkuu kuna wafia dini hata hawataki kuongeza maarifa wao wakikusikia unakosoa israel tu....wao wanaanza kukuona kama mpinga kristo au gaidi flani hivi
hao wafia dini wapo tu mkuu ndio wale kipindi cha Yesu walikuwa wanaitwa MAFARISAYO hata kipindi hiki wapo wengi sana ila kinachonitia moyo ni kuwa hata mimi mwanzo nilikuwa kama wao ila baadaye nikaujua ukweli kwa kuruhusu kutafakari yale ninayoyaamini au kuambiwa kanisani,wengi wa wakristo tupo kama makinda ya ndege kuasama tu midomo tayari kupokea kutoka kila anayesimama kwenye kiota! Hii maada ya "Uhalisia Wa Wayahudi" kumbe ilikuwa inajulikana tangia enzi na enzi na watu wengi sana maarufu duniani walikuwa wanaujua ukweli kuwa hawa wayahudi wa sasa ni pandikizi la shetani sio halisi! Yesu alitoa utabiri kwenye Luka 21:24 baada ya wayahudi halisi kumkataa kama masihi wao laana ambayo wangeipata ni kuwa watufukuzwa pale israel na Yerusalem itakaliwa na "MATAIFA" hadi muda wa MATAIFA utakapotimilizwa
sasa hao mataifa ndio wapo pale ndio wanajiita eti wao waisrael!!!! kama unasoma maandiko na kutafakari utajua tu wale ni fake sababu neno la Yesu lazima litimie na ukisema wale ni wayahudi halisi basi Yesu alidanganya!!!
 
Hapo sasa ndiyo unatakiwa utumie akili, kwenye kumbukumbu la torati ukisoma taratibu
Utaposa mke, lakini mtu mwingine atakutana naye kimwili. Utajenga nyumba, lakini hutaishi ndani yake. Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutakula matunda yake. 31Ng'ombe wako atachinjwa mbele ya macho yako lakini hutakula nyama yake. Punda wako atachukuliwa kwa nguvu kutoka kwako wala hatarudishwa. Kondoo wako watapewa adui zako, wala hakuna mtu ye yote wa kuwaokoa. 32Wanao na binti zako watatolewa kwa mataifa mengine, nawe utayachosha macho yako ukiwatazamia siku baada ya siku, hutakuwa na nguvu kuinua mkono. Taifa usilolijua watakula mazao ya nchi yako na taabu ya kazi yako, hutakuwa na cho chote, bali kuonewa kikatili siku zako zote. 34Vitu utakavyoviona kwa macho yako vitakufanya kuwa na wazimu. 35
huwa nawaambiwa watu wwaisrael waliaaniwa watu hawanieewu na hawa wacungaji na elimu zao za hapa na pale hata biblia hawaielewi.
 
Ukiangalia hata alama ya zaman ya khazarian ndio hiyo hiyo ipo kwenye bendera ya Sasa ya hawa kina Nentanyau

Khazarian ndio Gogu na Magogu , wali migrate tu hadi israel wamekuwa wengi ndio hao hao wameshika serikali na ndio wenye pesa , ndio hao kina Rothschild family,

Hawa ndio wanafanya hata matamasha ya ushoga pale Tel Aviv ,hawa Kwa kujificha wanajiita Zionism

Wayahudi halisi wapo wachache sana pale israel wengine ni wale wakiroho ,

Pale israel kuna upinzan mkubwa sana kati ya Wayahudi halis na hawa Zionist ambao ndio Khazarian au Ashkenazi ,

Ingia YouTube andika Zionism vs Judaism

Utaona Judaism wakiwapinga Zionist ambao ndio hawa kina Nentanyau

Tatizo Judaism pale israel wapo wachache sana ,
images.jpg
 
Back
Top Bottom