Uchaguzi huru, wa wazi na wa haki, utafanyika humu nchini kwa mujibu wa katiba, sheria, kanuni na taratibu za nchi. Na sio kulingana na maoni, mtazamo, matakwa, malalamiko au maelekezo ya mtu fulani mahala fulani. No, haipo hivyo 🐒
Mtazamo na maoni ya mtu, yasikilizwe na kuheshimiwa, kuongeza ufahamu, tahadhari, maboresho baadae, na uelewa wa masula ya uchaguzi na si vinginevyo🐒
Ni vuzuri zaidi, kujiandaa na kujipanga vizur kushiriki chaguzi zijazo kikamilifu, kwa hiari bila shuruti au mihemko, ili utulivu na Amani ya Mama Tanzania iendelee kutamalaki bila hamaki kwa waTanzania wote 🐒