Asikuambie mtu! Wahaya ni wazuri...

Asikuambie mtu! Wahaya ni wazuri...

Status
Not open for further replies.
Miss chagga unaendeleaje mama? uchaggani mmetoa mamiss wangapi tunaomba takwimu?
 
Wana shepu halisi za kibantu. Ila sura zero kamanda. Afu uzuri hawana mambo mengi yaani anakupa mchezo asap once tu ukishamtongoza.
 
Duuuu sisi tunafanya nao kazi huku Chato na huwa nafuata Maharage Karagwe duuuu sioni uzuri wao kabisa kwanza shobo nyingi ,,Huku ninao wakubali zaidi Ni Wanyarwanda mfano Jana akashuka Jana hapa anatoka Rwanda kidogo nijifanye bodaboda ila appearance ikanihukumu nikahisi atajua nimevamia
Kwelii Mkuu hpo Kwa wanyaruanda ndo penyewee...
 
Wana shepu halisi za kibantu. Ila sura zero kamanda. Afu uzuri hawana mambo mengi yaani anakupa mchezo asap once tu ukishamtongoza.
Hahahaha hivi kwa nini inakuwa hivyo jamani?
 
122f8381ccca5eb3dc9306c008078c56.jpg


MADE IN KAGERA
Looool wakubwa wanafaidi jamani.
Mbona kiuno hakionekani?
[emoji1] [emoji1] kuwa na adabu, kitaonekanaje sasa wakati kavaa nguo
 
Kwenye kila jamii kuna wanawake wazuri na wabaya pia wapo.
Hivyo sasa hoja yako haina mantiki
 
Umenikumbusha wakati nikiwa kijana,post ya kwanza kazi nikapangiwa kilimanjaro.

Mi ugonjwa wangu kwako mwanamke huwa ni shepu hasa miguu na kifuani.

Ilinichukua takribani mwaka bila kupata demu wa kunisisimua maana asilimia kubwa ya mademu hawa dada zangu akina Manka miguu yao ni mithili ya spoko za bodaboda.

Kidogo nilifarijika baada ya kukutana na mdada wa kimbulu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom