Asikudanganye mtu mitishamba inalipa bana...

Asikudanganye mtu mitishamba inalipa bana...

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Glory be to the lord. Tabibu Mwaka..

attachment.php
 

Attachments

  • IMG_6630562627074.jpeg
    IMG_6630562627074.jpeg
    61.5 KB · Views: 1,282
Hahahahaaa dada na mama zetu wanawapa sana utajili hawa watu, ninachokubali ubishi wa wanaume kumuamini kila mtu unatufanya tunapona sana na haya majanga ya kudanganywa.
 
Ana Hummer, Range Rover Sport, Land Cruiser VX, Benz, kasuzuki kadogo na gari gani sijui ile
 
Hongera zake bora huyu kuliko wale mafisadi wa makonteina.
 
N haya mafanikio ndio sababu ya Kigwangala na Mange kumfuata fuata, Kigwangala kabaki na umaarufu wa siasa lakini hana la maana, jamani kama Mwaka angekuwa hajasaidia wanawake wakafanikiwa, asingekuwa na wateja, na kama tatizo ni garama wanaokwenda wanazimudu, mbona garama za kuzalishwa ziko tofauti hospital na hospital? Hata shule zina kiwango tofauti? Angekuwa na huduma zisizo na manufaa kwa jamii tusingekuwa tunamjadili hapa.
 
N haya mafanikio ndio sababu ya Kigwangala na Mange kumfuata fuata, Kigwangala kabaki na umaarufu wa siasa lakini hana la maana, jamani kama Mwaka angekuwa hajasaidia wanawake wakafanikiwa, asingekuwa na wateja, na kama tatizo ni garama wanaokwenda wanazimudu, mbona garama za kuzalishwa ziko tofauti hospital na hospiatal? Hta shule zina kiwanho tofauti? Angekuwa na huduma zisizo na manufaa kwa jamii tusingekuwa tunamjadili hapa.
mkuu tumsubiri majibu ya waziri.Mkuu watu waliokata tama wanatoa hela bila kufanya calculation
 
mkuu tumsubiri majibu ya waziri.Mkuu watu waliokata tama wanatoa hela bila kufanya calculation

Pamoja na kusubiri majibu ya waziri lazima na sisi tujiulize kwa nini Dr. Mwaka? Watu waliokata tamaa wanaenda pale kwa kuona kuna alie enda akafanikiwa, mbona waziri haendi loliondo? tena babu anachemsha majani na kukupa unywe mbele yake, kama serikali iko makini kwa nini walikimbilia kwa babu kunywa dawa na kuchonga barabara ili watu wafike kwa uharaka? kwa nini TFDA hwakwenda kupima ile Dawa? Mafanikio ya Mwaka ndio maumivu ya Dr. Kigwangala yy kasoma sana na hajapata manufa ya udokta wake karukia siasa. Wako wengi sana wanaotibu wafuatiliwe.
 
N haya mafanikio ndio sababu ya Kigwangala na Mange kumfuata fuata, Kigwangala kabaki na umaarufu wa siasa lakini hana la maana, jamani kama Mwaka angekuwa hajasaidia wanawake wakafanikiwa, asingekuwa na wateja, na kama tatizo ni garama wanaokwenda wanazimudu, mbona garama za kuzalishwa ziko tofauti hospital na hospiatal? Hta shule zina kiwanho tofauti? Angekuwa na huduma zisizo na manufaa kwa jamii tusingekuwa tunamjadili hapa.

hata mimi najiuliza maswali kuhusiana na hilo, kama tatizo ni ilegal business, aliempa kibali ni nani kama si serikali yenyewe? shule wanazosoma watotot wetu just a baby class tunalipa million 4 kwa mwaka, basi serikali ingefunga na shule za namana hii tujue nchi yetu only publice sectors ndio zinaoperate,

wamwache, wanaoenda hawajalazimishwa na hakuna aliewahi kuripoti damage yeyote, sasa why now?
 
hata mimi najiuliza maswali kuhusiana na hilo, kama tatizo ni ilegal business, aliempa kibali ni nani kama si serikali yenyewe? shule wanazosoma watotot wetu just a baby class tunalipa million 4 kwa mwaka, basi serikali ingefunga na shule za namana hii tujue nchi yetu only publice sectors ndio zinaoperate,

wamwache, wanaoenda hawajalazimishwa na hakuna aliewahi kuripoti damage yeyote, sasa why now?

jamani tusicheze na afya za watu.tuwetunafanya reasoning kabla ya kusema.Hebu tusubiri ushauri wa kitaalamu.
 
hata mimi najiuliza maswali kuhusiana na hilo, kama tatizo ni ilegal business, aliempa kibali ni nani kama si serikali yenyewe? shule wanazosoma watotot wetu just a baby class tunalipa million 4 kwa mwaka, basi serikali ingefunga na shule za namana hii tujue nchi yetu only publice sectors ndio zinaoperate,

wamwache, wanaoenda hawajalazimishwa na hakuna aliewahi kuripoti damage yeyote, sasa why now?
mkuu Mtende hapa ndipo ujue asilimia kubwa ya viongozi wetu wanataka madaraka wapate kujilimbikizia kipato waew miungu watu, hili swala ni wivu tu wa Kigwangwala hakuna lingine, kuna watu kibao wanatoa tiba tena kwenye mazingira machafu hawashughulikiwi why Dr. Mwaka? Suala la uzazi ni nyeti sana watu wakubwa na viongozi wao wengi wakiwa na tatizo huenda nje ya nchi kwa matibabu tena wengi hunda kupandikizwa mbegu ili wafanikiwe kupata watoto, huko waendako bei ni nafuu kuliko za mwaka? Maduka yamejaa vyakula vilivyokwisha muda na TFDA huwa wanavichukua na kuviteketza lakini hawafungi maduka kwa nini Dr. Mwaka? Kuna jambo huyu Kigwangwala labda alikuwa na uhusiano na Mange ndio maana amekwenda resi kwa Mwaka baada ya kupeana habari, tena hawa watu ni marafiki FB. itakuwa kapewa oda na Mange nae kaenda resi, Mange hampendi Diamnond kwa kumpiga chini wema, amemsakama sana Zari, sasa Diamond kuweka tangazo la Dr. Mwaka kwenye wimbo ndio limeibua yote haya, aibu, aibu kwa waziri kufanya kazi ya kijinga kama hii, halafu kupayka eti dr. mwaka kamkimbia wakati hakuwepo hospital, na yeye kigwangala anajisifu ilikuwa ziara ya kushtukiza sasa amekimbiwaje kama hakumpa taarifa na wala hakuomuona mwaka anakimbia? Kuna majipu lakini hili la mwaka uongo mkubwa, hospita l za serikali kila siku zinaua, kwa Dr. Mwaka kuna mgonjwa aliepoteza maisha kwa huduma zake? Huu ndio wivu wa Kike tena kwa visichana ambavyo bado havijakua. Ashughulike na masuala ya msingi kama ya kuharibika hovyo mashine huko muhimbili mbona hospial binafsi haziharibi kila siku?
 
Back
Top Bottom