MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Haya Wewe pamoja na Usomi wako wote na Kujimwambafai Kwako kote kuwa Umeelimika Cheo cha Balozi au hata Vyeo vingine huna, hujavipata na unavisikia tu kwa Wengine katika Bomba.
Na si tu kwamba Bondia Mstaafu Maarufu duniani Mike Tyson ameteuliwa tu kuwa Balozi wa Bangi / Bange nchini Malawi bali pia kila Mwezi Mshahara wake ni Tsh Milioni 150 wakati Wewe pamoja na Elimu yako na Kujiita Intellectual hata Tsh Milioni 3 tu hufikishi na hata ukijitahidi kupiga 'Madili' hapo Ofisini utaambulia Tsh Laki Tano au Kamilioni tu.
Na taarifa ikufikie kuwa Duniani kuna Bangi nyingi inalimwa ila kwa Wataalam wa Kuivuta ( siyo KEROZENE ) wanasema Bangi ya nchini Malawi ndiyo Kiboko kwa Ukali wa 'Kukulandua' na Ubora wake pia ndiyo maana inauzika mno mpaka Kugombaniwa.
Kwa Habari Kamili kuhusu Bondia Mstaafu Mike Tyson kuteuliwa Balozi wa Bangi nchini Malawi pata Nakala yako ya Gazeti Jipya nchini la Tanzania Leo la leo hii hii.
Eti Bangi mbaya amekudanganya nani?
Na si tu kwamba Bondia Mstaafu Maarufu duniani Mike Tyson ameteuliwa tu kuwa Balozi wa Bangi / Bange nchini Malawi bali pia kila Mwezi Mshahara wake ni Tsh Milioni 150 wakati Wewe pamoja na Elimu yako na Kujiita Intellectual hata Tsh Milioni 3 tu hufikishi na hata ukijitahidi kupiga 'Madili' hapo Ofisini utaambulia Tsh Laki Tano au Kamilioni tu.
Na taarifa ikufikie kuwa Duniani kuna Bangi nyingi inalimwa ila kwa Wataalam wa Kuivuta ( siyo KEROZENE ) wanasema Bangi ya nchini Malawi ndiyo Kiboko kwa Ukali wa 'Kukulandua' na Ubora wake pia ndiyo maana inauzika mno mpaka Kugombaniwa.
Kwa Habari Kamili kuhusu Bondia Mstaafu Mike Tyson kuteuliwa Balozi wa Bangi nchini Malawi pata Nakala yako ya Gazeti Jipya nchini la Tanzania Leo la leo hii hii.
Eti Bangi mbaya amekudanganya nani?