Asikudanganye Mtu 'Usela' unalipa bhana.....Bondia Mike Tyson awa Balozi wa Bangi ( Msuba ) nchini Malawi

Asikudanganye Mtu 'Usela' unalipa bhana.....Bondia Mike Tyson awa Balozi wa Bangi ( Msuba ) nchini Malawi

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Haya Wewe pamoja na Usomi wako wote na Kujimwambafai Kwako kote kuwa Umeelimika Cheo cha Balozi au hata Vyeo vingine huna, hujavipata na unavisikia tu kwa Wengine katika Bomba.

Na si tu kwamba Bondia Mstaafu Maarufu duniani Mike Tyson ameteuliwa tu kuwa Balozi wa Bangi / Bange nchini Malawi bali pia kila Mwezi Mshahara wake ni Tsh Milioni 150 wakati Wewe pamoja na Elimu yako na Kujiita Intellectual hata Tsh Milioni 3 tu hufikishi na hata ukijitahidi kupiga 'Madili' hapo Ofisini utaambulia Tsh Laki Tano au Kamilioni tu.

Na taarifa ikufikie kuwa Duniani kuna Bangi nyingi inalimwa ila kwa Wataalam wa Kuivuta ( siyo KEROZENE ) wanasema Bangi ya nchini Malawi ndiyo Kiboko kwa Ukali wa 'Kukulandua' na Ubora wake pia ndiyo maana inauzika mno mpaka Kugombaniwa.

Kwa Habari Kamili kuhusu Bondia Mstaafu Mike Tyson kuteuliwa Balozi wa Bangi nchini Malawi pata Nakala yako ya Gazeti Jipya nchini la Tanzania Leo la leo hii hii.

Eti Bangi mbaya amekudanganya nani?
 
Labda ungetwambia maana ya usela

Mike ni mfanyabiashara maana yake anaangalia faida hapo si kama msanii “mjomba” na matangazo ya serikali.
 
Kitu kinatoa "nta" filter ni ku exchange tu maana inaweza kukutoa dimpoz.
 
sio swala la usela bali Mike Tyson ana leseni ya kuuza na kusambaza bangi na bidhaa za bangi na ndiyo biashara anayofanya kwasasa.
davinci-vaporizer-dry-herb-vape-best-raise-your-iq-marijuana-cannabis-pipe-tool-weed-cannatech-dab-rig-oil-pen-miqro-iq-vs-iq2-airdial-dosage-mike-tyson-resort.png
 
Hatuwezi kuwa mabalozi nchi nzima. Hatuwezi kuwa wabunge kwa pamoja, hatuwezi kuwa wachungaji kwa pamoja. Kila mmoja anasehemu yake ktika maisha. Tunaishi kwa kutegemeana.

Kama hukusoma ukapata degree acha makasiriko kwa waliofanikiwa kuzipata. Usiishi kwa kuwaponda wengine hata siku moja. Jiulize swali rahisi kabisa. Malawi kuna wavuta bangi wangapi? Kwanini wampe Tyson ubalozi na sio hao wengine?
 
Haya Wewe pamoja na Usomi wako wote na Kujimwambafai Kwako kote kuwa Umeelimika Cheo cha Balozi au hata Vyeo vingine huna, hujavipata na unavisikia tu kwa Wengine katika Bomba.

Na si tu kwamba Bondia Mstaafu Maarufu duniani Mike Tyson ameteuliwa tu kuwa Balozi wa Bangi / Bange nchini Malawi bali pia kila Mwezi Mshahara wake ni Tsh Milioni 150 wakati Wewe pamoja na Elimu yako na Kujiita Intellectual hata Tsh Milioni 3 tu hufikishi na hata ukijitahidi kupiga 'Madili' hapo Ofisini utaambulia Tsh Laki Tano au Kamilioni tu.

Na taarifa ikufikie kuwa Duniani kuna Bangi nyingi inalimwa ila kwa Wataalam wa Kuivuta ( siyo KEROZENE ) wanasema Bangi ya nchini Malawi ndiyo Kiboko kwa Ukali wa 'Kukulandua' na Ubora wake pia ndiyo maana inauzika mno mpaka Kugombaniwa.

Kwa Habari Kamili kuhusu Bondia Mstaafu Mike Tyson kuteuliwa Balozi wa Bangi nchini Malawi pata Nakala yako ya Gazeti Jipya nchini la Tanzania Leo la leo hii hii.

Eti Bangi mbaya amekudanganya nani?
POST hii ililetwa mwishoni mwa wiki iliyopita na Naipendatz leo Post hiyohiyo inaletwa na Kerozene! Huku ile ya awali ikifichwa! MODS mnafanya mchezo gani huu?
 
mike kama nakumbuka na yeye anamshamba na kiwanda cha bangi. atawasaidia Malawi kwenye masoko ya njee.
ana shamba ila kiwanda mara ya mwisho nilisikia ana mpango na shamba alikuwa anataka kutanua na kanye naye akaja kutaka kuanzisha hawa hwachezi na fursa kzembe
 
Bange ya malawi sio mchezo kipindi miaka hiyo nipo shule ya msingi tulikua na wakinga wapo nyumabni wa pasua mbao uko mstuni sasa hiyo siku kuna jamaa alitoka malawi akaja mtaani na huo mzigo wa bange basi wale wapasua mbao wakavuta dah kilichowapata ni aibu wote mtaani waliovuta ile bangi waligeuka weu usiku kucha wanaimba 'wakinga wetu kuna mmoja ulimpanda wendawazinu kwani alikua kila akikutana na wamama alikua anataka kuwapiga na gongo matokeo yake ikabidi akamatwe na kufungwa kamba na wakambo hadi bangi ilivyopungua nguvu akapata unafuu
 
Bange ya malawi sio mchezo kipindi miaka hiyo nipo shule ya msingi tulikua na wakinga wapo nyumabni wa pasua mbao uko mstuni sasa hiyo siku kuna jamaa alitoka malawi akaja mtaani na huo mzigo wa bange basi wale wapasua mbao wakavuta dah kilichowapata ni aibu wote mtaani waliovuta ile bangi waligeuka weu usiku kucha wanaimba 'wakinga wetu kuna mmoja ulimpanda wendawazinu kwani alikua kila akikutana na wamama alikua anataka kuwapiga na gongo matokeo yake ikabidi akamatwe na kufungwa kamba na wakambo hadi bangi ilivyopungua nguvu akapata unafuu
Hao sio wabobezi...!
 
Haya Wewe pamoja na Usomi wako wote na Kujimwambafai Kwako kote kuwa Umeelimika Cheo cha Balozi au hata Vyeo vingine huna, hujavipata na unavisikia tu kwa Wengine katika Bomba.

Na si tu kwamba Bondia Mstaafu Maarufu duniani Mike Tyson ameteuliwa tu kuwa Balozi wa Bangi / Bange nchini Malawi bali pia kila Mwezi Mshahara wake ni Tsh Milioni 150 wakati Wewe pamoja na Elimu yako na Kujiita Intellectual hata Tsh Milioni 3 tu hufikishi na hata ukijitahidi kupiga 'Madili' hapo Ofisini utaambulia Tsh Laki Tano au Kamilioni tu.

Na taarifa ikufikie kuwa Duniani kuna Bangi nyingi inalimwa ila kwa Wataalam wa Kuivuta ( siyo KEROZENE ) wanasema Bangi ya nchini Malawi ndiyo Kiboko kwa Ukali wa 'Kukulandua' na Ubora wake pia ndiyo maana inauzika mno mpaka Kugombaniwa.

Kwa Habari Kamili kuhusu Bondia Mstaafu Mike Tyson kuteuliwa Balozi wa Bangi nchini Malawi pata Nakala yako ya Gazeti Jipya nchini la Tanzania Leo la leo hii hii.

Eti Bangi mbaya amekudanganya nani?
Usela pesa.......usela ma.vi ndo haufai...!!!
 
Jamani kama hukubahatika kusoma basi kubaliana na hali utawasomesha hata watoto wako maana sio kwa makasiriko hayo ko unataka watu wote wafanane?
Yaani unachuki na wasomi wewe?
 
Bora wangemchukua snoopdog ndo awe balozi wao maana snop kila muda anachoma ganja gari zake anaendesha huku ndani zimejaa ukungu wa moshi akifungua mlango kama linataka kuungua
Snoop tutamshirikisha kwenye dili la M'bwa, naamini anaweza kufanya vizuri zaidi, au vipi wakuu!!
 
Back
Top Bottom