Asikwambie mtu baba Yanga Tamu!

Kwa Yanga hii kuna kikundi cha wahuni kitafukuza makocha sana😉😉
 
Mshindani wetu wa kugombea ubingwa azam mmeona tulivyomdhalilisha juzi,siioni mikia ya kutusumbua msimu huu
Tumechi 4 tu yani 4 tu mnajiona mabingwa hahahhahahaha yaani nawaonea huruma maana mtalia na kusaga meno ubingwa msahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…