Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Ebhana ee asikwambie mtu bhana raha ya ndoa ish uswahilin mtu wangu alafu mkeo awe mama wa nyumban unapofika mda wa kulala unapewa umbeya wote kitandan kabla hujamega tunda la usiku
mara mwajuma kafumaniwa na muuza maziwa
Ashura mchaluko kashindwa kurejesha rejesho vicoba makoch yake yametaifishwa
Mama mwenye nyumba leo alinivalia kanga ya mafumbo na akaniwekea kanda ya mipasho
Baba tunu chumba cha pili ana siku ya tano hajarud kwa mkewe
Kidawa naye kila akipika ugali mboga anaenda kuazima kwa mama sudi
Baada ya umbeya huo unapiga mambo, yaan unapiga tunda kiroho safi huku ukiwa ushapewa maumbeya ya kufa mtu
Sasa naanzaje kuhamia masaki nabaki kwa mtogole hapa hapa
LONDON BABY