Asikwambie mtu bwana raha ya ndoa muishi uswahilin

Asikwambie mtu bwana raha ya ndoa muishi uswahilin

Watoa mada kama hawa walipaswa kuwa wanawake, ama wanavinasaba vya kike na kama sivyo basi ni mashoga!
 
Mkuu kwa hiyo unapenda mkeo awe 'Golikipa' asijishughulishe na chochote?? is it fair kweli???

Halafu mkuu inaonesha unapenda sana UMBEA WA USWAHILINI HAHAHA
Hata me sipendi mke wangu ajishughulishe yeye akae tu home kila kitu nitaleta mm ndo Mungu anataka hivyo
 
MWANAUME MPENDA UMBEYA NI SHOGA.

Nakushauri uwe mpole sku ukipata umbeya kuwa, ukienda job njemba muuza sura anaingia kwako
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu


Ebhana ee asikwambie mtu bhana raha ya ndoa ish uswahilin mtu wangu alafu mkeo awe mama wa nyumban unapofika mda wa kulala unapewa umbeya wote kitandan kabla hujamega tunda la usiku


mara mwajuma kafumaniwa na muuza maziwa

Ashura mchaluko kashindwa kurejesha rejesho vicoba makoch yake yametaifishwa

Mama mwenye nyumba leo alinivalia kanga ya mafumbo na akaniwekea kanda ya mipasho

Baba tunu chumba cha pili ana siku ya tano hajarud kwa mkewe


Kidawa naye kila akipika ugali mboga anaenda kuazima kwa mama sudi


Baada ya umbeya huo unapiga mambo, yaan unapiga tunda kiroho safi huku ukiwa ushapewa maumbeya ya kufa mtu


Sasa naanzaje kuhamia masaki nabaki kwa mtogole hapa hapa


LONDON BABY

NA AKILIWA NA WAZEE WA KIZARAMO URUDI KUTUPA MREJESHO
 
Sema tu huna uwezo wa kukaa Masaki...

Huo muda wa kupewa umbea unapata wapi na umerudi kazini umechoka!???
BTW hebu mtaftie mke wako kazi ili kipato ndani ya Familia yenu kiongezeke.
 
Back
Top Bottom