jombi95
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,408
- 2,184
Naona dogo umekuwaa mpole sana baada ya kula banMtazamo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona dogo umekuwaa mpole sana baada ya kula banMtazamo
alichopost ndicho anachokiwazia dailyDear TY, sijakusoma!!
Ukishaambiwa huo umbea unapata faida gani?Siwez kumukataza mke wangu ananipenda sana kwahiyo hunambia yote
Hata me sipendi mke wangu ajishughulishe yeye akae tu home kila kitu nitaleta mm ndo Mungu anataka hivyoMkuu kwa hiyo unapenda mkeo awe 'Golikipa' asijishughulishe na chochote?? is it fair kweli???
Halafu mkuu inaonesha unapenda sana UMBEA WA USWAHILINI HAHAHA
Wanaume wa darSasa na we mwanaume unatega sikio kusikiliza umbeya kweli
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Ebhana ee asikwambie mtu bhana raha ya ndoa ish uswahilin mtu wangu alafu mkeo awe mama wa nyumban unapofika mda wa kulala unapewa umbeya wote kitandan kabla hujamega tunda la usiku
mara mwajuma kafumaniwa na muuza maziwa
Ashura mchaluko kashindwa kurejesha rejesho vicoba makoch yake yametaifishwa
Mama mwenye nyumba leo alinivalia kanga ya mafumbo na akaniwekea kanda ya mipasho
Baba tunu chumba cha pili ana siku ya tano hajarud kwa mkewe
Kidawa naye kila akipika ugali mboga anaenda kuazima kwa mama sudi
Baada ya umbeya huo unapiga mambo, yaan unapiga tunda kiroho safi huku ukiwa ushapewa maumbeya ya kufa mtu
Sasa naanzaje kuhamia masaki nabaki kwa mtogole hapa hapa
LONDON BABY
Hahaaaa. Ila kweli swahiba.Mwanaume mashine huwa hana muda wa kusikiliza umbea wäkati huo wa usiku