Asili ina siri

Dogoli kinyamkela

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2024
Posts
618
Reaction score
1,440
Je, unamfahamu madhara ya condom iliyotumika ambayo utupwa ndani ya Choo ao jalalani ambayo ndani yake mna manii. Hivi unajua kazi yake ni ipi kwenye ulimwengu wa roho.

 
unaonaje ukaunganisha hizi mada zako katika uzi mmoja mwana mediteta?? halaf uwe unatuelimisha somo moja moja sasa unaanza na condom zilizotumika na kutupwa jalalani usiruke kwengine had umalizie hii
 
unaonaje ukaunganisha hizi mada zako katika uzi mmoja mwana mediteta?? halaf uwe unatuelimisha somo moja moja sasa unaanza na condom zilizotumika na kutupwa jalalani usiruke kwengine had umalizie hii
Kuwashwa
 
unaonaje ukaunganisha hizi mada zako katika uzi mmoja mwana mediteta?? halaf uwe unatuelimisha somo moja moja sasa unaanza na condom zilizotumika na kutupwa jalalani usiruke kwengine had umalizie hii
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jaman nimeona notenganishe na Lile sababu n mada tofauti,sema umenikumbuaha kitu Kuna SoMo nilikua nimeliandaa ngoja nikalimwage kule tena linausina na hii hii sex
 
Alafu wajikuta mtu wa dini matendo bweshelele πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ amka wewe uko ulipo
Dini umeileta wewe,Mimi kuniingiza vp,eti baba wakiroho🀣🀣🀣🀣🀭
 
Dini umeileta wewe,Mimi kuniingiza vp,eti baba wakiroho🀣🀣🀣🀣🀭
Wewe SI ulisema mlokole imekuaje Leo waikana dini Yako wasalaleewwe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…