Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
Je, unamfahamu madhara ya condom iliyotumika ambayo utupwa ndani ya Choo ao jalalani ambayo ndani yake mna manii. Hivi unajua kazi yake ni ipi kwenye ulimwengu wa roho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hio boksi Yako unaamin kwamba mbinguni kupo?Hapa tunataka kuelimishwa na aliyeenda mbinguni tu...
Hatutaki mtu anachaguachagua dhambi...anayofanya si dhambi asiyofanya ni dhambi.
Hao ndo balaa tupu😂😂Na pia vipi kuhusu wale wanao zimeza 😁
Nikuulize wewe mwenye mambo ya kiroho mkuu? 🤭Na hio boksi Yako unaamin kwamba mbinguni kupo?
Kuwashwaunaonaje ukaunganisha hizi mada zako katika uzi mmoja mwana mediteta?? halaf uwe unatuelimisha somo moja moja sasa unaanza na condom zilizotumika na kutupwa jalalani usiruke kwengine had umalizie hii
😂😂😂😂 Jaman nimeona notenganishe na Lile sababu n mada tofauti,sema umenikumbuaha kitu Kuna SoMo nilikua nimeliandaa ngoja nikalimwage kule tena linausina na hii hii sexunaonaje ukaunganisha hizi mada zako katika uzi mmoja mwana mediteta?? halaf uwe unatuelimisha somo moja moja sasa unaanza na condom zilizotumika na kutupwa jalalani usiruke kwengine had umalizie hii
Ujanijibu ila umetoa maelezo🤷🏽♂️Nikuulize wewe mwenye mambo ya kiroho mkuu? 🤭
Alafu wajikuta mtu wa dini matendo bweshelele 😂😂😂😂😂 amka wewe uko ulipoKuwashwa
Tulia,anza kwa kujitakasa kwanza....hakika masomo yako yataeleweka mkuu 🤣 🤣 🤣 🤣Ujanijibu ila umetoa maelezo🤷🏽♂️
mimi ndio nawashwa au huyu mtoa mada?Kuwashwa
Bado ujanijibu zaidi ya kutoa maelezo 🤷🏽♂️Tulia,anza kwa kujitakasa kwanza....hakika masomo yako yataeleweka mkuu 🤣 🤣 🤣 🤣
Dini umeileta wewe,Mimi kuniingiza vp,eti baba wakiroho🤣🤣🤣🤣🤭Alafu wajikuta mtu wa dini matendo bweshelele 😂😂😂😂😂 amka wewe uko ulipo
Kasema wewe et😂😂😂mimi ndio nawashwa au huyu mtoa mada?
unakua kama bisi😂😂😂😂 Jaman nimeona notenganishe na Lile sababu n mada tofauti,sema umenikumbuaha kitu Kuna SoMo nilikua nimeliandaa ngoja nikalimwage kule tena linausina na hii hii sex
Wewe SI ulisema mlokole imekuaje Leo waikana dini Yako wasalaleewwe 😂😂😂Dini umeileta wewe,Mimi kuniingiza vp,eti baba wakiroho🤣🤣🤣🤣🤭
Mtoa mada,kuwashwa kwamsumbua...mimi ndio nawashwa au huyu mtoa mada?