Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

Hiyo ni sawa Na Makuyuni.
 
Hiyo ni sawa Na Makuyuni.
 
Ina maana hizo sehemu kabla wazungu hawajaja zilikuwa hazina majina?
 
aziz ali ni IGP MSTAAFU?
 
Inaitwa KOROMIJE...

Jina la hiki kijiji limetokana na wasukuma kushindwa kutamka jina la mzungu mmoja alikuwa anaitwa Jonathan...

Alikuwa na kisima cha maji pale kijijini, kila wakija kuteka maji asubuhi wanamkuta kalala...

Wakawa wanamind na jina likawa linawatatiza... ndo akawaambia "Call me J" yaani muwe mnaniita J... Wao wakaita KOROMIJE ikawa ndo jina la kijiji hicho.
 
[emoji33]
 
Hahaha kumbe suala la lafudhi kwa wasukuma ni kubwa sana ndio maana mkuulu naye anaongoza kwa kuchapia ngeli duniani!!
 
Ulichokiandika na kichwa cha thread Ni vitu viwili tofauti,
Kwan shuleni umeenda kusomea ujinga
 
  1. Bwagamoyo = Bagamoyo. Waarabu hawakuweza kutaja Bwagamoyo wakawa wanatamka Bhagamoyo
  2. Saa ndani = Saadani. Mwarabu alikuwa hawez kutaja neno Saa ndani ndoo akawa anawaelekeza watu kuingia ndani kuangalia saa. Mtu akimuuliza saa ngapi yeye anajibu "SAA DANI" ndo ikawa Saadani
  3. Mwinyi Amani (Soko la Buguruni) = Wabongo Dar es Salaam kwa kupenda kufupisha majina wakaita MwinyiAmani mbaya zaidi wakaharibu kwa kuita MNYAMANI.
  4. Musa Hassan (Eneo) = Pale Msasani kulikuwa na mtu anaitwa Musa Hassan, sasa watu wakawa wanayatamka majina yote yaani Musahasani mbaya zaidi wakaharibu ni kuita Msasani.
  5. Kassam Musa = Huyu alikuwa mchezaji wa Mpira wa timu ya Coastal Union (wagosi wa kaya) au African (wanakimanumanu) za Tanga. sikumbuki vizuri. Ila hadi watangazaji waliunganisha haya majina na kuwa wanamwita Kassamusa badala ya Kassam Musa.
Kwa hiyo majina huzaliwa au huja kutokana na mazoea ya Binadamu
 
Sawa Mkuu
Je uliwahi ku-uliza uliza hapo kujijini kuna mtu anaitwa Paul Makonda au hata Daudi Bashite ili utujuze zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…