inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
huwezi kuwa kopo halafu ukapanda toka kuruta hadi kuwa mkuu wa nchi..achilia mbali kuwa mkuu wa jeshi
Wengi hawajui kwanini Iddi Amini aliitwa Iddi Amin Dada.
Alipokuwa jeshini alikuwa anabadilisha wanawake kama nguo.
Kila mwanamke alipokuwa akimtembelea Iddi Amini aliwaambia wanajeshi wenzake "Huyu ni Dada yangu" .
Madada walikuwa wengi sana kiasi wanajeshi wenzake na Amini wakampachika jina Dada .
So wakawa wanamuita Iddi Amini Dada
Dah..hz propaganda as zishafanikiwa!Ndio hasahasa nyama za wanaume na za mabinti bikira.. Wanaume alikuwa anachemsha ma.pumbu na mb.o anakula kwa ajili ya kuongeza nguvu za kiume na mabinti bikira alikuwa anakula nyama zao na kunywa damu zao kwa ajili ya kupandisha na kuimarisha nyota yake
Kwa hii mada ya leo hyu ni kopo sana tofauti na nlivyokuwa namchukulia!
Kwa hii mada ya leo hyu ni kopo sana tofauti na nlivyokuwa namchukulia!
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE
Huu ndio Ukweli shida ya hii historia ina maelezo ya kitoto toto, kiasi kwmba kumwambia mtu unashindwa mpka uanzaje koz watajua hii ni fix but ndio ukweli huo ππ
LIKUD Kwanza huo ni uongo, uganda hata neno dada hawalijui, umeleta story uki assume ilikuwa kambi ya jeshi ya naliendele?? Au tabora?? Hapana ni uganda neno dada, ni BAABA, dada shakira wanasema BAABA SHAKIRA au sister, nimekaa sana Uganda Bweyogerere, Nansana, Nakasozi Buddo na Nabingo, kiswahili uganda hawajui
Jina lake ni Idd Amin Dadaa siyo Dada
Sasa mbona walikuwa awampendi Uganda.Nilifika uganda wakati fulani nkawa nauliza hivi ni kweli jamaa alikuwa anakula nyama za watu.Wote wakasema ni propaganda za nyerere Amini alikuwa mtu mzuri tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasemakna pia asili yake ni kutokea south Sudan hyo mzee baba
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii naamini ilikuwa propaganda tuNdio hasahasa nyama za wanaume na za mabinti bikira.. Wanaume alikuwa anachemsha ma.pumbu na mb.o anakula kwa ajili ya kuongeza nguvu za kiume na mabinti bikira alikuwa anakula nyama zao na kunywa damu zao kwa ajili ya kupandisha na kuimarisha nyota yake