Tetesi: Asili ya jina Iddi Amini " Dada"

Tetesi: Asili ya jina Iddi Amini " Dada"

Wengi hawajui kwanini Iddi Amini aliitwa Iddi Amin Dada.

Alipokuwa jeshini alikuwa anabadilisha wanawake kama nguo.

Kila mwanamke alipokuwa akimtembelea Iddi Amini aliwaambia wanajeshi wenzake "Huyu ni Dada yangu" .
Madada walikuwa wengi sana kiasi wanajeshi wenzake na Amini wakampachika jina Dada .
So wakawa wanamuita Iddi Amini Dada

Mungu amlaze mahala pema peponi...huyu alikuwa mwanaume bwana
 
Kuhusu historia ya IDDI AMIN yabidi uwe nje ya box wakat wachangia mana tulivishwa iman ya kumuona iddi amin na stori nyingi za kutunga ili kuchochea mi hemko ya kumchukia hadi kupigana nae na hiyo hufanyika sana na viongozi weng. mambo ya kula nyama za watu sijui dikteta sijui hili au lile siyo yakuamin moja kwa moja
 
Unajishushia heshima mkuu LIKUD kwa hili umechemsha kuna mengi unachambua au kuyawaslisha vizuri sana ila usiingize watu chaka kisa wanafuatilia mada zako kwamba kila andiko lako lina ukweli nasema kwa hili hapana mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka kuna jamaa alikuwa anasomea umadhahabu, kila akija msichana kumtembelea anasema ni dada , wadada wakawa wengi lakini baadae alipigwa chini ,sijui ni kosa gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hasahasa nyama za wanaume na za mabinti bikira.. Wanaume alikuwa anachemsha ma.pumbu na mb.o anakula kwa ajili ya kuongeza nguvu za kiume na mabinti bikira alikuwa anakula nyama zao na kunywa damu zao kwa ajili ya kupandisha na kuimarisha nyota yake
Dah..hz propaganda as zishafanikiwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa alipewa jina na Brigedia wa jeshi la uingereza baada ya ku practice polygamy kitu ambacho wallikikataa wazungu kama kigezo kutoa msaada, hivyo akawa anawa tambulisha ma hawala, na wake zake wengine kama dada zake,
 
Kwa hii mada ya leo hyu ni kopo sana tofauti na nlivyokuwa namchukulia!

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE
Huu ndio Ukweli shida ya hii historia ina maelezo ya kitoto toto, kiasi kwmba kumwambia mtu unashindwa mpka uanzaje koz watajua hii ni fix but ndio ukweli huo 😀😀
 
Kungekuwa na jukwaa la comedy lingefaa

Sent from my SM using Tapatalk
 
LIKUD Kwanza huo ni uongo, uganda hata neno dada hawalijui, umeleta story uki assume ilikuwa kambi ya jeshi ya naliendele?? Au tabora?? Hapana ni uganda neno dada, ni BAABA, dada shakira wanasema BAABA SHAKIRA au sister, nimekaa sana Uganda Bweyogerere, Nansana, Nakasozi Buddo na Nabingo, kiswahili uganda hawajui

Jina lake ni Idd Amin Dadaa siyo Dada

Hakua anaitwa Dadaa alikuwa anaitwa "Dadah"
 
pia kwenye hii makala hapa chini wanasema alipewa jina hili baada ya kupenda kulitumia kila aliposalimu mwanamke

Idi Amin Dada
 
Ndio hasahasa nyama za wanaume na za mabinti bikira.. Wanaume alikuwa anachemsha ma.pumbu na mb.o anakula kwa ajili ya kuongeza nguvu za kiume na mabinti bikira alikuwa anakula nyama zao na kunywa damu zao kwa ajili ya kupandisha na kuimarisha nyota yake
Hii naamini ilikuwa propaganda tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom