Asili ya jina la “CHEREHANI”

Asili ya jina la “CHEREHANI”

Donnie Charlie

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2009
Posts
16,908
Reaction score
19,123
IMG-20250205-WA0000.jpg


Fundi cherehani wa kwanza wa Kihindi huko Kisumu- Kenya mnamo 1890 ambaye alianzisha Mashine ya Kushona, jina lake lilikuwa

Charan Singh .

Wajaluo waliamua kuiita mashine hiyo CHARAN.

Waganda walilikubali jina hilo na kuliita EKYALAANI.

Waswahili pia wanaita “CHEREHANI” hadi leo..
 
View attachment 3226411

Fundi cherehani wa kwanza wa Kihindi huko Kisumu- Kenya mnamo 1890 ambaye alianzisha Mashine ya Kushona, jina lake lilikuwa

Charan Singh .

Wajaluo waliamua kuiita mashine hiyo CHARAN.

Waganda walilikubali jina hilo na kuliita EKYALAANI.

Waswahili pia wanaita “CHEREHANI” hadi leo..
Kwa kiswahili ni Cherahani siyo Cherehani.
 
Ni Kweli Mkuu!

Kwani hata Kariakoo na mnazi mmoja unadhani kwanini kumeitwa ivo?

Kariakoo
palikuwa na mama anauza gongo grade one! Wazungu wakaja wakajaribu siku moja ... Wakasema "Kali ya Koo yaani" wakimaanisha ni Kali kwenye Koo!

Basi wakawa wakiwa wanataka kwenda kunywa wanasema twende pale kwenye kariakooo!

Je mnazi mmoja unajua jina limetoka wapi?
 
Ni Kweli Mkuu!

Kwani hata Kariakoo na mnazi mmoja unadhani kwanini kumeitwa ivo?

Kariakoo
palikuwa na mama anauza gongo grade one! Wazungu wakaja wakajaribu siku moja ... Wakasema "Kali ya Koo yaani" wakimaanisha ni Kali kwenye Koo!

Basi wakawa wakiwa wanataka kwenda kunywa wanasema twende pale kwenye kariakooo!

Je mnazi mmoja unajua jina limetoka wapi?
Hapa mimi nilisikia tofauti,

Nilipata kusikia zamani wakati soko likiwa bado wafanya biashara wengi ni white sasa waswahili walikuwa wakipenda kushangaa sana tena wakichukulia kama ndio out yao kitendo ambacho white walikuwa hawapendi hivyo wakawa wanawahimiza kama kuna manunuzi yoyote wanunue wabebe mizigo yao waondoke.

Sasa walikuwa wakitumia lugha yao

"Carry on and go"

sasa waswahili wanasemezana wenyewe kuwa wanasemaje hao? Na kujibiana kuwa mimi nimesikia anasema kariakoo.
 
Haya Tuendelee hapo mnazi mmoja palikuwa ni shamba la mizanii la Mzee kwingeee!

Ilikuwa mizani mingi sana! Kukatokea moto, minazi yote iliungua kasoro mnazi mmoja tu!

Basi watu wakawa wakiwa wanataka kwenda hapo wanasema

Pale mnazi mmoja ndo mpaka Leo.

Je Gongo la mboto unajua asili ya Jina lake?
 
Hapa mimi nilisikia tofauti,

Nilipata kusikia zamani wakati soko likiwa bado wafanya biashara wengi ni white sasa waswahili walikuwa wakipenda kushangaa sana tena wakichukulia kama ndio out yao kitendo ambacho white walikuwa hawapendi hivyo wakawa wanawahimiza kama kuna manunuzi yoyote wanunue wabebe mizigo yao waondoke.

Sasa walikuwa wakitumia lugha yao

"Carry on and go"

sasa waswahili wanasemezana wenyewe kuwa wanasemaje hao? Na kujibiana kuwa mimi nimesikia anasema kariakoo.
Ni sawa

Hilo pia linatuongezea ufahamu nimepata kitu kipya Leo kutoka kwako!
 
Ni Kweli Mkuu!

Kwani hata Kariakoo na mnazi mmoja unadhani kwanini kumeitwa ivo?

Kariakoo
palikuwa na mama anauza gongo grade one! Wazungu wakaja wakajaribu siku moja ... Wakasema "Kali ya Koo yaani" wakimaanisha ni Kali kwenye Koo!

Basi wakawa wakiwa wanataka kwenda kunywa wanasema twende pale kwenye kariakooo!

Je mnazi mmoja unajua jina limetoka wapi?
Kwa Kariakoo umetudanganya mkuu. The name "Kariakoo" is derived from the swahilization of the British colonial occupation's "Carrier Corps", that used to be based in the area. Eneo hilo lilikuwepo Ghala la Jeshi (KAR) la Mkoloni (British) waswahili wakashindwa kutamka "Carrier Corps" wakawa wanatamka "Kariakoo" ndipo jina la kariakoo lilipozaliwa.
 
Ccm lilianza kama wakulima 90.
Mwaka 2000 watu wakaita kijani.
Ilipofika 2014 wakaitwa mboga mboga.
2025 sasa wanaitwa bangi takatifu.
 
View attachment 3226411

Fundi cherehani wa kwanza wa Kihindi huko Kisumu- Kenya mnamo 1890 ambaye alianzisha Mashine ya Kushona, jina lake lilikuwa

Charan Singh .

Wajaluo waliamua kuiita mashine hiyo CHARAN.

Waganda walilikubali jina hilo na kuliita EKYALAANI.

Waswahili pia wanaita “CHEREHANI” hadi leo..
Hapo Uzi tayari tuanze kucomment? Au bado unarudi kumalizia?
 
Kwa Kariakoo umetudanganya mkuu. The name "Kariakoo" is derived from the swahilization of the British colonial occupation's "Carrier Corps", that used to be based in the area. Eneo hilo lilikuwepo Ghala la Jeshi (KAR) la Mkoloni (British) waswahili wakashindwa kutamka "Carrier Corps" wakawa wanatamka "Kariakoo" ndipo jina la kariakoo lilipozaliwa.
Uko sahihi kabisa ulichokiandika hiyo ndio ilizaa jina kariakoo 🙏🙏🙏
 
  • Thanks
Reactions: UCD
View attachment 3226411

Fundi cherehani wa kwanza wa Kihindi huko Kisumu- Kenya mnamo 1890 ambaye alianzisha Mashine ya Kushona, jina lake lilikuwa

Charan Singh .

Wajaluo waliamua kuiita mashine hiyo CHARAN.

Waganda walilikubali jina hilo na kuliita EKYALAANI.

Waswahili pia wanaita “CHEREHANI” hadi leo..
Zamani Wahehe walikuwa Wanaitwa Wana-Mtwa.
Walipokiwa wakipigana na wajerumani huku wao wakitumia mishale na mikuki, wajerumani wakitumia bunduki, ikawa wajerumani wakifyatua risasi, wenyewe wanajikunga na ngao. Wakawa wanashaa inakuwaje tunajikinga lakini tunskuwa. Katika kushangaa wakawa wana "He he" kila wenzao wakidondoka wanasema "He hee" huku wanakimbia.
Kuanzia siku hiyo wakaitwa "Wahehe"

×××××××××××××××××××××××××××××××××
Kuna siku maeneo ya Tukuyu , ilikuwa mwaka 1901 alikuja mzungu na baiskeli yake. Watu wakakusanyika kumshangaa anavyoiendesha.
Akauliza kama kuna yeyote kati yetu anaweza kuendesha ampe ajaribu. Akajitokeza mmoja wetu, tukapinga sana kwamba hawezi, yule mzungu akasema muacheni ajaribu, basi jamaa alipopewa, kwa maajabu tukashangaa anaendesha.
Ndipo yule mzungu akauliza, mlikuwa mnamcheka si mmeona? Sisi tukskubali yaishe, tukasema "Basi kweli kaweza".

Jamaa akawa akitutambishia sana, hata tukiwa na story nyingine yeye anatumbukizia za kuendesha kile chombo, sisi tukawa tunamjibu "basi kweli".

Huo ndiyo ukawa mwanzo wa jina baiskeli.
Zingatia: Mwaka ni 1901
 
Back
Top Bottom