Asili ya kudumaa kwa akili ya Mwafrika kulinganisha na Wanadamu wengine

Mleta mada soma id yangu kabla sijakukosoa mana hiyo historia yako hujatoa citation kana kwamba wewe ni mwandishi .
Ukinijibu maana ya ID yangu nitakuonyesha ulikokosea na ulikopatia.
 
Hahaha..mzungu ana akili zaidi ya mwafrika ndio maana amekuletea dini yake na wewe umeiamini...Bila mzungu hata huyo Mungu wako unaemuamini usingemjua.,..hehehe niambie kabla ya kuja mzungu waafrika walikuwa na imani gani?....
 
Thanx mzee. Unasema kweli, majukumu ni mengi mpaka inakuwa ngumu kuweza kureact on time kadri hoja zinapowasilishwa na members.
 
Logic.
 

Nadharia yako ni nzuri sana ILA naomba kupata mwangaza hapa; Je watu wa bara la Asia ya kusini ( Ufilipino, Malaysia, Vietnam n.k ) si wana hali ya hewa sawa na sisi ? Maana wao pia wapo kwenye ikweta (tropiki). Na je wale Maya kule Amerika ya Kati waliojenga piramid , sio hali moja na sisi ? Au Nini kilifanya hizo jamii mbili kuendelea kuliko sisi ?
 
Mlishajiuliza ni kwa nini nchi za kiafrika zilizokuwa na/zenye wazungu wa Kiingereza (SA, Zimbabwe na Kenya) ziko mbele kimaisha kulinganisha na zile zenye wazungu wengi wa mataifa mengine, mfano Wareno (Angola na Msumbiji)?

Kwa sababu hao ni mabepari namba moja ulimwenguni , Ureno (Portugal), Ugiriki n.k wanajitia ubepari ila hawajawafikia Uingereza , kwa hio hivyo vizazi vyao wanavipa mitaji (ukiacha mbali elimu) ya kuweza kuendeleza miradi / wanawawezesha. Nia bila ya matendo imekufa sawa na mtaji bila maarifa (elimu) / au maarifa bila mtaji ....
 

Kwa hio nasi tuamini kuwa *mzungu* atakuwa na akili tu hata tukijitahidi ? Au maoni yako binafsi ni yepi katika hili ?
 

Tuareg ni mchanganyiko wa damu, kuna wengine ni we

Kama hilo ni la uhakika , je kule Amazon kuna wale wahindi wekundu, hawafanani nasi waafrika ? Mazingira ni 99% sawa ....
 
Nitapita huko mkuu ila nakukumbusha tu kuwa kuna member anaitwa Shana Chuma amekupa challenge katika post #182. Naomba umjibu mimi pia napenda kusikia mawazo yenu.
Sijamwelewa vyema so aliyefahamu anifafanulie anataka nijue nini na hicho kinahusiana na nini na mada hii.
Kumbuka haya nimeyatoa kama accumulated experience ya elimu niliyoipata. Siwezi kucite kila mahali ila nataka mtu anipinge kwa nilichokieleza na mimi nitafafanua kwa mifano. Kumbuka hiyo ni Theory still.
 
Nitapita huko mkuu ila nakukumbusha tu kuwa kuna member anaitwa Shana Chuma amekupa challenge katika post #182. Naomba umjibu mimi pia napenda kusikia mawazo yenu.
Sijamwelewa vyema so aliyefahamu anifafanulie anataka nijue nini na hicho kinahusiana na nini na mada hii.
Kumbuka haya nimeyatoa kama accumulated experience ya elimu niliyoipata. Siwezi kucite kila mahali ila nataka mtu anipinge kwa nilichokieleza na mimi nitafafanua kwa mifano. Kumbuka hiyo ni Theory still.
 
Hao sio Waafrika, ni jamii ya Homo Sapiens (kutoka Afrika) waliozaliana na Denisovars (Homo Erectus waliohama Afrika zaidi ya miaka milioni 1 iliyopita). So, watu weupe (Wazungu, Waasia na Waamerika) ni mchanganyiko wa aina mbalimbali za watu tofauti na sisi WaAfrika ambao ni matokeo ya Homo Sapiens Evolution kutoka Afrika Mashariki na kusambaa West hadi South Afrika.
Tunapoongelea Wazungu na Waasia, pamoja na Waarabu, msisahau kufikiria juu ya Anunnaki.

Vilevile, kumbukeni kuwa, kilicho- na kinachotutesa sana Waafrika ni magonjwa hasa Malaria, trypanosomiasis, na yellow fever. Haya magonjwa yamekuwa na effect kubwa sana kwa akili ya Mwafrika. Kwa wenzetu, hawana magonjwa haya, isipokuwa tu South America ambako kumekuwepo Yellow Fever. Vilevile, baadhi ya maeneo ya India yana malaria lakini siyo kali kama malaria ya Afrika.
 
Wale Maya waliojenga mapiramid mpaka sasa imekuwa myth juu ya wapi walitoa uwezo huo. But hiyo ni mwendelezo wa myth zinazohusisha pia uwezo wa Wamisri kwenye mapiramidi pamoja na Uwezo wa Sumerians. Pliz recall the Anunnaki.
 
Unazifahamu vyema Nchi za Iberian Pensinsula (Spain & Portugal) kweli? Fuatilia kwenye Karne ya 15 - 17, wapi kati ya Iberia vs Western Europe (Uingereza, Ufaransa, Ubelgiji na Uholanzi) walikuwa foremost katika Capitalism (Mercantile Capitalism).
 
Kwa hio nasi tuamini kuwa *mzungu* atakuwa na akili tu hata tukijitahidi ? Au maoni yako binafsi ni yepi katika hili ?
No, kadri muda unavyoendelea, vikwazo vya akili kwa Mwafrika vimezidi kuwa vinapungua sana, hasa Magonjwa, hivyo as time goes on, itafikia uwezo wa Waafrika nao ukiwa juu na hata kuweza kuwapita Wazungu. But am doubt hilo suala haliwezi kutokea kwenye Karne hii ya 21 probably after 2100.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…