Asili ya kudumaa kwa akili ya Mwafrika kulinganisha na Wanadamu wengine

Asili ya kudumaa kwa akili ya Mwafrika kulinganisha na Wanadamu wengine

Ugali wa mahindi siyo asili ya Afrika, uliletwa Karne ya 16 na Wareno ni tofauti na mazao mengine yaliyoletwa tangu zamani. Wataalamu huwa wanadai ugali wa jamii za uwele ndio wenye virutubisho vingi kwa akili ukitoa ndizi katika vyakula vikuu vya Waafrika. Mihogo nayo siyo ishu.

Hata hivyo, tunachokosea sisi binadamu ni kudhani kuwa, mtoto anayepewa kila kitu tangu akiwa tumboni mwa mamaye hadi kuwa mtu mzima atakua na uhakika wa akili za darasani. Akili za darasani haziwezi kutegemea "mazingira" ya maisha ya mtu mmoja pekee bali ni nasaba "Genes" alizonazo mtu huyo zilizotokana na historia ya wazazi wake (wapi?), ukoo wake (upi?), Kabila lake (lipi?) na Race yake (Mbantu?).
Hivyo, nawaasa sana kabla sijatoa research yangu juu ya akili za makabila ya Tanzania, anza kufikiria kabila lako lilivyo kwa akili za darasani ili nikiweka hizo hypothesis mniulize na mimi nitazielezea vyema.

Nadhani kuna factors nyingi kwa sababu kama akili waafrika tulikuwa tunawashinda wazungu darasani lakini linapokuja kwenye creativity na innovation wazungu walituacha. Hata hapa kwetu kuna makabila wako very bright lakini linapokuja kwenye swala LA kutumia common sense tu ni zero. Naona genes na species zinachangia kwa asilimia Fulani.
 
Nakushukuru sana kwa mchango wako na jinsi ulivyoweka data muhimu kwa ajili ya uchambuzi. Hata hivyo unakosea sana kunikashifu kwa kuniita mjinga. Ulipaswa tu kuchangia made halafu tuwaachie members wengine waamue ukweli wao kwa sababu ukweli wako uko pale uwezo wa akili yako ilipoishia but hiyo haimaanishi akili yako ilipoishia ndio mwisho wa ukweli.
Nimeweka post hii kama mtu anayeifahamu jiografia na historia, hivyo jitafakari sana ujaribu kutumia lugha nyepesi na ambayo haileti character assassination.
Natamani mjadala huu uwe wetu wawili tu na mtu asitumie zaidi ya dakika tano awe amemjibu mwingine tuone ni nani anaeleza vitu anavyovifahamu kichwani na ni Nani amekariri.

Nimependa sana ushauri wako, mda huu ndio niko hewani, tuendelee na mjadala kama nawe uko hewani
 
A load of bullshit buddy!, wi niggers emerged from Our own reality and whites emerged from theirs.There is no such thing evolution,keep on seeking the truth always be in scepticism side
 
Nimekuwa nashindwa kujibu vyema post yako kwa sababu natumia muda mwingi ukanda andiko linalohusu Tanzania, may be sooner or later nitaliweka tulijadili vyema.
Nirudi kwenye hoja zako:
Wewe unasifia watu weusi waliogundua vitu, mimi hakuna sehemu ambayo nimesema kila mtu mweusi hana akili na kila mtu mweupe Ana akili. Hili lilihitaji akili ndogo tu kuling'amua hivyo usitake kunilisha maneno.
Kujenga hoja kwa mtazamo wa Afro-centric hakukufanyi wewe kuupenda na kuuthamini ubinadamu wako ila kuogopa kujadili ukweli kunakufanya usiwe tofauti na watu wanaojifanya wamesoma lakini kila kitu kwao kinaongozwa na imani wala siyo kuthibitisha.

uthibitisho ndio huo niliokupa kwa ushahidi tosha. ila naona hoja zako zinatofautiana na maada ilioko. sasa sifahamu mjadala wetu unasimamia wapi ili tuende sawa. nilichojadili na kuonyesha ushahidi ni kwamba, Elimu, Ugunduzi wa kale, Sayansi, Serikali, sheria, madawa ya magonjwa mbalimbali, dini na ujenzi wa hali ya juu, ulianzishwa na watu weusi na sii wazungu. miaka mingi baadae, histori inatueleza wazungu wamefundishwa ustaarabu na watu weusi kupitia wagriki na baadae warumi. tena elimu na ustaarabu haukwenda ulaya mara 1, ni mara tatu na wapelekaji ni hawa watu weusi.

Kumbuka wazungu wamefuta historia ya mtu mweusi kwa lengo la huhaada ulimwengu na walitumia DINI, MITAALA MIBOVU, SERIKALI NA BIASHARA kuwezesha kufuta historia zetu. Lakini kwakua Mababu zetu walikua na AKILI sana, kwa kufahamu nini kitatokea, wakaacha ustaarabu wote kwenye mawe hasa misri na nubia ambako sehemu kubwa walishindwa kufuta na ndipo leo tunaweza kufanya argument intelligently kwakua bado kuna ushahidi ambao tunaweza kuutoa tukawaumbua kama BLACKS ARE CRADLE OF CIVILIZATION.
 
Kuna watu humu wanang'ang'ania kuhusisha ustaarabu wa Misri na sisi Waafrika. Hata kama walikuwa ni waafrika hakukuwepo mwendelezo unaonyesha kuwa na mahusiano na mabavu zetu wa Sub Saharan Africa kutokana na kuzuiwa kwa Jangwa la Sahara. Kama walikuwa wenzetu, una majibu ya kwa nini, huku Afrika hatukuwahi kuendeleza maendeleo yao baada ya Dola hiyo kuanguka?

Sababu zipo nyingi sana. kwanza sii kweli kwamba baada ya Nubia na Egypt kuanguka, mababu zetu walisambaa dunia mzima. ila hapa naomba nikueleze kwa kifupi kuhusu bantu expansion and immigration. kumbuka Hadi kufikia karne ya 14 AD (mwaka 1365 AD) Bantu ancestors waliokashuka chini ya jangwa la sahara, waliendelea na mapinduzi ya ustaarabu kwa kujenga misingi ya upanuzi wa kibiashara kama Mansa kankan Musa, kujengwa kwa himaya kubwa kama Dahaomy, Ghana, Mwenemutapa zimbabwe, kukuzwa kwa elimu ya Juu na uandishi wa vitabu kama Chuo cha Timbuktu pale sankore Mali.

Utafiti uliofanywa umebaini kwamba, Hesabu zilizokifundishwa Timbuktu, ndizo zinazofundishwa second year vyua vya Ufaransa.

Pia hata hapa kwetu Tanzania, kuna uzushi waliofundisha kuwa, Majengo ya kale ya Mtwara mikindani, Zanzibar stone town, Kilwa na bagamoyo kuwa yalijengwa na Warabu na Wazungu. Hu ni uongo wa mchana kweupe, ni namna mojawapo ya kufuta historia ya kweli, hizi ni hemaya za kale za bantu, kabla ya ujio wa Mwarabu na Mzungu chininya Jangwa la sahara.
 
Kuna watu humu wanang'ang'ania kuhusisha ustaarabu wa Misri na sisi Waafrika. Hata kama walikuwa ni waafrika hakukuwepo mwendelezo unaonyesha kuwa na mahusiano na mabavu zetu wa Sub Saharan Africa kutokana na kuzuiwa kwa Jangwa la Sahara. Kama walikuwa wenzetu, una majibu ya kwa nini, huku Afrika hatukuwahi kuendeleza maendeleo yao baada ya Dola hiyo kuanguka?

Kuna kitu nikusahihishe hapo chini MISRI IKO AFRIKA. Nashangaa watu wengi huwa hawaelewi kuwa Misri ni Afrika kama ilivyo Ye-men, Oman, Iraq, Syria, Jordan, Saudia, Palestina na Israel. hizi zote ni nchi zilizopo Afrika Kwakua zipo juu ya African tectonic plate a.k.a msingi wa bara letu
 
Wewe unaangalia mjini tu na siyo hadi vijijini, na hilo ndilo tatizo kubwa la nini maana ya maendeleo? Maendeleo bora na sustainable ni yale yanayogusa jamii nzima. Lakini ukienda Angola watu wa vijijini ni masikini licha ya Angola kuwa na Wareno wengi kabisa barani Afrika kipindi inapata uhuru 1976.
Halafu uzuri wa Luanda haujatokana na mchango wa Wazungu wa kireno kwani umechangamka miaka ya Hivi karibuni tu baada ya hao jamaa kuanza kuuuza mafuta. Hivyo utajiri wa Angola uko Luanda pekee. Hakuna tofauti na Tanzania, ambayo jiji la Dar es Salaam limekuwa likikua kwa kasi ambayo mtu anashangaa mbona kuna umasikini mkubwa vijijini.
Hivyo kamwe huwezi kulinganisha Luanda na Harare ya Wazungu kabla hawajafurumshwa na Mgabe miaka ya 2000s. Kipindi hicho baada ya Jo-burg na Cape Town (labda na Pretoria), hakuna jiji la kiafrika lililokuwa limekamilika kama Harare, hata Nairobi ilikuwa cha mtoto.
hata Lagos na Cairo mkuu
 
Nadhani kuna factors nyingi kwa sababu kama akili waafrika tulikuwa tunawashinda wazungu darasani lakini linapokuja kwenye creativity na innovation wazungu walituacha. Hata hapa kwetu kuna makabila wako very bright lakini linapokuja kwenye swala LA kutumia common sense tu ni zero. Naona genes na species zinachangia kwa asilimia Fulani.
Thenx. Ni kweli kwa akili za darasani tunao wengi wasomi wenye ngazi za uprofesa kama wazungu. Hata hivyo, baadhi ya wanasayansi wanadai kuwa, akili ya mtu mwenye vinasaba za uafrika, huwa zinakua vizuri kama wengine duniani anapokuwa mtoto na kuanza kudumaa (kutokua kwa kasi ile ile ya utotoni) anapofikia umri wa kubalehe. I'm not certain however but inaweza ikatuambia kitu fulani kuhusu asili yetu so ni wajibu wetu sisi Waafrika kujibu Masai hayo kuwa siyo kweli kwa kutafuta majibu sahihi badala ya kukimbilia kutuhumu sijui ubaguzi.
 
A load of bullshit buddy!, wi niggers emerged from Our own reality and whites emerged from theirs.There is no such thing evolution,keep on seeking the truth always be in scepticism side
Did you mean you are on skepticism side or sceptical side? But still that's the fact, humanity do not have one sided approach on a particular issue, all is needed is to make sure the majority are on the right approach that's all.
 
Thenx. Ni kweli kwa akili za darasani tunao wengi wasomi wenye ngazi za uprofesa kama wazungu. Hata hivyo, baadhi ya wanasayansi wanadai kuwa, akili ya mtu mwenye vinasaba za uafrika, huwa zinakua vizuri kama wengine duniani anapokuwa mtoto na kuanza kudumaa (kutokua kwa kasi ile ile ya utotoni) anapofikia umri wa kubalehe. I'm not certain however but inaweza ikatuambia kitu fulani kuhusu asili yetu so ni wajibu wetu sisi Waafrika kujibu Masai hayo kuwa siyo kweli kwa kutafuta majibu sahihi badala ya kukimbilia kutuhumu sijui ubaguzi.

Ubaya ukweli unauma. Tukiambiwa tunasema ni racism. Lakini ukiangalia maamuzi yetu ndio utajua something is wrong. But hatujajua ni wapi
 
Did you mean you are on skepticism side or sceptical side? But still that's the fact, humanity do not have one sided approach on a particular issue, all is needed is to make sure the majority are on the right approach that's all.

Yuh,i mean sceptical, I feel that not everything we are told is true, some were fabricated to manipulate us
 
uthibitisho ndio huo niliokupa kwa ushahidi tosha. ila naona hoja zako zinatofautiana na maada ilioko. sasa sifahamu mjadala wetu unasimamia wapi ili tuende sawa. nilichojadili na kuonyesha ushahidi ni kwamba, Elimu, Ugunduzi wa kale, Sayansi, Serikali, sheria, madawa ya magonjwa mbalimbali, dini na ujenzi wa hali ya juu, ulianzishwa na watu weusi na sii wazungu. miaka mingi baadae, histori inatueleza wazungu wamefundishwa ustaarabu na watu weusi kupitia wagriki na baadae warumi. tena elimu na ustaarabu haukwenda ulaya mara 1, ni mara tatu na wapelekaji ni hawa watu weusi.

Kumbuka wazungu wamefuta historia ya mtu mweusi kwa lengo la huhaada ulimwengu na walitumia DINI, MITAALA MIBOVU, SERIKALI NA BIASHARA kuwezesha kufuta historia zetu. Lakini kwakua Mababu zetu walikua na AKILI sana, kwa kufahamu nini kitatokea, wakaacha ustaarabu wote kwenye mawe hasa misri na nubia ambako sehemu kubwa walishindwa kufuta na ndipo leo tunaweza kufanya argument intelligently kwakua bado kuna ushahidi ambao tunaweza kuutoa tukawaumbua kama BLACKS ARE CRADLE OF CIVILIZATION.
Hivi wewe, umesoma hata kidogo mambo ya "genetics?" Ulizia kuanzia Wasomali wa Somalia, Amhara, Tigrey na Oromia wa Ethiopia, Issas wa Eritrea na Djibouti, Nubia wa Sudan na hao black wa Misri juu ya asili ya genes zao. Hao ni uzao wa binadamu uliorudi barani Afrika baada ya mababu kuhama Afrika miaka kati ya 100,000 - 60,000 iliyopita. Baada ya kuwa wamehama walirudi na kuishi maeneo hayo ya Kaskazini mwa Jabgwa la Sahara na kuenea eneo lote la Kaskazini mwa Afrika ambayo waliitwa Waberiberi hadi Jangwa la Sahara kwa Watuaregi na hadi Kusini mwa Sahara katika eneo la Savannah (Sudanic States) ambako kuna Wahausa waliochanganyana na Wafulani na ambako ndiko ukanda huu ambao Western (Sudanic/Savannah) States - Ghana, Mali, Songhai na Kane Bornu zilisitawi.
LA MUHIMU TOFAUTISHA MTU BLACK DHIDI YA MTU MWAFRIKA - SIYO WAAFRIKA WOTE NI BLACK NA SIYO BLACK WOTE NI WAAFRIKA.
Hivyo jamii karibia zote zilizoko Mauritania, Morocco, Algeria, Tunisia, Libya, Misri, Ethiopia, Djibouti, Eritrea, Somalia na Sudan, pamoja na baadhi ya jamii zilizoko Chad, Niger, Mauritania, Kenya na Tanzania (Wambulu, Wafiome, Wambugu na Waalagwa are more whites than they are blacks coz wako kwenye kundi la Semites na Hamites ambayo ni sub-groups of a large group of Whites (CAUCASIAN).
 
Sababu zipo nyingi sana. kwanza sii kweli kwamba baada ya Nubia na Egypt kuanguka, mababu zetu walisambaa dunia mzima. ila hapa naomba nikueleze kwa kifupi kuhusu bantu expansion and immigration. kumbuka Hadi kufikia karne ya 14 AD (mwaka 1365 AD) Bantu ancestors waliokashuka chini ya jangwa la sahara, waliendelea na mapinduzi ya ustaarabu kwa kujenga misingi ya upanuzi wa kibiashara kama Mansa kankan Musa, kujengwa kwa himaya kubwa kama Dahaomy, Ghana, Mwenemutapa zimbabwe, kukuzwa kwa elimu ya Juu na uandishi wa vitabu kama Chuo cha Timbuktu pale sankore Mali.

Utafiti uliofanywa umebaini kwamba, Hesabu zilizokifundishwa Timbuktu, ndizo zinazofundishwa second year vyua vya Ufaransa.

Pia hata hapa kwetu Tanzania, kuna uzushi waliofundisha kuwa, Majengo ya kale ya Mtwara mikindani, Zanzibar stone town, Kilwa na bagamoyo kuwa yalijengwa na Warabu na Wazungu. Hu ni uongo wa mchana kweupe, ni namna mojawapo ya kufuta historia ya kweli, hizi ni hemaya za kale za bantu, kabla ya ujio wa Mwarabu na Mzungu chininya Jangwa la sahara.

Nashukuru kwa bandiko zuri na ufafanuzi lakini kitendo cha wewe kutokuwa na uwezo wa kujua Wabantu ni watu wa aina gani kumenifanya niamini kuwa, unabishana tu kwa kitu usichokuwa nacho ufahamu.
Haujui kuwa Wabantu wametokea wapi? Haujui pia lini hao Wabantu walitaka huko? Je walisambaa na kuweka makazi yao wapi?
Halafu ukidai kuwa karne ya 14, Bantu Ancestors (mababu wa Wabantu) unamaanisha nini? Je ulimaanisha kuwa kabla ya karne ya 14 hawakuwa Wabantu?
Halafu uliposema tu kuwa Wabantu wametokea Kaskazini, tayari niliona hii maada ni bora uende nayo taratibu usije ukaumbuka bure.
 
Kuna kitu nikusahihishe hapo chini MISRI IKO AFRIKA. Nashangaa watu wengi huwa hawaelewi kuwa Misri ni Afrika kama ilivyo Ye-men, Oman, Iraq, Syria, Jordan, Saudia, Palestina na Israel. hizi zote ni nchi zilizopo Afrika Kwakua zipo juu ya African tectonic plate a.k.a msingi wa bara letu
Dah, ndugu kwenye jiografia tusifike kabisa huko kwani sijakataa kuwa Misri iko Afrika, nilikuwa nikimaanisha kiutamaduni. Utajidanganya kudhani kuwa, Waarabu sana mtazamo sawa na sisi Black Africans, they feel more of the whites than the vice is true.
Pia kuchukua madai yako kuwa nchi za Mashariki ya Kati ziko katika Plate Tectonic ya Afrika, nayo imekuwa siyo kweli kwani kuna sub-tectonic ijulikanayo kwa jina la Arabia.

IMG_1139.GIF

Nadhani umeiona.
 
Ubaya ukweli unauma. Tukiambiwa tunasema ni racism. Lakini ukiangalia maamuzi yetu ndio utajua something is wrong. But hatujajua ni wapi
Kweli Dorrlyn unasema kweli. Mimi kama Mwafrika sifurahi kuona sisi ndio tunabakia nyuma kwenye suala la maendeleo. Najivunia sana uafrika wangu lakini sifurahii tunapoamua kukanusha sayansi kwa kutumia "hadithi."
Uongo hautakanushwa kwa hadithi na stori bali kwa fact basi.
Ukisema tulitawaliwa ndio maana tukakosa maendeleo - swali, mbona mabara karibia yote yalitawaliwa na Leo wenzetu wametuacha nyuma? Je mbona sisi hatukuwavamia ili tuwatawale?
Kama biashara ya watumwa ndio ilitudidimiza, mbona wataalamu wetu ndio walioongoza juu za watu utumwani na kwa nini tusingeenda kuchukua watumwa katika nchi zao?
 
Sababu zipo nyingi sana. kwanza sii kweli kwamba baada ya Nubia na Egypt kuanguka, mababu zetu walisambaa dunia mzima. ila hapa naomba nikueleze kwa kifupi kuhusu bantu expansion and immigration. kumbuka Hadi kufikia karne ya 14 AD (mwaka 1365 AD) Bantu ancestors waliokashuka chini ya jangwa la sahara, waliendelea na mapinduzi ya ustaarabu kwa kujenga misingi ya upanuzi wa kibiashara kama Mansa kankan Musa, kujengwa kwa himaya kubwa kama Dahaomy, Ghana, Mwenemutapa zimbabwe, kukuzwa kwa elimu ya Juu na uandishi wa vitabu kama Chuo cha Timbuktu pale sankore Mali.

Utafiti uliofanywa umebaini kwamba, Hesabu zilizokifundishwa Timbuktu, ndizo zinazofundishwa second year vyua vya Ufaransa.

Pia hata hapa kwetu Tanzania, kuna uzushi waliofundisha kuwa, Majengo ya kale ya Mtwara mikindani, Zanzibar stone town, Kilwa na bagamoyo kuwa yalijengwa na Warabu na Wazungu. Hu ni uongo wa mchana kweupe, ni namna mojawapo ya kufuta historia ya kweli, hizi ni hemaya za kale za bantu, kabla ya ujio wa Mwarabu na Mzungu chininya Jangwa la sahara.

Timbuktu haukuwa umetawaliwa na Waafrika bali wafanyabiashara wa Kituaregi. Hao ni middlemen waliokuwa wako huku a bidhaa kutoka Kaskazini mwa Afrika kuleta Kusini mwa Jangwa la Sahara na kuchukua dhahabu na pembe za faru kupeleka Kaskazini. Watawala wa Sudanic States walikuwa wakiogopa kuingilia Wafanyabiashara kwa hofu ya kuhamia kwingine kama walivyohama na kuua mji wa Kumbi Saleh ya Ghana kwenda Timbuktu ya Mali na kisha kukimbia Timbuktu kwenda Gao ya Songhai ambapo kila walipoondoka mji mkuu kibiashara nao ulikuwa ukifa na kuhamia huko. Hivyo ustaarabu wote wa Timbuktu ni kazi ya Watuareg (Hamites) ambao ni jamii ya nomadic people na waislamu waliokuwa wakiishi kwenye Oases za Jangwa la Sahara.
 
Kweli Dorrlyn unasema kweli. Mimi kama Mwafrika sifurahi kuona sisi ndio tunabakia nyuma kwenye suala la maendeleo. Najivunia sana uafrika wangu lakini sifurahii tunapoamua kukanusha sayansi kwa kutumia "hadithi."
Uongo hautakanushwa kwa hadithi na stori bali kwa fact basi.
Ukisema tulitawaliwa ndio maana tukakosa maendeleo - swali, mbona mabara karibia yote yalitawaliwa na Leo wenzetu wametuacha nyuma? Je mbona sisi hatukuwavamia ili tuwatawale?
Kama biashara ya watumwa ndio ilitudidimiza, mbona wataalamu wetu ndio walioongoza juu za watu utumwani na kwa nini tusingeenda kuchukua watumwa katika nchi zao?

Siku zote tuna tafuta wa kumlaumu. Kuna nchi nikiziangalia kama south Korea na Malaysia ati wanatupa misaada mpk scholarships. Kweli inabidi tujue wapi kuna shida
 
Hivi wewe, umesoma hata kidogo mambo ya "genetics?" Ulizia kuanzia Wasomali wa Somalia, Amhara, Tigrey na Oromia wa Ethiopia, Issas wa Eritrea na Djibouti, Nubia wa Sudan na hao black wa Misri juu ya asili ya genes zao. Hao ni uzao wa binadamu uliorudi barani Afrika baada ya mababu kuhama Afrika miaka kati ya 100,000 - 60,000 iliyopita. Baada ya kuwa wamehama walirudi na kuishi maeneo hayo ya Kaskazini mwa Jabgwa la Sahara na kuenea eneo lote la Kaskazini mwa Afrika ambayo waliitwa Waberiberi hadi Jangwa la Sahara kwa Watuaregi na hadi Kusini mwa Sahara katika eneo la Savannah (Sudanic States) ambako kuna Wahausa waliochanganyana na Wafulani na ambako ndiko ukanda huu ambao Western (Sudanic/Savannah) States - Ghana, Mali, Songhai na Kane Bornu zilisitawi.
LA MUHIMU TOFAUTISHA MTU BLACK DHIDI YA MTU MWAFRIKA - SIYO WAAFRIKA WOTE NI BLACK NA SIYO BLACK WOTE NI WAAFRIKA.
Hivyo jamii karibia zote zilizoko Mauritania, Morocco, Algeria, Tunisia, Libya, Misri, Ethiopia, Djibouti, Eritrea, Somalia na Sudan, pamoja na baadhi ya jamii zilizoko Chad, Niger, Mauritania, Kenya na Tanzania (Wambulu, Wafiome, Wambugu na Waalagwa are more whites than they are blacks coz wako kwenye kundi la Semites na Hamites ambayo ni sub-groups of a large group of Whites (CAUCASIAN).

Ndg naona walimu wako walikua wale waliokariri kisha wakaja kukufundisha. Nakuelewa unajaribu kuchanganya historia ya watu wa kale kupitia biblia (HAM, SHAM NA YAFET OR HAMITES, SHEMITES (SEMITES) AND YAFETH kama watoto wa Nuhu (Patriarch Linage).
Afrika kuna aina 3 ama 4 za WATU.
  1. Hunter and Gather ambao ni WASANDAWE na WAHADZABE
  2. BANTU eg Chagga, wasukuma, Makua, Wahaya N.K, Ha ni wakulima, wachumi, watafiti, Mainjinia na watabibu
  3. NILOTIC eg Maasai, Jaluo, Dinka, Nuer, Sara , Kalenjin N.K, hawa ni WAFUGAJI na wakuhamahama
  4. CUSHITIC eg Oromo, WaSomali, WaBeja na Waburunge , Ni wakulima na Wafugaji, Wachumi na watafiti.
Ili kufwatilia ni kizazi kipi ni cha Mwanzo, ni rahisi ukiwa unapima Y DNA haplogroups - na mtDNA Mitochondrial DNA za aina hizo za watu, utakuja kugundua kuwa Wasandawe ndio Old People of the Earth na Kufwatiwa na Bantu ambao wote wana Y-DNA Haplogroup E1B1A na Nilotic na Cushitic wapo kwenye pool la E1BIB.

Hivyo jiulize kwa nini Bantu wana Original Y-DNA Pool ya E1B1A ambao ndio wanayo Oldest people of the earth SANDAWE? Na sio E1B1B?
Na kwanini WAZUNGU na WATURK A.K.A Waarabu weupe waliwalenga sana Bantu kwenye WORLD CRIMINAL ENTERPRISE A.K.A SLAVE TRADE?

Ukijibu maswali haokwa ufasana na usahihi, utajua kwa nini, Eneo lote la Afrika Kaskazini na Afrika Kaskazini Mashariki (YEMEN, CAANAN, PALESTINE, SAUDIA, OMAN, SYSRIA , IRAN NA IRAQ) Bantu walihama kabisa na Kuhamia Afrika Magharibi, Kati, Kusini na Mahsariki. Wengine wakaelekea iNDIA, Australia, na MILANGO YA Magharibi (Leo Amerika ya kusini, kati na Kaskazini)

Hakuna sehemu mbao Dunia imeshuhudia vita za mara kwa mara takribani milenia 6 sasa kama eneo la Egypt na Ardhi ya Kanaan, syria, Saudia, Uajemi na Mesopotamia. Hizi vita ziliwachosha sana mababu zetu ndipo wakahamia Enelo lote la Kusini mwa Jangwa la Sahara. Hivyo hata hao Wa Kushi na WaNaili, sio wote waliorudi baada ya kutoka Afrika. Wengi walibakia humuhumu Afrika.

NI dhambi kubwa sana Kumuhusisha Yaphetite na Afrika hasaKusini mwa Jangwa la Sahara. Caucasian ni midudu a.k.a makabila yote ya aina ya kizungu ndio iliokuja kuchafua damu za binadamu kamili (mix breeding) na kwa lengo la kuspoil identity ya Jamii fulani. Ndio maana kushitec wengi wana mchanganyiko na Facial phenotype yao ni yakizungu nakituruki (waarabu weupe).

Na Mix Multitude wa Misri, Libya, Morocco, Algeria, Tunisia, na kidogo Mauritania, hawa sio wenyeji wa Eneo hili, historically, they are not the Original Inhabitant of this North Africa, Bantu, bERBERS, nILOTIC AND cUSHITIC NDIO WENYE MAENEO HAYO NA WALIYAACHA KUTOKANA NA KUCHOSHWA NA MAVITA YASIOISHA.

Hivyo civilization ya maeneo hayo sio wajenzi wala hawana milki ya urithi wake. spiritually, tunasema the day will come, and the owner will have to declare back their inheritance.


 
Timbuktu haukuwa umetawaliwa na Waafrika bali wafanyabiashara wa Kituaregi. Hao ni middlemen waliokuwa wako huku a bidhaa kutoka Kaskazini mwa Afrika kuleta Kusini mwa Jangwa la Sahara na kuchukua dhahabu na pembe za faru kupeleka Kaskazini. Watawala wa Sudanic States walikuwa wakiogopa kuingilia Wafanyabiashara kwa hofu ya kuhamia kwingine kama walivyohama na kuua mji wa Kumbi Saleh ya Ghana kwenda Timbuktu ya Mali na kisha kukimbia Timbuktu kwenda Gao ya Songhai ambapo kila walipoondoka mji mkuu kibiashara nao ulikuwa ukifa na kuhamia huko. Hivyo ustaarabu wote wa Timbuktu ni kazi ya Watuareg (Hamites) ambao ni jamii ya nomadic people na waislamu waliokuwa wakiishi kwenye Oases za Jangwa la Sahara.

Ndg, hawa Tuareg kwanza ni waafrika tena weusi ti na ni jamii ya BERBERS wa Mauritania, Algeria, Morocco na West Sahara. Makabila haya yalifika Timbuktu karne ya 14, na hawa ndio waliokuja kuiangusha Timbuktu kwa kushirikiana na Moors (Israelites of Islamic Faith). Hawa Moors, ambao waling'olewa Iberian Peninsula (Portugal and Spain) karne ya 14 kule Ulaya baada ya kuwatawala wazungu kwa miaka700 yaani kuanzia Mwaka 700 AD hadi Mwaka 1470 AD. Baada ya hapo wakapigwa kwa muungano wa Jeshi la Ulaya likifadhiliwa na Vatikan. Waliporudishwa Afrika ndipo karne hiohio ya 14 kwa kuungana na Tuareg na kucontrol timbuktu kisha kushut down.

Kwahio sio kweli kuwa Taureg walikuwa watawala pale, hawa walikua maadui wa ustawi wa Timbuktu ya Wabantu. Fanya utafiti wakina
 
Dah, ndugu kwenye jiografia tusifike kabisa huko kwani sijakataa kuwa Misri iko Afrika, nilikuwa nikimaanisha kiutamaduni. Utajidanganya kudhani kuwa, Waarabu sana mtazamo sawa na sisi Black Africans, they feel more of the whites than the vice is true.
Pia kuchukua madai yako kuwa nchi za Mashariki ya Kati ziko katika Plate Tectonic ya Afrika, nayo imekuwa siyo kweli kwani kuna sub-tectonic ijulikanayo kwa jina la Arabia.

View attachment 596265
Nadhani umeiona.

Hizi ni hadaa, zakutaka kuitoa Israeli kuwa sio Afrika, elewa. Ukiangalia mifano ninayokupa, sipendi picha za kwenye Google. naelewa mbinu na mifumo hatarishi ya upotofu ndani ya Engine ya Google. Napenda kukuonyesha live discussion na Documentary naipuka michoro. Tafadhali Ndg naomba tazama hii hapa usikie,


THIS IS CRASH OF THE kNOWLEDGE. WE NEED TO REWRITE OUR STORY

 
Back
Top Bottom