Kaka hapa umeleta maada mzito na yenye maudhui mapana sana sii tu kwa jamii zile za kale pia hata hizi jamii za siku hizi bado wanalia njaa, na Wiki mbili zilizopita nilikuwa Manyara nikimaanisha pale babati, nikaelekea mbulu na ziara yangu ikaishia kata ya Haydom nikarudi Dar.
THE WORLD KNOWS US, BUT WE DONT KNOW OURSELVES, THE WORLD DEPLOYS THEIR THINK TANKERS PURPOSEFUL TO STUDY US AS WELL AS TO RESEARCH US WHAT WE ARE THINKING NOW ABOUT OURSELVES, AT WHAT LEVEL DO WE ACTUAL KNOW WHAT TO DO IN ORDER TO OVERCOME OUR DEADLY SITUATION ECONOMICALLY, SOCIALLY, CULTURALLY AND SPIRITUALLY.
HAVE WE AWAKENED TO KNOW THE REASON OF BEEN YAHWEH'S PEOPLE ON EARTH? OR ARE WE STILL DEAD MENTALLY AND SPIRITUALLY?
Kuna viumbe hua vinaheshimu na kulinda sana mazingira ya uasili (Protectors of Nature) kama ndio njia ya kudmisha uhai na uwepo wao. Hili ni swala la Kiroho sana. Viumbe hivi hupenda na hupendwa na nature kwa vile ndio chanzo cha uwepo wetu. Kuheshimu kwao NATURE, Kulinda kwao NATURE, huwafanya wawe na maarifa makubwa ya kukabiliana na athari yeyote wanayokumbananayo katika mazingira yao. They are not Corrupted or Polluted beings, they are not defiled and they are not Materially beings.
Kupungua kwao kwa idadi inatokana na sisi kuwapolute kwa kuwanyang'anya maeneo yao ambayo wamepreserve kwa miaka bilioni eti kuwapa wawekezaji ambao ni Wazungu. Cha ajabu hao wazungu wanakuja kuwinda kama wao, wanakuja kuharibu mazingira kwa kuchimba Vito ambavyo ni Materially objects ambavyo kwa jamii hii, hawaitaji.Hawa ndio bin-adamu (The purest house of Human), twaweza kufahamu dawa za asili kupitia jamii hizi na tukaongeza manjonjo zikawa ni dawa za kisasa.
Pia Wazungu huwazingira hawa kwakuwafanyia utafiti, hujifunza mambo mengi sana kupitia jamii hizi kwani zina siri mzito sana, kama elimu ya science ya anga za juu. Tusidhani kama wazungu wanakwenda maeneo haya kutembelea Wanyama, La hasha, wanafaidika sana na Jamii hizi ambazo kwa namna nyingine sisi tunawadharau.
Kuhusu ndg zetu wanaozunguka Maziwa kuwa na Njaa, nadhani hapa kuna mambo lazima tuyatazame kwa jicho la Tatu.
Mosi, jamii hizi huwa ni jamii zinazojishughulisha sana na UVUVI na si UKULIMA.
Pili, Mifumo ya Serikali ni ya ukandamizaji, huchochea woga wa kuthubutu kwa kuhofia kukamatwa na kufungwa
Tatu, Heshima na Woga wa Serikali kwenye Mikataba ya Kilofa ya matumizi ya Maji ya Mito na Maziwa chini ya wakoloni
Nne, Urithi wa UVIVU wa vizazi vilivyo zunguka Mito na Maziwa.
Maoni na Mapendekezo: Afrika ibadili majina ya washenzi wa Ulaya katika Mito, Milima, na Maziwa yetu katika mitaala yake kuanzia shule za AWALI hadi Vyuo Vikuu.
Pia, Vitabu vyote vya mitaala na kiada, zisiwekwe kabisa picha za WAZUNGU, WAARABU, WAHINDI NA WACHINA.
Mikutano inayofanyika ya Serikali Kuu na Taasisi zote, wasiwapo WAZUNGU, WAARABU, WAHINDI NA WACHINA unless otherwise kuna mtu sio watu, Mtu kaalikwa kwa utaalamu wake.
Pia Serikali ianzishe operation Ondoa Njaa kamaenzi za Mwalimu, Kila Kijana katika kaya lazima awe amelima Hekari 5 za Mahindi ama Mpunga, Ulezi, Uwele mtama na Maharagwe na Serikali itoe ruzuku kwa wakulima wote nchini na ijiwekee malengo ya kuhakikisha kila kijiji kunakuwa na Tractor 3 kwa kuanda Jamii iwe ndio wawekezaji wakubwa wa kilimo.
Hapa Njaa haitakuwapo, hatutakua na utegemezi tena, na Nchi itakuwa na Uchumi IMARA na Endelevu.