Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Mkoa umepakana upande wa kaskazini na mikoa ya Mwanza, Geita na Kagera , upande wa kusini na Mkoa wa Tabora.
Mkoa wa Kigoma uko upande wa magharibi , na
mkoa wa Simiyu upande wa mashariki.
ASILI YA NENO "SHINYANGA"
Asili ya neno "Shinyanga" limetokana na neno IYANGA.
Iyanga ni mti uliokuwa unapatikana Shinyanga ambapo Mtemi wa Shinyanga wa wakati huo alikuwa anapenda kupumzika chini ya mti wa Iyanga kila siku jioni.
Baada ya ujio wa wakoloni walipouona mti huo walishindwa kutamka neno Iyanga na kumsema Shinyanga..
Mkoa wa Kigoma uko upande wa magharibi , na
mkoa wa Simiyu upande wa mashariki.
ASILI YA NENO "SHINYANGA"
Asili ya neno "Shinyanga" limetokana na neno IYANGA.
Iyanga ni mti uliokuwa unapatikana Shinyanga ambapo Mtemi wa Shinyanga wa wakati huo alikuwa anapenda kupumzika chini ya mti wa Iyanga kila siku jioni.
Baada ya ujio wa wakoloni walipouona mti huo walishindwa kutamka neno Iyanga na kumsema Shinyanga..