Asili ya mwanaume halisi kisayansi (erected penile and it's size)

Asili ya mwanaume halisi kisayansi (erected penile and it's size)

Tman Clever

Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
39
Reaction score
29
Salamu ziwe nanyi wakuu.
Tuzungumzie mambo machache mawili Leo kiufupi sana.
a) Nguvu za kiume na
B) Mjomba kusimama. Na urefu wake (Perfect penile erection)

A) NGUVU ZA KIUME
Ni uwezo wa kusababisha uzazi.
Unajipimaje?
i. Wazungu/manii wawe wanatoka. WENYE AFYA INAYOTAKIWA na
ii. Wawe na uwezo wa kutungisha mimba

NB: Manii inahitaji walau wiki moja hadi mbili kukomaa kikamilifu ili kutungisha mimba. Hii pia inaweza kutofautiana mtu na mtu kwa sababu mbalimbali kama vile Asili, mazingira, chakula, vichocheo, n. K

B) Mjomba kusimama/Perfect penile erection.

i. Mjomba anahitaji kusimama kutokana na msukumo wa damu(blood pressure) kwenye via vya uzazi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo hisia.

ii. UREFU WA MJOMBA /NORMAL RANGE OF ERECT PENILE

Kiafya mjomba anatakiwa akisha simama kikamilifu awe kwenye urefu wa wastani Kati ya 5inch hadi 6 inch

N.B Binadamu mwenye urefu chini ya inch 3 ni mwenye kasoro.

Pia Binadamu mwenye mjomba mrefu kufikia 7.5inch na kuendelea ni mwenye kasoro pia.


Note: Shangazi anakadiliwa kuwa na urefu wa inch 5 hadi 8 hadi kuukuta mlango wa uzazi (cervix).


USIPANIKISHWE NA WAGANGA NJAA KUHUSU NGUVU ZA KIUME, Wasikuchanganye wanaotumia chupa za Mirinda wakitegemea wakukute na wewe upo kama chupa hiyo, Jiamini.

IMG_20220920_145231.jpg
 
Halafu unapimaje ? Maana unaweza pata majibu tofauti tofauti kutokana na upimaji wako. Wakati mwingine hizi rocord za kitaalamu Huwa zinatumia bone pressed na wakati mwingine non bone pressed, ila mara nyingi kitaalamu wanatumia bone pressed ambayo ruler inakuwa pressed(unaikandamiza/unaibonyeza) kwenye pubic bone JUU KATIKATI ya penis. But kama unataka kupima functionable size pima non bone pressed yaani weka tu ruler JUU KATIKATI ya penis na usiplace/usiikandamize/usibonyeze ndani popote pale.



NOTE: BONE PRESSED MEASUREMENT MARA ZOTE NI KUBWA KULIKO NON BONE PRESSED MEASUREMENT
Hahhhhhhhhh, tunangojea mrejesho mkuuu
 
STAMINA KWENYE TENDO NDIO KITU KINACHOSUMBUA WATU SIO ERECTION PEKE YAKE, Waweza erect but dk 1 nyingi wazungu na erection hamna tena (pre ajaculation). Tujitahidi kula vizuri wakuu na kufanya mazoezi. Tusisahau kufunga kula pia ni vizuri kupunguza excess ya calories mwilini at least water fasting.
 
STAMINA KWENYE TENDO NDIO KITU KINACHOSUMBUA WATU SIO ERECTION PEKE YAKE, Waweza erect but dk 1 nyingi wazungu na erection hamna tena (pre ajaculation). Tujitahidi kula vizuri wakuu na kufanya mazoezi. Tusisahau kufunga kula pia ni vizuri kupunguza excess ya calories mwilini at least water fasting.
Sure, ila wazungu kudondoka mapema inategemeana na mazingira.

Mfano
i. Hujapata huduma muda mrefu, lazima siku ukipata wazungu watatoka mapema.

Ndio mana Mara nyingi wanaume walioko kwenye mahusiano/ndoa uonekana wanachelewa kutoa, sababu wanapata Mara kwa Mara.
 
Hivi kwa nini muda mwingine unakuta mtu unamzuka kweli wakupiga mashine lakini unakuta mazingira ya mwanamke sio rafiki viharufu vya hapa na pale mzigo unalala moja kwa moja? Majibu kwa maDr tafadhali.
 
Hivi kwa nini muda mwingine unakuta mtu unamzuka kweli wakupiga mashine lakini unakuta mazingira ya mwanamke sio rafiki viharufu vya hapa na pale mzigo unalala moja kwa moja? Majibu kwa maDr tafadhali.
Sio tu harufu,
Mjomba kusimama ni tendo linalotegemea vichocheo /hormones.

Na vitu vingi kama ilivyoelezwa kwa ufupi kwenye uzi hapo
 
Back
Top Bottom