idoyo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 3,051
- 1,416
yale yale!! eti wakashindwa kusema hivi ikawa vile, ni nadharia tu. katika sayansi nadharia haikatazwi, ni jinsi ya kuithibitisha tu.hili neno limetokana na greek poem "theodyssey" the poem ilikua intended to be heard rather than be read bt kukatokea mabadiliko kutokana na art iliyotumika kufikisha uo ujumbe! so the conversion of somethn unachopaswa kuskia ikawekwa into writtings ndo scholars wanaita theodyssey badae in tanzania hii terminology ikawa introduced na prof mmoja wa engineering pale udsm bt students wakawa wanashindwa kulitamka wakafupsha to desa thus giv rise to the famous word among tanzaniab scholars i.e DESA