Asili ya watu wa Dodoma kuwa ombaomba

Usiseme dodoma tu omba omba,,sema hivi waafrika wengi wao ni omba omba hususani hapa bongo.

Na mbaya zaidi, ukizoeana na m-mbantu siku moja tu, na akaomba namba yako basi tegemea hiyo siku au inayofua kupigiwa simu au meseji ya "omba omba" hawachelewi kukupiga bomu la money mzee,,,ndio maana cna mazoea sana na wabantu.
 
Hili hatari sana. Liwekwe sawa kwenye historia yetu. Lakini hili la Stanley lilitokea miaka 50 kabla ya hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…