Asilimia 100 hujifichia CCM kutenda maovu na haramu

Kwa chama cha mapinduzi zaid ya 70% ni wezi na wahujumu walio jificha chini ya mwamvuli wa CCM.
 
SWALI TU NAULIZA NINGEPENDA KUJUA?
HILO GARI MMILIKI NI NANI?

ova
 
Ikitokea siku anahitaji kufikiri kama wewe atakuandikia barua ya mwaliko mjadiliane ya kufikiri.Una anwani/postikodi inayotambulika?
 
Na ikitokea una pesa za kutosha yaani ni tajiri then haupo upande wao watakuwinda kila kona yako ili wakufirisi, wengi wapo huko sio kwa kupenda wapo tu kwa kujilinda na hiyo ndio mbaya zaidi
Kuna jamaa alikimbia mji ameacha ghorofa lake pagale la miaka 10. Alipata hela kwenye madini akaanza kufadhili harakati za Chadema, CCM walinyoosha mpaka akakimbia mji
 
Na hata yule aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mwanza, mabina, alikuwa jambazi la kuteka watu ziwani na kuwapora engines za boats, wakati huo zikowa haziuzwi nchini. Alipotajirika CCM walimoa umwenyekiti wa mkoa.
 
Haihitajiki akili kujua Rostam huwa anatafuta nini CCM
 
Naunga mkono hoja
 
hapana si kweli,

ni asilimia 100 ya waovu, hujificha nyuma ya wema 🐒

tena bila kujali chama, dini, kabila wala ukanda alikotoka.
uovu ni uovu tu 🐒
 
Hiyo amani Iko nyumbani kwako TU, kwingine Kuna uoga na uvumilivu. Nadhani hata ccm wenzio wanashangaa jinsi ulivyo muongo na mnafiki
 
Tunaomjua Rostam, tunajua kuwa alitajirika kabla hajaijua/hajajiunga CCM .
Kumbe wewe hata huelewi tunajadili nini. Kuna wanaotajirikia CCM kama kina Mwingulu, kuna wanaokuja wakiwa tajiri lengo inakuwa kutajirika zaidi au kujificha namna walivyotajirika kama kina Msukuma
 
Yap, niliamua kuchukua kadi ya chama baada ya Biashara yangu kuongezeka mtaji (kuwa kubwa).
Juzijuzi nimeunganishwa kwenye group la CHAMATA, hata sielewi Ila mi nachoangalia MAMBO YANGU YAENDE.

#YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kulinda mali zako ni muhimu sana, ukishamjua Adui
 
Ni mpagani pekee anayefikiri na kuamini amani tuliyonayo inatokana na ccm. Bila Mungu nchi hii amani isahau.
Waliotaka kupindisha katiba ili Samia asiwe Rais,walikuwa wa chama Gani? Ulimsikiliza vizuri Gen. Mabeyo wewe!!
Rais Kikwete anewahi tamka wanaccm huwezi kutoka ukaacha glass Yako ya maji kwa kuhofia kuwekewa sumu au muulize Mzee Mangula nini kilimpata.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kulinda mali zako ni muhimu sana, ukishamjua Adui
Wamenipa mpaka uongozi wa Wilaya wa CHAMATA.
Alivyokuja Makonda tukaambiwa "viongozi wa CCM tuwe mbele" Nikachanga 50,000 Ila hata sielewagi chochotee ZAIDI ya kutaka MAISHA (Biashara)yangu YAENDE bila vikwazo.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…