Asilimia 100 hujifichia CCM kutenda maovu na haramu

Asilimia 100 hujifichia CCM kutenda maovu na haramu

Kama hujagundua hili bado wewe hufikirii sawasawa. Watu wote hupenda kuwa CCM na kupigania kupata nafasi zaidi na zaidi kama sehemu salama ya kujifichia maovu na haramu.

Hii inahusu viongozi wote kuanzia juu mpaka chini. Kuanzia mwenyekiti wa shina mpaka namba moja. Chunguza hilo bila kutumia nguvu utagundua.

Mfano mdogo tu ni hili sakata la uhamiaji na gari lililodakwa likivusha wahamiaji haramu 20. Gari hilo linatajwa kuwa mali ya Habib Nasser. Huyu ni mwenyekiti wa CCM kata ya Ilala na mjumbe wa Baraza Kuu Jumuiya ya Wazazi CCM-DSM.

Hiyo bendera ya CCM haikuwekwa bahati mbaya, alijua uhakika. Hiyo ni ajali kazini au kuna watu walimchoma. Tofauti na hapo, goma likishakuwa na bendera ya chama trafiki wanapunga mkono tu unateleza.

Hawa matajiri wanaopambania vyeo vya udiwani, ubunge lengo namba moja inakuwa kuficha vitu vyao haramu ikiwemo ukwepaji kodi. Hivyo hivyo kwa watu wa kawaida. Lengo namba 5 ndio inaweza kuwa kutumikia nchi.

Hata hawa vijana unaowaona humu mitandaoni ikiwemo JF ni njaa tu hakuna kingine.

Watch out mzee baba
Kuna Mfanyabiashara mburushi wa Mbalali alikutwa na Meno ya Tembo na Bunduki zaidi ya 10 ni ndugu na ROSTAM Kesi iliishi kisutu kwa kupigwa faini Mil 20
 
Unafikiri kidogo sana; CCM kama chama chenye mamilioni ya wanachama, wapenzi na mashabiki hakiwezi kuwa na watu wema tu, wapo wachache wenye dhamira mbaya.

Kama ilivyo wachungaji, mashekhe na mapadre na wazee wa kimila, wapo wengi wenye dhamira njema na wachache walio kinyume chake.

Epuka kutoa jumuisho la ujumla.

CCM ndio inayokufanya uishi kwa amani na hata kukupa uhuru wa kuandika utumbo ukumbini hapa.

Kiheshimu chama hiki kikongwe kilichosimama katika misingi ya haki na uadilifu
Wasio Waadilifu ni wengi sana karibu Viongozi wote nao sio Waadilifu wala Rushwa na Watoa Rushwa
 
Kama hujagundua hili bado wewe hufikirii sawasawa. Watu wote hupenda kuwa CCM na kupigania kupata nafasi zaidi na zaidi kama sehemu salama ya kujifichia maovu na haramu.

Hii inahusu viongozi wote kuanzia juu mpaka chini. Kuanzia mwenyekiti wa shina mpaka namba moja. Chunguza hilo bila kutumia nguvu utagundua.

Mfano mdogo tu ni hili sakata la uhamiaji na gari lililodakwa likivusha wahamiaji haramu 20. Gari hilo linatajwa kuwa mali ya Habib Nasser. Huyu ni mwenyekiti wa CCM kata ya Ilala na mjumbe wa Baraza Kuu Jumuiya ya Wazazi CCM-DSM.

Hiyo bendera ya CCM haikuwekwa bahati mbaya, alijua uhakika. Hiyo ni ajali kazini au kuna watu walimchoma. Tofauti na hapo, goma likishakuwa na bendera ya chama trafiki wanapunga mkono tu unateleza.

Hawa matajiri wanaopambania vyeo vya udiwani, ubunge lengo namba moja inakuwa kuficha vitu vyao haramu ikiwemo ukwepaji kodi. Hivyo hivyo kwa watu wa kawaida. Lengo namba 5 ndio inaweza kuwa kutumikia nchi.

Hata hawa vijana unaowaona humu mitandaoni ikiwemo JF ni njaa tu hakuna kingine.

Watch out mzee baba
Mkuu hongera kwa andiko zuri sana ccm kichaka cha wezi
 
Unafikiri kidogo sana; CCM kama chama chenye mamilioni ya wanachama, wapenzi na madhabiki hakiwezi kuwa na watu wema tu, wapo wachache wenye dhamira mbaya.

Kama ilivyo wachungaji, mashekhe na mapadre na wazee wa kimila, wapo wengi wenye dhamira njema na wachache walio kinyume chake.

Epuka kutoa jumuisho la ujumla.

CCM ndio inayokufanya uishi kwa amani na hata kukupa uhuru wa kuandika utumbo ukumbini hapa.

Kiheshimu chama hiki kikongwe kilichosimama katika misingi ya haki na uadilifu.
Mmh! Are you crazy? Seriously?
CCM hii hii tunayoifahamu au nyingine?????????
 
CCm
Kama hujagundua hili bado wewe hufikirii sawasawa. Watu wote hupenda kuwa CCM na kupigania kupata nafasi zaidi na zaidi kama sehemu salama ya kujifichia maovu na haramu.

Hii inahusu viongozi wote kuanzia juu mpaka chini. Kuanzia mwenyekiti wa shina mpaka namba moja. Chunguza hilo bila kutumia nguvu utagundua.

Mfano mdogo tu ni hili sakata la uhamiaji na gari lililodakwa likivusha wahamiaji haramu 20. Gari hilo linatajwa kuwa mali ya Habib Nasser. Huyu ni mwenyekiti wa CCM kata ya Ilala na mjumbe wa Baraza Kuu Jumuiya ya Wazazi CCM-DSM.

Hiyo bendera ya CCM haikuwekwa bahati mbaya, alijua uhakika. Hiyo ni ajali kazini au kuna watu walimchoma. Tofauti na hapo, goma likishakuwa na bendera ya chama trafiki wanapunga mkono tu unateleza.

Hawa matajiri wanaopambania vyeo vya udiwani, ubunge lengo namba moja inakuwa kuficha vitu vyao haramu ikiwemo ukwepaji kodi. Hivyo hivyo kwa watu wa kawaida. Lengo namba 5 ndio inaweza kuwa kutumikia nchi.

Hata hawa vijana unaowaona humu mitandaoni ikiwemo JF ni njaa tu hakuna kingine.

Watch out mzee baba
CCM ni genge la wahalifu wanaotumia nguvu kubwa kubaki madarakani ili kuendeleza uhalifu wao. Humo kuna watu wa unga, bangi, upigaji hela za umma, ugaidi, na kila aina ya uchafu. Chungu za wote kuanzia rais, mawaziri, wabunge nk
 
Back
Top Bottom