Asilimia 100 hujifichia CCM kutenda maovu na haramu

Kuna Mfanyabiashara mburushi wa Mbalali alikutwa na Meno ya Tembo na Bunduki zaidi ya 10 ni ndugu na ROSTAM Kesi iliishi kisutu kwa kupigwa faini Mil 20
 
Wasio Waadilifu ni wengi sana karibu Viongozi wote nao sio Waadilifu wala Rushwa na Watoa Rushwa
 
Mkuu hongera kwa andiko zuri sana ccm kichaka cha wezi
 
Mmh! Are you crazy? Seriously?
CCM hii hii tunayoifahamu au nyingine?????????
 
CCm
CCM ni genge la wahalifu wanaotumia nguvu kubwa kubaki madarakani ili kuendeleza uhalifu wao. Humo kuna watu wa unga, bangi, upigaji hela za umma, ugaidi, na kila aina ya uchafu. Chungu za wote kuanzia rais, mawaziri, wabunge nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…