Asilimia 28 ya wanaokaribia kustaafu hawana mpango mkakati baada ya kustaafu

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Wachambuzi wameitisha mjadala wa mawazo kutoka kwa wadau ili kufanyia kazi tatizo la kutokuwa na mipango baada ya kustaafu kwa zaidi ya robo ya watu waliofikisha umri wa miaka 55 na zaidi.

Baada ya kustaafu wahusika hukumbwa na kuongezeka kwa gharama za matibabu na kujitunza kutokana na umri wao, kulinda mfumo wao wa maisha baada ya kustaafu na mfumuko wa bei.

 
Ukishastaafu unachotakiwa ni kula pensheni yako tu kila mwezi.

Kinachotakiwa watu walipwe pensheni kutokana na maisha halisi yalivyo na siyo pensheni za laki mbili ndio maana hawataki kustaafu.

Kwa nini Rais, Waziri mkuu, spika wamejiwekea pensheni ya 80% ya mshahara wa aliyepo ofisini?

Tuache ubaguzi pensheni zitolewe hakuna mtu asiyetaka kumpumzika na kwenda vacation Mara kwa Mara haya ndio maisha wastaafu wanatakiwa kula maisha na siyo kuliwa na maisha.
 
Rais, Waziri mkuu, spika wamejiwekea pensheni ya 80% ya mshahara wa aliyepo ofisini je wafanyakazi wengine kwa nini isiwe hivyo pia

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…