Hapana sio kila goli. Maana unakuta mengine kipa katoka na kunamchezaji yupo golini anajaribu kuokoa na linampita huyo mchezaji au anaamua kuudaka na inakuwa penat na red card. Na yapo ambayo ya ampita kupanadhani kila goli lazima lipite alipo kipa
Naona mleta Uzi lengo lako ni kumsifia Messi .
Bora hata apigwe benchi...
We ni me au ke?Messi ndio main point ya huu uzi...
Yani tangu mtufunge last week mpaka tumechoka ,kila sehemu uzi wa Messi...
Hebu mjiamini basi ,msiwe kama Team Kiba au Mashabiki wa Man U
keWe ni me au ke?
Ke inafanya nini huku?
Napika makandeKe inafanya nini huku?
Umeolewa?Napika makande
msenge sana wewe ,nikajua unataka watu wajadili suala la Marcelo kumbe unampamba messiView attachment 673046
Asilimia 40 ya magoli waliyofungwa Madrid La Liga yamepitia kwa Marcelo.
Real Madrid wana tatizo kubwa upande wa ulinzi wa kushoto ambapo ni jukumu la beki wa kibrazili Marcelo.
Magoli ya Celta Vigo katika mchezo wa wikiendi iliyopita yote yalitokana na udhaifu wake upande wa kushoto anapopanda kushambulia na kushindwa kurudi nyuma kwa uharaka na kuzuia hatari zinazoelekezwa langoni.
Msimu huu pekee kwenye La Liga. Real Madrid wameruhusu magoli 16, magoli 6 sawa na asilimia 40 ya magoli hayo, yalipitia upande wa Marcelo.
Kwa jinsi navyoona huyu babu Mzimu wa Messi bado unamuandama sana,, ile siku ya El Clasico ilikuwa sio shughuli ndogo kumkaba Messi,, walitepeta mno mpaka wakampumzisha Casemiro,, yani ilibakia kidogo sana wavunjwe kiuno yeye Ramos na Casemiro wao. Messi sio wa dunia hii.
Karibuni wadau!!!!
Hii tathmin ya shafii dauda imekaa kiushabiki Zaid kuliko uhalisia, Marcelo hajawa mbovu km ubavyotaka kutuaminisha Ila kinachoikost Timu msimu huu ni machovu ya misimu miwili mfululizo halafu Timu haisajiliView attachment 673046
Asilimia 40 ya magoli waliyofungwa Madrid La Liga yamepitia kwa Marcelo.
Real Madrid wana tatizo kubwa upande wa ulinzi wa kushoto ambapo ni jukumu la beki wa kibrazili Marcelo.
Magoli ya Celta Vigo katika mchezo wa wikiendi iliyopita yote yalitokana na udhaifu wake upande wa kushoto anapopanda kushambulia na kushindwa kurudi nyuma kwa uharaka na kuzuia hatari zinazoelekezwa langoni.
Msimu huu pekee kwenye La Liga. Real Madrid wameruhusu magoli 16, magoli 6 sawa na asilimia 40 ya magoli hayo, yalipitia upande wa Marcelo.
Kwa jinsi navyoona huyu babu Mzimu wa Messi bado unamuandama sana,, ile siku ya El Clasico ilikuwa sio shughuli ndogo kumkaba Messi,, walitepeta mno mpaka wakampumzisha Casemiro,, yani ilibakia kidogo sana wavunjwe kiuno yeye Ramos na Casemiro wao. Messi sio wa dunia hii.
Karibuni wadau!!!!
Na AsensioUmeolewa?
Asensio ndio nini?Na Asensio
hahaha matako makubwa kama ma baa maidYani wachezaji wa kibrazili wakishafikisha miaka 30 tu wanaanza kuwa wazito/kubweteka na matako makubwa kama mabamedi hawa jamaa sijui wana matatizo gani.sio kama mahasimu wao Argentina players
Majinzi mapyaAsensio ndio nini?
Walioolewa hawakai hukuMajinzi mapya