Asilimia 40 ya magoli waliyofungwa Madrid La Liga yamepitia kwa Marcelo.

Asilimia 40 ya magoli waliyofungwa Madrid La Liga yamepitia kwa Marcelo.

nadhani kila goli lazima lipite alipo kipa
Hapana sio kila goli. Maana unakuta mengine kipa katoka na kunamchezaji yupo golini anajaribu kuokoa na linampita huyo mchezaji au anaamua kuudaka na inakuwa penat na red card. Na yapo ambayo ya ampita kupa
 
Messi ndio main point ya huu uzi...
Yani tangu mtufunge last week mpaka tumechoka ,kila sehemu uzi wa Messi...

Hebu mjiamini basi ,msiwe kama Team Kiba au Mashabiki wa Man U
 
View attachment 673046
Asilimia 40 ya magoli waliyofungwa Madrid La Liga yamepitia kwa Marcelo.

Real Madrid wana tatizo kubwa upande wa ulinzi wa kushoto ambapo ni jukumu la beki wa kibrazili Marcelo.
Magoli ya Celta Vigo katika mchezo wa wikiendi iliyopita yote yalitokana na udhaifu wake upande wa kushoto anapopanda kushambulia na kushindwa kurudi nyuma kwa uharaka na kuzuia hatari zinazoelekezwa langoni.
Msimu huu pekee kwenye La Liga. Real Madrid wameruhusu magoli 16, magoli 6 sawa na asilimia 40 ya magoli hayo, yalipitia upande wa Marcelo.

Kwa jinsi navyoona huyu babu Mzimu wa Messi bado unamuandama sana,, ile siku ya El Clasico ilikuwa sio shughuli ndogo kumkaba Messi,, walitepeta mno mpaka wakampumzisha Casemiro,, yani ilibakia kidogo sana wavunjwe kiuno yeye Ramos na Casemiro wao. Messi sio wa dunia hii.

Karibuni wadau!!!!
msenge sana wewe ,nikajua unataka watu wajadili suala la Marcelo kumbe unampamba messi
 
View attachment 673046
Asilimia 40 ya magoli waliyofungwa Madrid La Liga yamepitia kwa Marcelo.

Real Madrid wana tatizo kubwa upande wa ulinzi wa kushoto ambapo ni jukumu la beki wa kibrazili Marcelo.
Magoli ya Celta Vigo katika mchezo wa wikiendi iliyopita yote yalitokana na udhaifu wake upande wa kushoto anapopanda kushambulia na kushindwa kurudi nyuma kwa uharaka na kuzuia hatari zinazoelekezwa langoni.
Msimu huu pekee kwenye La Liga. Real Madrid wameruhusu magoli 16, magoli 6 sawa na asilimia 40 ya magoli hayo, yalipitia upande wa Marcelo.

Kwa jinsi navyoona huyu babu Mzimu wa Messi bado unamuandama sana,, ile siku ya El Clasico ilikuwa sio shughuli ndogo kumkaba Messi,, walitepeta mno mpaka wakampumzisha Casemiro,, yani ilibakia kidogo sana wavunjwe kiuno yeye Ramos na Casemiro wao. Messi sio wa dunia hii.

Karibuni wadau!!!!
Hii tathmin ya shafii dauda imekaa kiushabiki Zaid kuliko uhalisia, Marcelo hajawa mbovu km ubavyotaka kutuaminisha Ila kinachoikost Timu msimu huu ni machovu ya misimu miwili mfululizo halafu Timu haisajili
 
Siku zote nasema marcelo ana matatizo makubwa kwenye kuzuia, ila naonekna mbaya marcelo ni mzuri zaidi katika kushambulia tu.
 
Back
Top Bottom