Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 200
Labda wangetusaidia kutueleza waliofanya utafiti walitumia population za shule za aina gani? hii ingeleta maana zaidi, ni kweli 50% hawajui kusoma lakini kwa picha kubwa zaidi tunahitaji kujua wanatoka kwenye shule za Accademia au kazana twende?
Wakitoa population waliyotumia kufanya utafiti inawezekana wametumia kazana twende peke yake hii itakuwa na maana nyingine kubwa ambayo watu wanaiopigia kelele ambayo ni tatizo la ujenzi wa matabaka kwenye elimu kwa kutengeneza watawala na watwana wa baadae
Hawa wanaosoma kwenye kazana twende watakuwa wavuta bangi, wezi na majambazi. Baadae tutawalaumu na kuwachoma moto au kuwapeleka mahakamani ili wahukumiwe na hakimu aliyesoma academia.
Government need to think twice kwenye mfumo wa elimu tunaoenda nao kwa sasa
Obviously ni Shule za Msingi za Serikali