Asilimia 50% ya Watanzania ni Ombaomba

Asilimia 50% ya Watanzania ni Ombaomba

Napenda unavyowapa ukweli
Hizo ndio fact lazima wajue kuomba na kuhonga tofauti zake au sio
Wapo wanawake wanaojielewa sio wote wanadanga na wapo wanaume kwa kuomba mpaka unamshangaa
Kweli tunasaidiana na tutaendelea kuwasaidia wanaohitaji

Ila napinga kuwa % kubwa ya waombaji ni wanawake big NO
 
Hizo ndio fact lazima wajue kuomba na kuhonga tofauti zake au sio
Wapo wanawake wanaojielewa sio wote wanadanga na wapo wanaume kwa kuomba mpaka unamshangaa
Kweli tunasaidiana na tutaendelea kuwasaidia wanaohitaji

Ila napinga kuwa % kubwa ya waombaji ni wanawake big NO
Kweli kabisa 100%
 
Hizo ndio fact lazima wajue kuomba na kuhonga tofauti zake au sio
Wapo wanawake wanaojielewa sio wote wanadanga na wapo wanaume kwa kuomba mpaka unamshangaa
Kweli tunasaidiana na tutaendelea kuwasaidia wanaohitaji

Ila napinga kuwa % kubwa ya waombaji ni wanawake big NO
Endelea kukaza fuvu, ila % kubwa ya wanawake wa kibongo ni ombaomba na wanajiuza. Wana mifumo tofauti tu, unamaliza kula mbususu anakuomba ela au unampa ela akapokea huyo ni mfanyabiashara period.
 
Kwa hiyo wanaume ombaomba ni wachache?
Mbona humu nyuzi za waombaji wengi ni wanaume?
Kuna tofauti ya ombaomba na mhongaji
Hizo takwimu ni zako ila kwa mimi nafikiri mwanamke hawezi kuja tu kwenye PM na kukuomba msaada

Kama msingewatongoza na wao wangeacha kuwaomba maana unatongoza kula na wewe lazima uliwe [emoji1]
Sasa mie nisietongoza ntaombwa lini?
😂😂😂
 
Kuomba kumeshika Kasi, ndomana ukikutana na watu mliopotezana Cha kwanza kukuuliza unafanyia kazi wapi, au hupo wapi siku hizi?,
 
Kwa hiyo wanaume ombaomba ni wachache?
Mbona humu nyuzi za waombaji wengi ni wanaume?
Kuna tofauti ya ombaomba na mhongaji
Hizo takwimu ni zako ila kwa mimi nafikiri mwanamke hawezi kuja tu kwenye PM na kukuomba msaada

Kama msingewatongoza na wao wangeacha kuwaomba maana unatongoza kula na wewe lazima uliwe [emoji1]
Sasa mie nisietongoza ntaombwa lini?
Kwani akipigwa mashine si anapata raha na hiyo ndiyo win win situation.
 
Back
Top Bottom