Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,039
- 5,560
Moja kwa moja kwenye mada.
Hawa Simba yaani bila kupepesa macho kwenye akili zao wanaamini kabisa kesho watapindua meza na kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika. Come on guys magoli 4 ni mengi sana, mlikosea sana ile mechi ya kwanza. Mechi ya kwanza mlijiamini sana pia mkawa na dharau kwa Chiefs.
Binafsi naamini simba hapo kesho atashinda ila sio ushindi wa 4 bila ama 5 bila hiyo kitu haito tokea. Jana nimeona na kusikia Manara akisisitiza kuwa lazima washinde tena ana mzuka kabisa huku anatikisa miguu jicho kavu limemtoka balaa.
Ukweli ni kuwa first leg mliwadharau sana Chiefs.
Hawa Simba yaani bila kupepesa macho kwenye akili zao wanaamini kabisa kesho watapindua meza na kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika. Come on guys magoli 4 ni mengi sana, mlikosea sana ile mechi ya kwanza. Mechi ya kwanza mlijiamini sana pia mkawa na dharau kwa Chiefs.
Binafsi naamini simba hapo kesho atashinda ila sio ushindi wa 4 bila ama 5 bila hiyo kitu haito tokea. Jana nimeona na kusikia Manara akisisitiza kuwa lazima washinde tena ana mzuka kabisa huku anatikisa miguu jicho kavu limemtoka balaa.
Ukweli ni kuwa first leg mliwadharau sana Chiefs.