Asilimia 98% Simba SC wanaamini watapindua matokeo

Asilimia 98% Simba SC wanaamini watapindua matokeo

Kuna mmasai leo kaacha watu hoi sana. Anadai Simba inashida 7-0 kesho afu anaongea kwa kujiamini sana mpaka ameweka 20k kwa buku watu wakapgopa.
Mmasai katisha mbayaaa....!!
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Hawa Simba yaani bila kupepesa macho kwenye akili zao wanaamini kabisa kesho watapindua meza na kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika. Come on guys magoli 4 ni mengi sana, mlikosea sana ile mechi ya kwanza. Mechi ya kwanza mlijiamini sana pia mkawa na dharau kwa Chiefs.

Binafsi naamini simba hapo kesho atashinda ila sio ushindi wa 4 bila ama 5 bila hiyo kitu haito tokea. Jana nimeona na kusikia Manara akisisitiza kuwa lazima washinde tena ana mzuka kabisa huku anatikisa miguu jicho kavu limemtoka balaa.

Ukweli ni kuwa first leg mliwadharau sana Chiefs
'Ana Mzuka Kabisa huku Anatikisa mguu Jicho Kavu Limemtoka balaa.....! Hii sentensi imenifanya nicheke....! Manara Ndo Kazi Yake pale Simba..!
Mkumbuke Pole pole Alipokuwa msemaji Wa CCM....! Wakati wa Uchaguzi ukimsikiliza tu utapata picha wapinzani hawataambulia hata kura moja ....!
Hakuna Kisichowezekana
 
kwa simba inawezekana, wanacho takiwa kipindi kwanza tu wapige goli 4, cha pili 2.

hawatakiwi kupoteza nafasi hata moja,
hawatakiwi kujilinda, wanatakiwa washambulie kuanzia dakika ya 1 mpaka 90.

wakabe kama nyuki.

watumie akili zaidi kuliko nguvu.

nguvu itumike mwishoni kabisa.

wachezaji wanao tumia sana akili kuliko nguvu ni;

1. Chama

2. Morison

3. bwalya.

4. Husein

5. wawa

n.k n.k aina ya wachezaji hao ndio watakao fanikisha mabao zaidi ya 6
 
kwa simba inawezekana, wanacho takiwa kipindi kwanza tu wapige goli 4, cha pili 2.

hawatakiwi kupoteza nafasi hata moja,
hawatakiwi kujilinda, wanatakiwa washambulie kuanzia dakika ya 1 mpaka 90.

wakabe kama nyuki.

watumie akili zaidi kuliko nguvu.

nguvu itumike mwishoni kabisa.

wachezaji wanao tumia sana akili kuliko nguvu ni;

1. Chama

2. Morison

3. bwalya.

4. Husein

5. wawa

n.k n.k aina ya wachezaji hao ndio watakao fanikisha mabao zaidi ya 6
Sio mpira unaanza tu kaiza wanawachapa kimoja 1 mpaka half time.....
hapo ndio mtajua hamjui
 
Kuna mmasai leo kaacha watu hoi sana. Anadai Simba inashida 7-0 kesho afu anaongea kwa kujiamini sana mpaka ameweka 20k kwa buku watu wakapgopa.
😀 😀 😀
 
Manara anawashika akili sana hawa ndugu zetu hadi wanakuwa kama Misukule!
 
Kama watacheza kwa kasi ule mpira wao wa pasi fupi but kwa speed just walichofanya kwa VITA wataweza ila wakipooza kama kule South hawatapindua meza na waruhusu goli japo watashinda mechi kuweka heshima
 
Meza,,meza,,meza,,meza,Utopolo wanawashwa washwa na mambo ya Simba.
 
Sio kweli hizo ni kelele za watu wachache sana wenye smart phone.
Mimi ni mpenzi wa Simba ila ni najua hatuwezi kupindua meza.Goli 4 ni nyingi sana.Kosa lilifanyika mechi ile kushindwa kutafuta goli hata moja.Watu wako slow hadi wanaudhi.
Soka la kisasa linahitaji kasi kubwa sana unapokuwa una attack.Siyo mambo ya chama kurudisha mpira nyuma
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Hawa Simba yaani bila kupepesa macho kwenye akili zao wanaamini kabisa kesho watapindua meza na kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika. Come on guys magoli 4 ni mengi sana, mlikosea sana ile mechi ya kwanza. Mechi ya kwanza mlijiamini sana pia mkawa na dharau kwa Chiefs.

Binafsi naamini simba hapo kesho atashinda ila sio ushindi wa 4 bila ama 5 bila hiyo kitu haito tokea. Jana nimeona na kusikia Manara akisisitiza kuwa lazima washinde tena ana mzuka kabisa huku anatikisa miguu jicho kavu limemtoka balaa.

Ukweli ni kuwa first leg mliwadharau sana Chiefs.
Sasa unataka tuseme hatupindui meza? Hatuna mentality kama ya uto...
 
Always Wanachama na Mashabiki wa Simba ni Mbumbumbu, hakuna jipya.
Umbumbumbu wa mashabiki wa simba,hauwafikii hata robo umbumbumbu wa mashabiki wa timu wananchi wa JaNgWani,a.k.a. kamati ya mapokezi ya wageni wa simba,wamedanganywa Sana In jinia,wamedanganywa Sana na 800kg, Mashabiki wa timu pendwa magazetini Kuna kitu Cha kujifunza kwa timu ya [emoji881],msione aibu kuiga Mambo mazuri kutoka kwa [emoji881] .
 
Simba kule kujiamini kupita maelezo kuna waponza sana pia na yule mpuuzi wenu anawaaminisha ujinga akiwa kwenye vyombo vya habari. Leo hii imefikia mashabiki wa simba wanaamini kabisa timu yao ikiwa uwanjani lazima ishinde kumbe mpira hauko hivyo. Ipo siku mtakufa kwa kuamini ujinga.
Ujinga ni bado kuendelea kuamini BM3 ni mchezaji wenu halali uto, ujinga ni kuamini bodi ya ligi ,Tff na waamuzi wanachuki na timu yenu pendwa ya wananchi wa JaNgWani.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Simba ya siku hizi!😄😄😄
20210515211437.jpg
 
Back
Top Bottom