Ukisema Kyle Jenner wa Tz kuna watu wanaumia eti 😂😂😂Ila Rayvany tayari ni mkubwa haya yanayoendelea hayamuongezei lolote kwa sasa tofauti na ilivyokuwa kwa Diamond na Sepenga labda inaweza kuwa na impact kwa Paula lakini si kwa Reyvany
All in all paula amefika umri sahihi wa kuliwa tena wengi tunaomsema paula ndo tunaongoza tuvitolea mate vitoto hata vya miaka 16 so kwa paula keshakuwa, achen vany boy ajilie vitam kutoka kwa kyla Jenna wa Tz😘😘😘💋
😂😂😂😂 Utaishia kumtamani tu kwa machoSasa unaweka wivu kwa Mtu anamiliki lake Tanganyika kule kati?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
😁😁😁wacha waumie ila ndo haina jinsiUkisema Kyle Jenner wa Tz kuna watu wanaumia eti 😂😂😂
Pumbavu..View attachment 1861861
Watanzania adui yetu mkubwa kwa sasa ameongezeka.
Wakati wa Nyerere ilikuwa umaskini,magonjwa na ujinga.
Kwa sasa adui yetu mkubwa ni
1. Wivu
2. Chuki
3. Unafki
Ukikaa chini ukatafakari kinachowafanya watu wapige kelele za Paula na maisha yake ni hao maadui wapya watatu.
Maana hakuna kipya cha ajabu anachokifanya Paula mpaka mapovu yawatoke namna hii.
Watu ni wanafki, wanamuonea wivu Paula na Ray imesababisha wakajaa chuki.
Nimejikuta nacheka kwa sauti peke yangu🤣🤣🤣🤣Naskia ana mimba
"Cjui kama tutapona😭" ushawah kumla au ndo usingiziniMtoto anausambaza kwa kasi ya 5G haya bana cjui kama tutapona😭
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]"Cjui kama tutapona[emoji24]" ushawah kumla au ndo usingizini
Yupo mahali gani?Unaweza usiwe ww ila wapo wanaomuonea wivu kwa mahali alipo
Nina covid19 wanajamii naomba nanyie mjikarantini
Eti asije ishia kuwa kama mama yake hahahaahSio kwamba ni wanafki wanachuki au wivu kwake.
Bali wanamuonea huruma asije akaishia kuwa Kama mama yake.
Kiukweli yule binti kwa umri wake angetakiwa awe shule akisomea hata ka ujuzi flani ( Kama hataki sekondari)
La sivyo kwa maisha yetu ya kitanzania binti anapotea vibaya Sana.
Majani analipwa hapa hapa dunia kwa ubazazi aliowafanyia wazazi kajala kwa kumpa mimba binti yao (kajala) akiwa mdogo na kumwaribia maisha yake. The. Same like what is going on to his daughter.
Naona na yeye anashuhudia jinsi binti yake anavyoharibiwa
Kweli karma ipo.
Paula ni socialite anayeenda kuwa mkubwa sana na pesa zitamfata.Yupo mahali gani?
Kuna kitu gani cha maana au biashara gani ya maana anayoifanya ili kwamba watu wamuonee wivu wa kimaendeleo ili hata wengine wamuige?
Haya kajala masanja naona unambrand mwanao fighting for food four years form four failurePaula ni socialite anayeenda kuwa mkubwa sana na pesa zitamfata.
Mbona kabla hajaanza watu washaanza kuweka pesa nimewaona darling na kampuni ya pedi wameshasaini nae deal ya pesa.
Eti asije ishia kuwa kama mama yake hahahaah
Hivi unayajua maisha ya Kajala wewe?
Unafikiri Kajala ana maisha mabovu au unafata mkumbo tu wa mitandao?
Huyo ni ww mwenye kufanya tafiti zote hzo, ila hao wanao muonea wivu yote hayo hawajifikilii, wanachoona wao anadate na staa, mitandaoni yy ndie anazungumziwa vlevle ni staa pia, ko watu wanamuonea wivu.Yupo mahali gani?
Kuna kitu gani cha maana au biashara gani ya maana anayoifanya ili kwamba watu wamuonee wivu wa kimaendeleo ili hata wengine wamuige?