Wewe ndio mshamba kuchukia mtu na mpenzi wake wakiishi maisha yao.Sio kila mtu umuonyeshe hadharani.
Rayvan anachomfanya Paula chumbani hakuna asiyejuwa .
Sasa kuna haja gani ya kuutangazia umma?
Kama sio kuwafundisha uhuni watoto wetu?..
Aache ushamba.
We kiwavi jeshi Tu na mkwara wako size ya mendeWewe ni chawa na mpuudhi mnabaki kushangilia mambo ya kipuudhipuudhi tu.
Kwa taarifa utaendelea kusifia hao wapuudhi wenzako milele mpuudhi mkubwa wewe na mshenzi usiyefaa kuishi kwenye jamii ya kistaarabu.
Watu wanapotosha jamii hadharani wewe unawasifia mpuudhi mkubwa wewe
Na utaendelea kuwa chawa milele
Utamkataza vipi mtoto asipende na asipendwe wakati ni mtu mzima anajua kila kitu eti embu acha kuassume vitu bwanaMnhhhh this is sad,nikikumbuka story yangu mwenyewe na relate na wasichana wanaoingia kwenye mapenzi kwenye umri mdogo nahuzunika zaidi, kwa kifupi ukiwa msichana uko kwenye vulnerable position, akili na mwili havijawa matured enough ku handle relationship na uki break up jinsi Utakavyo suffer emotionally ni mbaya na inaweza ku last life time, Angalia wote walioanza mapenzi umri mdogo kama hata wana long relationship??? hawawezi kukaa kwenye committed relationship sababu wamekua damaged emotionally , they are left confused, ningekua Kajala ningemprotect mwanangu sio kumuachia ulimwengu uumfunze,its a cruel world
Nahisi wewe utakuwa ni Paula au kajalaNi wivu tu.... wewe unaemuonea huruma unakuta umeanza kufanywa ukiwa darasa la nne au ata maisha ya maana hauna Paula kakuzidi kila kitu.
HahahaNimejikuta nacheka kwa sauti peke yangu🤣🤣🤣🤣
Wewe utakuwa mpumbavu Sana, Mimi nimeshakamilisha ndoto zangu , kutokana na malezi mazuri niliyopewa na kusoma shule nzuri ya seminary.
Wanamwonea wivu Paula wakti watktk kama Bawa wanafumuliwa Na waendesha maroli ya mchangaNi ujinga hao wanaosema hivo watoto wao wa kike wako primary na wanafumuliwa vibaya mno na bodaboda sasa kipi bora mzazi ujue mwanao ana mtu au vijana wengi wasioeleweka wawe wanamfumua fumuuuu. Isitoshe umri unaruhusu kajala yuko sawa tu.
Celebrities au taka taka tu,,Mshamba ni wewe usiyejua lifestyle ya celebrities.