Asilimia 99 ya wanaomshambulia Paula wamejaa unafiki, chuki na wivu

Sio kila mtu umuonyeshe hadharani.

Rayvan anachomfanya Paula chumbani hakuna asiyejuwa .
Sasa kuna haja gani ya kuutangazia umma?
Kama sio kuwafundisha uhuni watoto wetu?..

Aache ushamba.
Wewe ndio mshamba kuchukia mtu na mpenzi wake wakiishi maisha yao.
 
We kiwavi jeshi Tu na mkwara wako size ya mende
 
Utamkataza vipi mtoto asipende na asipendwe wakati ni mtu mzima anajua kila kitu eti embu acha kuassume vitu bwana
 
Ni ujinga hao wanaosema hivo watoto wao wa kike wako primary na wanafumuliwa vibaya mno na bodaboda sasa kipi bora mzazi ujue mwanao ana mtu au vijana wengi wasioeleweka wawe wanamfumua fumuuuu. Isitoshe umri unaruhusu kajala yuko sawa tu.
Wanamwonea wivu Paula wakti watktk kama Bawa wanafumuliwa Na waendesha maroli ya mchanga
 
Mshamba ni wewe usiyejua lifestyle ya celebrities.
Celebrities au taka taka tu,,
akina Beyonce na JZ watakuwa akina nani?

Celebrities anavaa jeans ya vunja bei?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…