Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Ulitaka waende airport na mabango ya kumpokea.. umekuwa msemaji wa Simba.?Siwasemei ila HAMJACHANGAMKA.
Kambale mechi 28 ana goli 1 na assist 1.
Phili mechi 26/goli 14 assist 6.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kambole huyo juu juu
Maagizo ya kocha ni kusajili mareject?Ipi ni ligi bora?
Dakika ngapi kila mmoja amecheza?
Alafu Yanga inasajili kutokana na maagizo ya Kocha Mkuu,
Kwa Simba wanasajili kutokana na utashi wa viongozi sababu hakuna Kocha Mkuu.
Yaan reject awe na thamn kweliNimejaribu kuangalia thamani za hao wachezaji wa vilabu vya mitaa ya Msimbazi/Bunju na Jangwani/Kigamboni nao wa mitaa ya Jangwani/Kigamboni thamani yake ipo juu.View attachment 2263578View attachment 2263579
Kidimbwi fc in janga la nchi😀😀Kidimbwi fc acha ushetani wako
Kwanini mlikimbia pambano la Nani zaidi. Tuanzie hapo.Siwasemei ila HAMJACHANGAMKA.
kawaida sana labda kama aufatilii,zipo timu nyingi kocha anakuja ndani ya timu anakuta wachezaji anaenda nao na timu inafanya vizuri.Ipi ni ligi bora?
Dakika ngapi kila mmoja amecheza?
Alafu Yanga inasajili kutokana na maagizo ya Kocha Mkuu,
Kwa Simba wanasajili kutokana na utashi wa viongozi sababu hakuna Kocha Mkuu.
sajili imezima kelele za uto kuchukua ubingwa ishi nayo hyooAsilimia kubwa ya mashabiki wa Simba SC hawajafurahi sana ujio wake kwa namna wakivyo furahi ujio wa Junior Lokosa, Mugalu na Perfect Chikwende?
Je, hii inasababishwa na mashabiki walio wengi kufahamu kuwa huyu Jamaa ametokea ligi dhaifu ambayo hata Mugali alikuwa Top Scorer?
Wengi wanaona kuwa huyu jamaa amekuja kuwa kama trial player kuona kama ata click au la.
Ni kweli aliweza kufanya vyema dhidi ya Yanga SC ile iliyocheza katika “WIKI YA WANANCHI”
Yanga SC ambayo ilipoteza mechi ya mzunguko wa awali dhidi ya Rivers UNITED ya Nigeria. (Bingwa wa msimu huu wa NPFL)
Yanga SC ambayo haikuwa na Aucho, Diarra, Bangala, wala Mayele.
Unadhani ni kipi unafikiri kikawa ni sababu ya hawa jamaa kutokumkubali MOSES PHIRI mchezajj wao mpya.
View attachment 2263026
Wanasajili makinikiaMaagizo ya kocha ni kusajili mareject?
Baada ya kusajili kombole ambae ni galasa mmeanza kujificha kwenye kichaka na Moses phiriAsilimia kubwa ya mashabiki wa Simba SC hawajafurahi sana ujio wake kwa namna wakivyo furahi ujio wa Junior Lokosa, Mugalu na Perfect Chikwende?
Je, hii inasababishwa na mashabiki walio wengi kufahamu kuwa huyu Jamaa ametokea ligi dhaifu ambayo hata Mugali alikuwa Top Scorer?
Wengi wanaona kuwa huyu jamaa amekuja kuwa kama trial player kuona kama ata click au la.
Ni kweli aliweza kufanya vyema dhidi ya Yanga SC ile iliyocheza katika “WIKI YA WANANCHI”
Yanga SC ambayo ilipoteza mechi ya mzunguko wa awali dhidi ya Rivers UNITED ya Nigeria. (Bingwa wa msimu huu wa NPFL)
Yanga SC ambayo haikuwa na Aucho, Diarra, Bangala, wala Mayele.
Unadhani ni kipi unafikiri kikawa ni sababu ya hawa jamaa kutokumkubali MOSES PHIRI mchezajj wao mpya.
View attachment 2263026
Anawasemea kwakuwa ndio ukweliWewe mwana Yanga uhalali wa kuwasemea wanasimba unaupata wapi?
.Asilimia kubwa ya mashabiki wa Simba SC hawajafurahi sana ujio wake kwa namna wakivyo furahi ujio wa Junior Lokosa, Mugalu na Perfect Chikwende?
Je, hii inasababishwa na mashabiki walio wengi kufahamu kuwa huyu Jamaa ametokea ligi dhaifu ambayo hata Mugali alikuwa Top Scorer?
Wengi wanaona kuwa huyu jamaa amekuja kuwa kama trial player kuona kama ata click au la.
Ni kweli aliweza kufanya vyema dhidi ya Yanga SC ile iliyocheza katika “WIKI YA WANANCHI”
Yanga SC ambayo ilipoteza mechi ya mzunguko wa awali dhidi ya Rivers UNITED ya Nigeria. (Bingwa wa msimu huu wa NPFL)
Yanga SC ambayo haikuwa na Aucho, Diarra, Bangala, wala Mayele.
Unadhani ni kipi unafikiri kikawa ni sababu ya hawa jamaa kutokumkubali MOSES PHIRI mchezajj wao mpya.
View attachment 2263026