Asilimia Kubwa Ya Mashabiki Wa Simba SC Hakufurahishwa Na Usajili wa Moses Phiri?

Asilimia Kubwa Ya Mashabiki Wa Simba SC Hakufurahishwa Na Usajili wa Moses Phiri?

Nimejaribu kuangalia thamani za hao wachezaji wa vilabu vya mitaa ya Msimbazi/Bunju na Jangwani/Kigamboni nao wa mitaa ya Jangwani/Kigamboni thamani yake ipo juu.
IMG-20220617-WA0020.jpg
IMG-20220617-WA0019.jpg
 
Kambale mechi 28 ana goli 1 na assist 1.
Phili mechi 26/goli 14 assist 6.

Ipi ni ligi bora?

Dakika ngapi kila mmoja amecheza?

Alafu Yanga inasajili kutokana na maagizo ya Kocha Mkuu,

Kwa Simba wanasajili kutokana na utashi wa viongozi sababu hakuna Kocha Mkuu.
 
Ipi ni ligi bora?

Dakika ngapi kila mmoja amecheza?

Alafu Yanga inasajili kutokana na maagizo ya Kocha Mkuu,

Kwa Simba wanasajili kutokana na utashi wa viongozi sababu hakuna Kocha Mkuu.
Maagizo ya kocha ni kusajili mareject?
 
Ipi ni ligi bora?

Dakika ngapi kila mmoja amecheza?

Alafu Yanga inasajili kutokana na maagizo ya Kocha Mkuu,

Kwa Simba wanasajili kutokana na utashi wa viongozi sababu hakuna Kocha Mkuu.
kawaida sana labda kama aufatilii,zipo timu nyingi kocha anakuja ndani ya timu anakuta wachezaji anaenda nao na timu inafanya vizuri.

kuhusu ligi bora sio kigezo,kigezo ni uwezo na perfomance ya timu.zipo ligi bora Africa lakini timu zake hazipo hata kwenye top 20 ya timu bora Africa.Kambole anatoka ligi bora South Africa anakuja ligi ya chini huku Tanzania ni wazi ameshuka angekua bora angetakiwa kwenye nchi zenye ligi bora zaidi ya Tanzania au angebakia hapohapo south.

kuhusu mchezaji kupewa nafasi(dakika ngapi kacheza au mechi ngapi) ni mwalimu namna anavyoona ufanisi wa mchezaji akipewa nafasi kwenye mechi au kwenye mazoezi.
 
Asilimia kubwa ya mashabiki wa Simba SC hawajafurahi sana ujio wake kwa namna wakivyo furahi ujio wa Junior Lokosa, Mugalu na Perfect Chikwende?

Je, hii inasababishwa na mashabiki walio wengi kufahamu kuwa huyu Jamaa ametokea ligi dhaifu ambayo hata Mugali alikuwa Top Scorer?

Wengi wanaona kuwa huyu jamaa amekuja kuwa kama trial player kuona kama ata click au la.

Ni kweli aliweza kufanya vyema dhidi ya Yanga SC ile iliyocheza katika “WIKI YA WANANCHI”

Yanga SC ambayo ilipoteza mechi ya mzunguko wa awali dhidi ya Rivers UNITED ya Nigeria. (Bingwa wa msimu huu wa NPFL)

Yanga SC ambayo haikuwa na Aucho, Diarra, Bangala, wala Mayele.

Unadhani ni kipi unafikiri kikawa ni sababu ya hawa jamaa kutokumkubali MOSES PHIRI mchezajj wao mpya.

View attachment 2263026
sajili imezima kelele za uto kuchukua ubingwa ishi nayo hyoo
 
Asilimia kubwa ya mashabiki wa Simba SC hawajafurahi sana ujio wake kwa namna wakivyo furahi ujio wa Junior Lokosa, Mugalu na Perfect Chikwende?

Je, hii inasababishwa na mashabiki walio wengi kufahamu kuwa huyu Jamaa ametokea ligi dhaifu ambayo hata Mugali alikuwa Top Scorer?

Wengi wanaona kuwa huyu jamaa amekuja kuwa kama trial player kuona kama ata click au la.

Ni kweli aliweza kufanya vyema dhidi ya Yanga SC ile iliyocheza katika “WIKI YA WANANCHI”

Yanga SC ambayo ilipoteza mechi ya mzunguko wa awali dhidi ya Rivers UNITED ya Nigeria. (Bingwa wa msimu huu wa NPFL)

Yanga SC ambayo haikuwa na Aucho, Diarra, Bangala, wala Mayele.

Unadhani ni kipi unafikiri kikawa ni sababu ya hawa jamaa kutokumkubali MOSES PHIRI mchezajj wao mpya.

View attachment 2263026
Baada ya kusajili kombole ambae ni galasa mmeanza kujificha kwenye kichaka na Moses phiri
 
Asilimia kubwa ya mashabiki wa Simba SC hawajafurahi sana ujio wake kwa namna wakivyo furahi ujio wa Junior Lokosa, Mugalu na Perfect Chikwende?

Je, hii inasababishwa na mashabiki walio wengi kufahamu kuwa huyu Jamaa ametokea ligi dhaifu ambayo hata Mugali alikuwa Top Scorer?

Wengi wanaona kuwa huyu jamaa amekuja kuwa kama trial player kuona kama ata click au la.

Ni kweli aliweza kufanya vyema dhidi ya Yanga SC ile iliyocheza katika “WIKI YA WANANCHI”

Yanga SC ambayo ilipoteza mechi ya mzunguko wa awali dhidi ya Rivers UNITED ya Nigeria. (Bingwa wa msimu huu wa NPFL)

Yanga SC ambayo haikuwa na Aucho, Diarra, Bangala, wala Mayele.

Unadhani ni kipi unafikiri kikawa ni sababu ya hawa jamaa kutokumkubali MOSES PHIRI mchezajj wao mpya.

View attachment 2263026
.
FB_IMG_1611660294488.jpg
 
Back
Top Bottom